-
Baada ya UN, Iran yaitaarifu EU: Tutalitia adabu genge la wahalifu la utawala wa Kizayuni wa Israel
Aug 03, 2024 03:27Iran itatumia haki yake ya asili na halali ya kuliadhibu "genge la wahalifu la Kizayuni" kwa shambulio lake la kigaidi la siku ya Jumatano iliyopita, ambalo lilipelekea kuuawa mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) Ismail Haniyeh mjini Tehran.
-
Siasa za serikali ya 14 ya Iran ni kuendeleza ushirikiano mzuri na nchi jirani na za dunia
Aug 03, 2024 00:50Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa siasa za serikali ya 14 ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika uga wa siasa za kigeni ni kuwa na maingiliano mazuri na yenye uwiano na nchi jirani na dunia nzima kwa ujumla kwa lengo la kudhamini haki na maslahi ya taifa la Iran.
-
Iran yamfahamisha Katibu Mkuu wa UN kuwa itawaadhibu 'Wazayuni wahalifu'
Aug 02, 2024 10:21Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Ali Bagheri Kani amesisitiza "haki ya asili" ya Iran ya kujilinda na kuchukua hatua za kujibu baada ya Israel kumuua Ismail Haniyeh, mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palaestina, Hamas, mjini Tehran.
-
Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Jinamizi la kulipiza kisasi limeutia gizani utawala wa Kizayuni
Aug 02, 2024 10:21Imamu wa Swala ya Ijumaa ya Tehran amesema: Mauaji ya Ismail Haniyeh, mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Hamas akiwa mjini Tehran, ni kiungo cha mwisho cha jinai zinazoendelea kufanywa na genge chafu la uhalifu na linaloendelea kuua watoto la Israel.
-
Kamanda Salami: Muqawama utalipiza kisasi cha jinai za karibuni za Israel
Aug 01, 2024 23:14Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) amesema jinai za hivi karibuni za Israel katika eneo la Asia Magharibi zimechochea moto wa ghadhabu miongoni mwa wapiganaji wa makundi ya muqawama ambao sasa wana azma thabiti ya kulipiza kisasi mkabala wa utawala wa Kizayuni.
-
Mfalme Salman atoa mwito wa kuimarishwa uhusiano wa Saudia na Iran
Aug 01, 2024 23:13Mfalme wa Saudi Arabia, Salman bin Abdulaziz Aal-Saud ametoa wito wa kuimarishwa uhusiano wa pande mbili kati ya Riyadh na Tehran.
-
Kikao cha Baraza la Usalama kuhusu kuuawa kigaidi Shahidi Haniyeh
Aug 01, 2024 23:06Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesisitiza katika kikao cha Baraza la Usalama kuhusu kuuawa kigaidi Shahidi Ismail Haniyeh Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Hamas kuwa nafasi ya Marekani kama mshirika wa kistratijia na muungaji mkono mkuu wa utawala wa Israel katika eneo katika jinai hiyo ya kutisha haipaswi kupuuzwa.
-
Spika wa Bunge la Iran: Utawala wa Kizayuni utalipa gharama ya jinai yake
Aug 01, 2024 07:49Katika kujibu mauaji ya mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Hamas mjini Tehran, Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel utalipa gharama kubwa ya chokockoko zake katika ardhi ya Iran.
-
Utawala wa Kizayuni usubiri jibu kali kwa kumwaga damu ya Shahidi Ismail Haniyeh
Aug 01, 2024 07:15Katika tukio jipya la kuibua chokochoko katika eneo, utawala ghasibu wa Kizayuni kwa mara nyingine tena umefanya kitendo kingine cha ugaidi kwa uungwaji mkono wa Marekani, ambapo umemuua shahidi Ismail Haniyeh kiongozi wa kisiasa wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) mjini Tehran.
-
Pezeshkian: Maingiliano makubwa ya kiutamaduni baina ya Iran na Tanzania ni fursa ya kipekee
Aug 01, 2024 03:13Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa maingiliano makubwa ya kiutamaduni baina ya Iran na baadhi ya maeneo ya Tanzania hasa Zanzibar, ni fursa nzuri ya kustawishwa zaidi na zaidi uhusiano wa nchi hizo mbili.