-
Iran imesharekebisha uharibifu mdogo uliosababishwa na mashambulizi ya Israel
Oct 28, 2024 23:31Waziri wa Ulinzi wa Iran Brigedia Jenerali Aziz Nasirzadeh anasema hujuma ya hivi majuzi wa utawala wa Israel dhidi ya vituo kadhaa vya kijeshi vya Iran ulisababisha uharibifu "mdogo" ambao ulirekebishwa mara moja.
-
Iran: Kiburi cha Israel kinatokana na uungaji mkono usio na kikomo wa Marekani
Oct 28, 2024 09:24Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema kuwa, sababu kuu ya kiburi na ufidhuli wa utawala wa Kizayuni wa Israel ni uungaji mkono usio na kikomo wa Marekani.
-
Bangladesh yalaani uvamizi wa Israel dhidi ya Iran
Oct 28, 2024 08:56Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Bangladesh sawa na nchi nyingine nyingi za Kiislamu imelaani kitendo cha kichokozi cha utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran.
-
Mifano ya makosa ya kimahesabu yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni kuhusu nguvu na uwezo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Oct 28, 2024 06:17Akizungumza jana Jumapili mjini Tehran, na familia za Mashahidi wa Usalama, Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umefanya makosa makubwa ya kimahesabu kuhusu Iran na kusisitiza kuwa utawala huo unapaswa kuadhibiwa na kufahamishwa nguvu, irada na ubunifu wa taifa la Iran na vijana wa nchi hii.
-
Rais Pezeshkian: Iran itatoa jibu linalostahiki kwa uchokozi wa Israel dhidi yake
Oct 28, 2024 03:25Rais Masoud Pezeshkian amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haipendi vita lakini iko imara katika kujihami na kulinda usalama wa wananchi wake na itatoa jibu linalostahiki kwa uchokozi wa utawala wa Kizayuni dhidi yake.
-
Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Misri wafanya mazungumzo kuhusu chokochoko mpya za Israel dhidi ya Iran
Oct 28, 2024 03:20Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri jana Jumapili ilitoa taarifa na kusema kuwa, Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo, Badr Abdelatty amefanya mazungumzo ya simu na waziri mwenzake wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi na kujadiliana naye kuhusu shambulio la Israel la siku ya Jumamosi dhidi ya baadhi ya maeneo ya Iran.
-
Iran yaliandikia barua Baraza la Usalama kuhusu shambulio la kigaidi kusini mashariki mwa nchi
Oct 27, 2024 23:28Balozi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa ameliandikia barua Baraza la Usalama la Umoja huo na kulitaka litoe azimio la kulaani shambulio la kigaidi la genge linalojiita "Jeysh al Adl" katika mkoa wa Sistan na Baluchistan wa kusini mashariki mwa Iran.
-
Araghchi: Iran itatoa majibu kwa Israel katika wakati itakaoona unafaa
Oct 27, 2024 23:27Sayyid Abbas Araghchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa, ni haki ya Jamhuri ya Kiislamu kujibu uchokozi wa utawala wa Kizayuni na itatoa majibu dhidi ya Israel katika muda itakaoona unafaa.
-
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu: Utawala wa Kizayuni umefanya makosa ya kimahesabu
Oct 27, 2024 08:50Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: Wakuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamefanya mahesabu potofu kuhusu Jamhuri ya Kiislamu kwa sababu hawawafahamu vijana na wananchi wa Iran na bado hawajaweza kuelewa ipasavyo nguvu, uwezo, uvumbuzi na irada ya taifa hili.
-
Baraza la Usalama kujadili hatua za uchokozi za Israel dhidi ya Iran kesho Jumatatu
Oct 27, 2024 08:19Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limesema kuwa kesho Jumatatu litaitisha kikao kujadili mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran.