-
Iran: Vitendo vya kiwendawazimu vya Israel inapasa vikabiliwe na hatua za haraka za kimataifa
Sep 20, 2024 04:11Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema, vitendo vya kiwendawazimu vya utawala wa Kizayuni ni tishio la wazi kwa amani na usalama wa dunia na inapasa vikabiliwe na hatua za haraka za kimataifa.
-
Ujumbe tofauti wa Kongamano la Umoja wa Kiislamu mjini Tehran
Sep 19, 2024 22:59Kusadifiana jinai za utawala wa Kizayuni huko Gaza na kuenea jihai hizo hadi Lebanon kwa kulengwa kigaidi maelfu ya raia wa nchi hiyo kumeongeza maradufu haja ya kongamano la 38 mjini Tehran kutoa kipaumbele kwa mipango ya kuimarisha umoja wa kivitendo baina ya Waislamu na kuziwezesha nchi za Kiislamu kufikia nguvu moja ya kuzuia jinai za aina hiyo.
-
Rais wa Iran: Jinai za Israel ni matokeo ya ukosefu wa umoja wa Waislamu
Sep 19, 2024 11:19Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, adui analeta mgawanyiko na mifarakano kati yetu na kubainisha kwamba, Waisraeli milioni 2 au 3 wanawaangamiza Waislamu, wanaua wanawake na watoto, wazee na vijana na wagonjwa, wanapiga mabomu hospitali na misikiti na sisi tumekaa tu na kutazama, kwa sababu hatuna umoja na ndio maana Israel inathubutu kufanya jinai hizi.
-
Radiamali ya Iran kuhusu jinai ya utawala wa Israel ya kulipua vyombo vya mawasiliano vya pager nchini Lebanon
Sep 19, 2024 07:03Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani jinai ya kigaidi ya Wazayuni ya kulipua vyombo vya mawasiliano vya "pager" katika maeneo tofauti ya Lebanon na kusema jinai hiyo ni aibu kubwa kwa nchi za Magharibi hususan Marekani.
-
Tehran na Moscow zasisitiza kufikia makubaliano jumuishi ya kimkakati kati yao
Sep 19, 2024 03:45Rais Vladimir Putin wa Russia amekubali pendekezo la Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo ya kutiwa saini makubaliano ya kina ya ushirikiano wa kimkakati na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Rais wa Iran atoa mkono wa pole kwa wananchi wa Lebanon kufuatia jinai ya juzi ya Wazayuni
Sep 19, 2024 03:22Rais wa Iran ametoa mkono wa pole kwa wananchi wa Lebanon kufuatia jinai ya juzi ya Wazayuni nchini humo ambapo raia kadhaa wa nchi hiyo wameuawa shahidi na wengine wengi kujeruhiwa.
-
Mkutano wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu umeanza Tehran kwa kuhudhuriwa na Rais wa Iran
Sep 19, 2024 03:18Mkutano wa 38 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu umeanza leo hapa mjini Tehran kwa kuhudhuriwa na Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Iran na Russia katika njia ya kuimarisha uhusiano wa pande mbili
Sep 19, 2024 03:11Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu wa Baraza la Usalama la Shirikisho la Russia kwa madhumuni ya kuboresha mahusiano ya pande mbili.
-
Mkuu wa IAEA atembelea maonyesho ya mafanikio ya nyuklia ya Iran
Sep 19, 2024 01:16Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) Rafael Grossi ametembelea mafanikio ya Iran katika sekta ya nyuklia, na kusema Jamhuri ya Kiislamu imepiga hatua kubwa katika sekta mbalimbali za sayansi.
-
Nia njema ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kuendeleza uhusiano na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA)
Sep 19, 2024 01:00Mohammad Eslami, Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika mazungumzo na Rafael Grossi, Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) kando ya Mkutano Mkuu wa 68 wa wakala huo huko Vienna, kwamba Uhusiano wa Iran na wakala huo utaendelea kuwa imara na kwamba mchakato huo utadumishwa madamu maslahi ya Iran yatazingatiwa.