-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Ulaya ni kielelezo cha unafiki
Oct 30, 2024 04:42Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema kuwa, Ulaya ni kielelezo cha unafiki. Abbas Araghchi ameyasema hayo akijibu matamshi ya uingiliaji kati ya Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya baada ya kunyongwa kiongozi wa kundi la kigaidi la "Tondar" nchini Iran.
-
Iran yalaani mauaji ya kinyama ya Israel Beit Lahiya
Oct 30, 2024 00:01Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali jinai na hujuma ya umwagaji damu huko Bait Lahiya iliyofanywa na utawala haramu wa Israel.
-
Iran: Tuna haki halali ya kujilinda na kujihami
Oct 30, 2024 00:00Msemaji wa serikali ya Iran, Fatemeh Mohajerani amesema Jamhuri ya Kiislamu ina haki ya kujilinda na kusisitiza kuwa, nchi hii itatekeleza haki hiyo "halali" kwa "wakati na mahali mwafaka."
-
Araghchi: Baraza la Usalama linapasa kuiwekea vikwazo Israel
Oct 30, 2024 00:00Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lina jukumu la kuuwekea vikwazo utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na tabia ya utawala huo kuendelea kushupalia vita na umwagaji damu huko Gaza na Lebanon.
-
IRGC: Vipigo vya kushtukiza na kushangaza vinaisubiri Israel
Oct 29, 2024 23:59Kamanda wa ngazi za juu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) ameonya kwamba, mipango mipya ya majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu itaishangaza Israel katika siku zijazo na kusisitiza kuwa, utawala huo wa kihalifu utakabiliana na hali mbaya zaidi kutokana na vipigo kutoka taifa hili.
-
Ahmad Nourozi apongeza uungaji mkono wa Afrika Kusini kwa wananchi wa Palestina
Oct 29, 2024 08:06Mkuu wa kitengo cha matangazo ya nje cha Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) amesema kuwa Afrika Kusini inang'aa kama nyota katika kuwaunga mkono na kuwatetea wananchi wa Palestina na imekuwa na mchango athirifu katika uwanja huo.
-
Iran: Mapigo tutakayojibu dhidi ya shambulio la Israel yataendana na sheria za kimataifa
Oct 29, 2024 04:30Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema Jamhuri ya Kiislamu inabaki nayo haki yake ya msingi ya kujibu mashambulio ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya ardhi yake na kwamba ulipizaji kisasi utakaofanywa na Tehran utaendana kikamilifu na sheria za kimataifa.
-
Kikao cha tano cha Kamisheni ya Pamoja ya Iran na Tanzania kimeshirikisha wanawake wengi
Oct 29, 2024 04:25Makamu wa Rais wa Iran anayehusika na Masuala ya Wanawake na Familia ametangaza kuwa kikao cha tano cha Kamisheni ya pamoja ya Iran na Tanzania kimefanyika kwa kushirikisha wanawake wengi na kwa lengo la kupanua uhusiano wa kiuchumi, kibiashara, kijamii na kiutamaduni kati ya nchi hizo mbili.
-
Nguvu za kijeshi za Iran hazijaathiriwa na shambulio la Israel
Oct 28, 2024 23:39Katibu wa Baraza Kuu la Usalama la Kitaifa la Iran (SNSC) Ali Akbar Ahmadian amesema hujuma ya hivi karibuni za Israel haijapunguza hata kidogo nguvu za kijeshi za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
X yasimamisha akaunti ya Ayatullah Khamenei ya lugha ya Kiebrania
Oct 28, 2024 23:38Mtandao wa kijamii wa X, ambao zamani ulijulikana kama Twitter, umesimamisha akaunti ya lugha ya Kiebrania ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei.