-
Iran yazindua meli mpya zilizoundwa na wazawa kwa ajili ya ulinzi wa pwani
Feb 13, 2025 07:51Iran imezindua meli 10 za walinzi wa pwani na meli za uongozaji wakati wa ziara ya Rais Masoud Pezeshkian katika mji wa bandari wa Ghuba ya Uajemi wa Bushehr hapa nchini.
-
Wizara ya Mambo ya Nje: Iran haikubali mazungumzo chini ya mashinikizo
Feb 13, 2025 07:14Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haikubali mazungumzo chini ya mashinikizo, na kutangaza kuwa: Katika kuendeleza utendaji wake wa kisheria, Iran, daima inaunga mkono suuala la kupatiwa ufumbuzi masuala mbalimbali kwa njia za kidiplomasia ikiwa ni pamoja na suala la nyuklia.
-
Iravani: Iran inaunga mkono kuundwa serikali jumuishi nchini Syria
Feb 13, 2025 03:22Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema: Iran inaunga mkono uundwaji wa serikali shirikishi kupitia uchaguzi huru na mazungumzo jumuishi ya kitaifa nchini Syria.
-
Pezeshkian: Siasa za Trump kuhusu mazungumzo ni za nyuso mbili
Feb 12, 2025 23:23Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa sera za rais wa Marekani, Donald Trump dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu na kusema: "Akiwa juu ya jukwaa (Trump) anasema anataka kufanya mazungumzo na sisi, lakini wakati huo huo anafunga njia zote."
-
Mkutano wa dharura wa OIC kuhusu Gaza kufanyika kwa pendekezo la Iran
Feb 12, 2025 23:22Kikao kisicho cha kawaida cha Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) ch kuchunguza njama ya Marekani na Israel ya kuwaondoa kwa nguvu watu wa Gaza, kitafanyikandani ya wiki zijazo kutokana na pendekezo la Iran.
-
Jibu la Iran kwa matamshi ya kiuhasama na yasiyo ya kidiplomasia ya Rais wa Marekani
Feb 12, 2025 22:56Katika ujumbe wake kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ilijibu matamshi ya kiuhasam na yasiyo ya kidiplomasia ya Rais wa Marekani, Donald Trump.
-
Imam Khamenei: Wairani wamepuuza vitisho vya kijinga vya adui na kutuma ‘ujumbe wa umoja’ kwenye maadhimisho ya Bahman 22
Feb 12, 2025 10:37Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amelipongeza taifa la Iran kwa kufikisha "ujumbe wa umoja" kwa jamii ya kimataifa katika maadhimisho ya miaka 46 ya Ushindi wa Mapinduzi ya Kihistoria ya Kiislamu ya Iran ya mwaka 1979.
-
Rais wa Iran apinga vikali mpango wa Trump wa kuwaondoa Wapalestina Ukanda wa Gaza
Feb 12, 2025 03:45Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepinga mpango wa Rais wa Marekani Donald Trump wa kuwahamisha wakazi wa Gaza na kupelekwa katika nchi nyingine.
-
Mkuu wa majeshi ya Iran: Umoja ndio njia pekee ya kukabiliana na utawala wa Kizayuni
Feb 12, 2025 03:43Meja Jenerali Mohammad Bagheri Mkuu wa Majeshi ya Iran amesema kuwa, kwa kuzingatia dhati ya unyama na kupenda kujitanua utawala wa Kizayuni wa Israel, njia pekee ya kukabiliana na utawala huo vamizi na wa kigaidi ni mataifa ya eneo hili kudumisha umoja na mshikamano baina yao.
-
Tehran yalaani tishio la Trump la kutumia mabavu dhidi ya Iran
Feb 12, 2025 03:16Iran imelaani vikali tishio la Rais wa Marekani, Donald Trump, la kutumia nguvu dhidi ya nchi hiyo na kusema linatia wasiwasi mkubwa na linaonyesha kutowajibika ipasavyo.