-
Spika wa Bunge la Iran ataka kudumishwa umoja wa Waislamu kukabiliana na jinai za Israel
Dec 15, 2024 23:13Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya udharura wa kudumishwa umoja na mshikamano baina ya mataifa ya Kiislamu kwa ajili ya kukabiliana na jinai za utawala haramu wa Israel.
-
Iran: Marekani imepuuza sheria za haki za binadamu kwa kuunga mkono utawala wa Kizayuni
Dec 15, 2024 07:54Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema katika ripoti yake ya kila mwaka kuwa: Marekani imepuuza sheria za kimataifa na maamuzi yote ya taasisi za haki za binadamu kwa uungaji mkono wake mkubwa na usio na kikomo kwa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Iran: Marekani ni mwekaji mkubwa zaidi wa vikwazo na mkiukaji mkuu wa haki za binadamu
Dec 15, 2024 03:36Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesema Marekani ndiye mwekaji mkubwa zaidi wa vikwazo duniani na mkiukaji mkuu wa "kimfumo" wa haki za binadamu.
-
Kiwango cha safari za meli za kibiashara za Iran kimeongezeka sana
Dec 14, 2024 23:37Ali Akbar Safaei, Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bandari na Safari za Baharini la Iran amesema kuwa: Uwezo wa meli za kibiashara za Jamhuri ya Kiislamu umeongezeka sana na kufikia meli 87 baada ya wataalamu wake wa ndani kutengeneza meli mpya zaidi na nyingine kununua kutoka nje.
-
Rais wa Iran azindua mafanikio 6 ya utafiti wa Chuo Kikuu cha Tehran
Dec 14, 2024 09:11Sambamba na ufunguzi wa maonyesho ya 12 ya vifaa vya maabara ambavyo vimeundwa Iran, Rais wa Jamhuri ya Iran amezindua mafanikio 6 ya utafiti wa Chuo Kikuu cha Tehran.
-
Eslami: Shughuli za nyuklia za Iran ni kwa mujibu wa kanuni za wakala wa kimataifa wa nyuklia
Dec 14, 2024 08:55Mohammad Eslami, Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amesema hadi leo, shirika hilo daima limekuwa likitekeleza shughuli za nyuklia kwa mujibu wa mkataba wa NPT wa kuzuia usambazwaji silaha za nyuklia. Aidha amesema: Shughuli ya nyuklia ya Iran zinaendelea kwa mujibu wa kanuni za Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA).
-
Araghchi: "Muqawama" ndilo suluhisho pekee kwa vijana wa eneo la kukabiliana na uvamizi wa utawala wa Kizayuni
Dec 14, 2024 04:22Seyed Abbas Araghchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameeleza katika andiko lililochapishwa katika gazeti la Al-Akhbar la Syria kwamba, “Muqawama” ndio suluhisho pekee kwa vijana wa eneo hili la kukabiliana na uvamizi wa utawala wa Kizayuni.
-
Kikao cha 10 cha Kamisheni ya Pamoja ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Iran na Qatar
Dec 13, 2024 23:17Kufanyika Kikao cha 10 cha Kamisheni ya Pamoja ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Iran na Qatar huko Doha, kunaonyesha umuhimu unaotolewa na nchi mbili hizi kwa ajili ya kuimarisha uhusiano wa kiuchumi na kibiashara.
-
Waziri wa Afya: Iran ni kinara wa kikanda katika dawa za nyuklia
Dec 13, 2024 23:15Waziri wa Afya, Tiba na Elimu ya Tiba wa Iran, Mohammad Reza Zafarqandi ametangaza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ndio kinara wa kanda ya Asia Magharibi katika masuala ya nyuklia na kubainisha kuwa, kuna vituo 220 vya dawa za nyuklia katika maeneo mbalimbali ya nchi vinavyonufaika na uwezo huo na malighafi zinazozalishwa na Shirika la Atomiki la Iran.
-
Msomi wa Iran atoa wito wa kuanzishwa Umoja wa Mataifa ya Kiislamu
Dec 13, 2024 22:57Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu ametoa wito kwa nchi za Kiislamu kuunda umoja na kujitahidi kuungana ili kufikia ustaarabu mpya wa Kiislamu.