-
Iran yakosoa 'hujuma' ya Israel dhidi ya Katibu Mkuu wa UN
Oct 04, 2024 03:42Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa vikali hatua ya karibuni ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres.
-
Rais wa Iran: Jamhuri ya Kiislamu inapambana na vitendo vya kuhatarisha usalama na kuzusha machafuko katika eneo hili
Oct 03, 2024 22:56Rais wa Iran amesisitiza kuwa, iwapo utawala wa Kizayuni utafanya kosa lolote la kijinai, basi utakumbwa na jibu madhubuti na kali na kwamba Jamhuri ya Kiislamu inapambana na vitendo vya utawala ghasibu wa Kizayuni vya kuzusha machafuko na kueneza mgogoro katika eneo hili.
-
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: G-7 itumie nyenzo zake kukomesha mauaji ya kimbari ya Wapalestina
Oct 03, 2024 22:54Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameeleza kuwa kundi la G-7 linapasa kutumia nyenzo zake za mashinikizo ili kusitisha haraka mauaji ya kimbari ya Wapalestina na kukomesha mashambulizi ya utawala wa Kizayuni huko Palestina, Lebanon, Syria na katika nchi nyingine za eneo hili.
-
Rais Pezeshkian: Iran itatoa jibu kali zaidi iwapo Israel itafanya 'kosa'
Oct 03, 2024 09:26Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesema Iran bila ya shaka itatoa jibu lenye "nguvu na la kukandamiza zaidi" kwa utawala haramu wa Israel ukiwa utafanya hata kosa "dogo" tu la kujaribu kujibu shambulizi kulipiza kisasi lililofanywa Jumanne usiku na Iran kwa kuyatwanga kwa makombora maeneo nyeti ya kijeshi na kiusalama ya utawala wa Kizayuni.
-
Iravani: Shambulio la Iran la makombora ni jibu kwa ugaidi wa Israel
Oct 03, 2024 09:19Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa shambulio la makombora ya balistiki la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel la juzi Jumanne lilikuwa jibu la lazima kwa vitendo vya kigaidi vya utawala huo ghasibu katika kipindi cha miezi miwili iliyopita.
-
Mwangwi wa sauti ya makombora ya Iran dhidi ya Israel wasikika duniani kote
Oct 03, 2024 05:47Mashambulizi ya makombora ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran dhidi ya utawala ghasibu na wa kigaidi wa Israel yameacha mwangwi mkubwa katika duru za kisiasa, kijeshi na hata baina ya watu wa mataifa, dini na mbari tofauti kote duniani.
-
Araghchi atoa onyo kali kuhusu jinai za utawala wa Kizayuni Asia Magharibi
Oct 03, 2024 04:42Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Sayyid Abbas Araghchi, ameeleza kuwa, jinai za utawala wa Kizayuni ndio chanzo cha mgogoro mkubwa katika eneo la Magharibi mwa Asia.
-
Waziri wa Ulinzi wa Iran: Operesheni ya Ahadi ya Kweli II' imetimiza malengo yake kwa zaidi ya asilimia 90
Oct 03, 2024 01:10Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema operesheni ya kulipiza kisasi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran dhidi ya utawala wa Israel iliyopewa jina la Ahadi ya Kweli II imefanikiwa malengo yake kwa zaidi ya asilimia 90.
-
Jenerali Bagheri: Operesheni ya IRGC imelipizaa kisasi kwa jinai nyingi za Utawala wa Kizayuni
Oct 03, 2024 01:00Mkuu wa Kamandi ya Majeshi ya Iran ameelezea operesheni ya Jumanne usiku ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu dhidi ya utawala wa Israel kama kulipiza kisasi kwa jinai nyingi za utawala huo.
-
'Makombora ya Iran ya kizazi kipya yatashangaza ulimwengu, yako tayari kurushwa'
Oct 03, 2024 00:56Kamanda wa zamani katika Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ambaye sasa ni mbunge amesema makombora ya Iran ya kizazi kipya yako tayari kuvurumishwa ili kutoa jibu thabiti na kali kwa shambulio lolote linaloweza kufanywa na Israel kufuatia operesheni ya kulipiza kisasi ya Operesheni ya Ahadi ya Kweli II dhidi ya utawala wa Kizayuni.