-
Kamanda Pourdastan: Iran itaimarisha uwezo wake wa kiulinzi sambamba na vitisho
Feb 16, 2025 04:08Kamanda wa ngazi ya juu wa jeshi la Iran amesema kuwa vikosi vya ulinzi vya nchi hii vimejitolea kukuza uwezo wa kiulinzi kulingana na vitisho vinavyoibuka dhidi ya taifa.
-
Mabadilishano ya kibiashara ya Iran na nchi jirani yaongezeka
Feb 15, 2025 22:56Mabadilishano ya kibiashara ya Iran na nchi jirani yanaonekana kuongezeka katika miezi michache ya hivi karibuni.
-
Mwanadiplomasia: Kuna mawasiliano yasiyo ya moja kwa moja kati ya Iran na watawala wa Syria
Feb 15, 2025 08:43Mjumbe maalum wa waziri wa mambo ya nje wa Iran katika masuala ya Syria amethibitisha kwamba Iran ina mawasiliano yasiyo ya moja kwa moja na kundi la Hay’at Tahrir al-Sham (HTS) linalotawala Syria, zaidi ya miezi miwili baada ya kundi hilo la wanamgambo kuchukua mamlaka katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Iran yaonya baada ya Israel kutishia kushambulia ndege yake ya abiria
Feb 15, 2025 03:45Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmail Baghaei ameukosoa vikali utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kutishia kushambulia ndege ya abiria ya Iran iliyokuwa imebeba raia wa Lebanon.
-
Iran yalaani shambulizi la kigaidi la Balochistan, Pakistan
Feb 14, 2025 23:13Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali shambulio la kigaidi katika jimbo la Balochistan nchini Pakistani, ambalo limesababisha vifo na kujeruhiwa wafanyakazi kadhaa wasio na hatia.
-
Khatibu ya Swala ya Ijumaa: Rais wa Marekani ni muungaji mkono wa ugaidi
Feb 14, 2025 09:39Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amewapongeza wananchi Waislamu wa Iran kwa kujitokeza kwa wingi katika maandamano ya Bahman 22 ya kuadhimisha miaka 46 ya Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ya mwaka 1979.
-
Iran yataka kuimarishwa ushirikiano wa kiuchumi wa "D-8"
Feb 14, 2025 04:37Naibu Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran anayeshughulikia diplomasia ya uchumi amesisitiza utayarifu wa Jamhuri ya Kiislamu wa kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi kati ya wanachama wa Jumuiya ya Nchi Nane Zinazostawi za Kiislamu (D-8).
-
Rais Pezeshkian: Tunaijenga Iran kwa kutegemea nguvu za ndani na kutoa majibu dhidi ya vikwazo
Feb 13, 2025 23:08Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza umuhimu wa nguvu ya ndani na mshikamano wa kitaifa na kubainisha kwamba, licha ya vikwazo, tunaijenga Iran kwa kutegemea uwezo na nguvu za ndani.
-
Iran yapongeza hatua ya Afrika Kusini ya kuishtaki Israel ICJ
Feb 13, 2025 23:03Mansour Shakib Mehr, balozi wa Iran nchini Afrika Kusini amepongeza hatua ya serikali ya Pretoria ya kuwasilisha mashtaka dhidi ya utawala haramu wa Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) kutokana na jinai za utawala huo ghasibu huko Gaza.
-
Malengo ya kisiasa na kiuchumi inayofuatilia Iran katika eneo la Amerika ya Latini
Feb 13, 2025 23:02Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Colombia wamefanya mazungumzo kwa njia ya simu wakitilia mkazo kupanuliwa na kustawishwa uhusiano baina ya pande mbili.