-
'Khorramshahr-5' kuwa kombora la kwanza la balestiki la Iran linalovuka mabara?
Jul 28, 2025 03:53Tetesi zinazoongezeka kuhusu Khorramshahr-5, kombora la kwanza la Iran linaloweza kuvuka mabara (ICBM), zinaonyesha kwamba hivi karibuni nchi hii inaweza kujiunga na kundi dogo la nchi zenye silaha za aina hiyo.
-
Qalibaf: Adui mzayuni anataka kulilipizia kisasi taifa la Iran kwa vita vya kiuchumi na kisaikolojia
Jul 27, 2025 07:39Mohammad Baqer Qalibaf, Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) ameashiria umoja usio na kifani ulioonyeshwa na taifa la Iran katika siku 40 zilizopita, ambao ulitoa kichapo kikali kwa adui mzayuni, amesisitiza kuwa, hivi sasa adui anataka kulipiza kisasi zaidi ya alivyofanya huko nyuma dhidi ya wananchi shupavu na madhulumu wa Iran kupitia vita vya kiuchumi na opereseheni za kisaikolojia.
-
Takht-Ravanchi : Mazungumzo kati ya Iran na Marekani yanategemea dhamana dhidi ya mashambulizi
Jul 27, 2025 03:47Iran inasisitiza kupatiwa dhamana madhubuti kwamba hakutakuwa na mashambulizi ya kijeshi dhidi ya ardhi yake kabla ya kurejea kwenye meza ya mazungumzo na Marekani.
-
Iran yawanyonga magaidi wawili wa MKO kwa kuhusika na vita dhidi ya nchi
Jul 27, 2025 03:42Iran imetekeleza hukumu ya kifo dhidi ya wanachama wawili wa kikundi cha kigaidi cha MKO waliopatikana na hatia ya uasi wa kivita na kuendesha vita dhidi ya taifa.
-
OPEC: Mapato ya mauzo ya mafuta ya Iran yaongezeka kwa 14%
Jul 27, 2025 03:37Iran imefanikiwa kuongeza kwa kiasi kikubwa mapato yake ya mauzo ya mafuta mwaka uliopita. Hayo ni kwa mujibu wa takwimu mpya kutoka Shirika la Nchi Wazalishaji wa Mafuta Duniani (OPEC), zikionesha kuwa vikwazo vya Marekani havijafaulu kuzuia biashara ya mafuta nchini.
-
Matokeo ya Mkutano wa Istanbul kati ya Iran na Troika ya Ulaya
Jul 26, 2025 09:10Suala la kuondoa vikwazo na kutilia mkazo haki ya Iran ya kurutubisha urani ni miongoni mwa mambo yaliyojadiliwa katika ajenda ya "Mkutano wa Istanbul." Pande hizo zimesisitiza udharura wa kuendeleza mazungumzo.
-
Rais Pezeshkian: Watetezi wa haki za binadamu wamekaa kimya kuhusu Gaza na Iran
Jul 26, 2025 08:18Rais Masoud Pezeshkian amekosoa mashirika ya haki za binadamu na vyombo vya habari vya Magharibi kwa kupuuza majanga ya kibinadamu huko Gaza na matukio ya hivi karibuni nchini Iran.
-
Iran yaonya kuhusu mpango wa Israel 'kuifuta' Palestina, yataka hatua za haraka zichukuliwe kukomesha mzingiro wa Gaza
Jul 26, 2025 04:42Waziri wa mambo ya nje wa Iran ameonya kuwa Israel inalenga “kuifuta” Palestina kama taifa na utambulisho, na ametaka hatua za haraka za jamii ya kimataifa zichukuliwe kuondoa mzingiro mkali wa Israel ambao umeisukuma Gaza katika hali ya maangamizi ya kibinadamu.
-
Mazungumzo ya 'dhati' ya Iran na nchi tatu za Ulaya yafanyika Istanbul
Jul 26, 2025 04:36Iran na nchi tatu za Ulaya ambazo ni Ufaransa, Uingereza na Ujerumani (zinazojulikana kama E3), wamekubaliana kuendelea na mashauriano kuhusu suala la vikwazo na mpango wa nyuklia wa Iran. Hayo ni kwa mujibu wa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Kazem Gharibabadi.
-
Kiongozi Mkuu atoa ujumbe kwa Taifa kwa mnasaba wa Arubaini ya Wairan waliouliwa shahidi na utawala khabithi wa kizayuni
Jul 26, 2025 00:17Kiongozi Muadhamu wa Mapnduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, ametoa ujumbe maalumu unaolihutubu Taifa la Iran kwa mnasaba wa Arubaini ya kuuliwa shahidi na utawala khabithi na mtendajinai wa kizayuni wananchi kadhaa raia wa kawaida, makamanda waliokomaa wa kijeshi na wanasayansi watajika wa nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.