-
Iran: Wakimbizi wa Afghanistan watarejeshwa kwao kwa heshima
Mar 25, 2025 03:14Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, viongozi wa Iran na Afghanistan wameandaa utaratibu mzuri wa pamoja wa kuwawezesha wakimbizi wa Afghanistan waliopo nchini Iran warejee nchini kwao kwa heshima.
-
Iran: Hakuna mazungumzo yatakayofanyika chini ya mashinikizo, lazima Marekani ibadilishe siasa zake
Mar 25, 2025 02:47Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitiza kuwa haitashiriki katika mazungumzo ya moja kwa moja na Marekani chini ya mashinikizo ya 'vikwazo vya juu zaidi' na vitisho.
-
Iran inajiundia asilimia 90 ya zana zake za kivita
Mar 25, 2025 02:35Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Viwanda vya Kieletroniki Iran (IEI) amesema kuwa uwezo wa kijeshi na kiulinzi wa Iran unategemea wataalamu wa ndani ya nchi.
-
Pezeshkian: Marekani haiwezi kulikwamisha taifa la Iran katika jambo lolote + Picha
Mar 24, 2025 07:25Rais Masoud Pezeshkian amesema kwamba Marekani haiwezi kuiwamisha Iran katika jambo lake lolote lile iwapo taifa hili la Kiislamu litashikamana vilivyo na mafundisho ya Qur'ani na ya Uislamu.
-
Iran: Tuko imara! Hakuna mtu anayeweza hata kufikiria kuanzisha vita dhidi yetu
Mar 24, 2025 07:23Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema: "Majeshi na serikali yetu tumeijengea nchi kinga ya kutosha kiasi kwamba hakuna hata mtu anayeweza kufikiria kuanzisha vita dhidi ya Iran."
-
Iran yatahadharisha kuhusu athari za vita vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Lebanon kwa usalama wa dunia
Mar 24, 2025 05:06Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametahadharisha kuhusu taathira za vita vipya vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Lebanon kwa usalama na amani ya kimataifa.
-
Diplomasia hai ya Iran katika kukabiliana na migogoro inayoibuliwa na utawala wa Kizayuni katika eneo
Mar 23, 2025 23:00Seyyed Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumzia matukio ya eneo, yakiwemo ya Palestina na Yemen katika mazungumzo yake ya simu na Mawaziri wenzake wa Mashauri ya Kigeni wa Saudi Arabia na Misri na kubadilishana nao mawazo jinsi ya kukabiliana na migogoro inayoibuliwa mara kwa mara na utawala wa Kizayuni katika eneo.
-
Kamanda: Jeshi la Iran litawaponda maadui wakifanya kosa lolote
Mar 23, 2025 07:26Kamanda Mkuu wa Kikosi cha Nchi Kavu cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Brigedia Jenerali Kiumars Heidari amesema kikosi chake kiko macho na tayari kabisa kuwaangamiza maadui endapo watathubutu kufanya makosa yoyote dhidi ya taifa hili.
-
Iran yasikitishwa na shambulio la kigaidi lililoua 44 msikitini Niger
Mar 23, 2025 07:18Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baghaei amelaani vikali shambulio la kigaidi la karibuni dhidi ya msikiti mmoja kusini magharibi mwa Niger.
-
Jibu la Iran kwa propaganda za Marekani na utawala wa Kizayuni
Mar 23, 2025 03:07Amir Saeed Iravani, Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amekanusha tuhuma zisizo na msingi za Marekani dhidi ya Iran na kusema: 'Tuhuma hizi zisizo na msingi kwa mara nyingine tena zinabainisha siasa za uadui za serikali ya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.'