-
Kan'ani: Chokochoko za adui dhidi ya Iran 'hazitapita bila jibu'
Oct 03, 2024 00:53Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran aliyemaliza muda wake ameonya kwamba vitendo vyovyote vya chokochoko dhidi ya mamlaka ya Jamhuri ya Kiislamu na umoja wa ardhi yake havitapita bila kujibiwa.
-
Iran na Qatar zatiliana saini hati 6 za mikataba ya ushirikiano
Oct 03, 2024 00:52Maafisa wa ngazi za juu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Qatar wamelitiana saini hati 6 za mikataba ya ushirikiano wa pamoja katika nyanja mbalimbali.
-
Kiongozi Muadhamu kuswalisha Swala ya Ijumaa mjini Tehran
Oct 02, 2024 12:03Swala ya Ijumaa mjini Tehran wiki hii itaswalishwa na Kiongozi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Rais Pezeshkian: Wazayuni wakithubutu kufanya kosa, watapata jibu kali zaidi la Iran
Oct 02, 2024 10:02Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kwamba operesheni ya makombora ya jana ya kujivunia ya jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran dhidi ya Israel kwa mara nyingine tena imethibitisha kwamba ngao ya chuma inayodaiwa Wazayuni ni dhaifu kuliko kioo.
-
Spika wa Bunge: Tumewaonyesha wavamizi sehemu ndogo tu ya uwezo wa Iran
Oct 02, 2024 09:27Mohammad Baqir Qalibaf, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepongeza operesheni ya makombora ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH dhidi ya utawala wa Kizayuni na kusisitiza kuwa, wavamizi wameonyeshwa sehemu ndogo tu nguvu ya Iran.
-
Operesheni ya Ahadi ya Kweli-2: Hatua ya Iran ya kujilinda kihalali
Oct 02, 2024 08:47Sayyid Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelitaja shambulio kali la makombora la Iran la Oktoba Mosi dhidi ya utawala haramu wa Israel kuwa ni haki yake halali ya kujilinda kwa msingi wa Kifungu cha 51 cha Hati ya Umoja wa Mataifa.
-
Araghchi: Tumejiandaa kwa mashambulio tarajio ya Israel, jibu letu litakalofuata litakuwa kali zaidi
Oct 02, 2024 08:46Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameeleza kuwa, operesheni ya makombora ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) dhidi ya maeneo ya utawala wa Kizayuni wa Israel yalikuwa ni ya kujihami kikamilifu na kusisitiza kuwa: Iwapo utawala wa Kizayuni utataka kujibu mashambulio hayo, basi jibu letu litakalofuata litakuwa kali zaidi.
-
Wakazi wa Tehran wakusanyika kuunga mkono mashambulio ya makombora dhidi ya Israel
Oct 02, 2024 08:44Wananchi wa mji mkuu wa Iran Tehran leo wamekusanyika katika medani ya Imam Hussein (as) na kutangaza himaya na uungaji mkono wao kwa Operesheni ya Ahadi ya Kweli-2 ya mashambulio ya makombora ya Iran dhidi ya utawala haramu wa Israel.
-
Tathmini ya vipengele vya kijeshi vya Operesheni ya Ahadi ya Kweli -2: Jibu kwa shari za Israeli
Oct 02, 2024 07:44Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) jana usiku lilitoa taarifa likitangaza kuwa limeshambulia kitovu cha maeneo yanayokaliwa kwa mabavu ya Palestina (Israel) ikiwa ni katika kujibu mauaji ya shahidi Ismail Haniyeh, Sayyid Hassan Nasrullah na Meja Jenerali Abbas Nilforoushan Kamanda na mshauri wa ngazi ya juu wa IRGC huko Lebanon.
-
Ayatullah Khamenei: Njia pekee ya kumaliza vita Asia Magharibi ni kupungua uovu wa Marekani
Oct 02, 2024 07:23Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, chimbuko la matatizo ya eneo la Asia Magharibi ni mataifa kama Marekani na baadhi ya nchi za Ulaya zinazodai kwa uwongo kwamba, zinataka amani na utulivu.