-
Umuhimu wa safari ya Araghchi nchini Pakistan
May 06, 2025 07:47Seyyed Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jana alifanya safari mjini Islamabad na kukutana na kushauriana na viongozi wa Pakistan kuhusu kuimarisha uhusiano wa pande mbili na kubadilishana mawazo kuhusu matukio ya kieneo na kimataifa.
-
Mjumbe wa Trump: Mazungumzo ya Iran na Marekani ni chanya
May 06, 2025 07:30Mjumbe wa rais wa Marekani, Donald Trump katika ukanda wa Asia Magharibi amesema kuwa mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Iran na Marekani ni chanya, na kwamba juhudi zinaendelea za kuhakikisha inafanyika duru nyingine ya mazungumzo hayo mwishoni mwa wiki hii.
-
Makampuni yanayotegemea elimu Iran yanavunja rekodi ya mapato
May 06, 2025 07:29Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Tathmini ya Makampuni yanayoendeshwa kwa kutegemea Msingi wa Elimu na Maarifa ya Iran ametilia mkazo nafasi muhimu ya makampuni hayo katika maendeleo ya teknolojia na viwanda humu nchini na kusema kuwa yamevunja rekodi ya mauzo ya bidhaa nje ya nchi mwaka 2024.
-
Araghchi: Iran iko tayari kwa mazungumzo ya 'kujenga', 'yasiyo na upendeleo' na Troika ya EU
May 06, 2025 03:10Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi amesema Tehran iko tayari kufanya mazungumzo "ya kujenga na yasiyo na upendeleo" na nchi tatu zinazounda Troika ya Umoja wa Ulaya, ambazo ni Ufaransa, Ujerumani na Uingereza, kuhusu mpango wake wa nyuklia.
-
Iran itajibu haraka uchokozi wowote wa kijeshi kutoka Marekani, Israel
May 05, 2025 23:17Iran imelaani vikali vitisho vya karibuni kutoka Marekani na Israel kuhusiana na shambulio la kulipiza kisasi la Yemen dhidi ya maeneo yanayokaliwa kwa mabavu (Israel), na imeahidi kulinda mamlaka na uhuru wake dhidi ya tishio lolote au matumizi ya nguvu.
-
Haki ya Iran ya kurutubisha madini ya urani
May 05, 2025 23:13Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza msimamo wa muda mrefu lakini wa kisheria wa Iran kuhusu kuwa na haki ya kurutubisha madini ya urani.
-
Iran yawaonya maadui: Jeshi la Anga liko mstari wa mbele kujibu kitisho chochote haraka
May 05, 2025 08:41Kamanda wa Kikosi cha Anga cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Brigedia Jenerali Hamid Vahedi amesema, kikosi hicho kiko mstari wa mbele kukabiliana haraka sana na tishio lolote dhidi ya nchi.
-
Meja Jenerali Salami: IRGC haitasalimu amri mkabala wa adui yeyote
May 04, 2025 22:54Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema kuwa jeshi hilo la SEPAH kamwe halitarudi nyuma na kusalimu amri mbele ya maadui wa Iran.
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Hakuna maslahi makuu kwa Umma wa Kiislamu kuliko Umoja
May 04, 2025 08:09Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Ali Khamenei, amesema kuwa lengo la Mwenyezi Mungu katika kwa kuweka ibada ya Hajj ni kuwasilisha kielelezo kamili na kinachoelekeza namna ya kuendesha maisha ya binadamu, na akaongeza: muundo na sura ya dhahiri ya ibada hii ni ya kisiasa kabisa, huku maudhui yake yakiwa ya kiroho na ya ibada, ili kuhakikisha manufaa kwa wanadamu wote.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran apanga kuzuru Pakistan
May 04, 2025 08:03Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, anapanga kuzuru Pakistan na India wiki hii kama sehemu ya mashauriano yanayoendelea ya Tehran na nchi za kikanda huku kukiwa na mvutano baina ya nchi hizo mbili jirani.