-
Mawaziri wa Iran na Uturuki wajadili jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel Gaza
Jun 02, 2024 05:55Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran na Uturuki wamefanya mazungumzo na kujadili hali ya mambo huko Palestina hususan jinai za utawala haramu wa Israel dhidi ya watu wa Gaza.
-
Kuendelea uungaji mkono wa kimataifa kwa watu wa Gaza
Jun 02, 2024 03:01Wananchi wa maeneo tofauti ya dunia wanaendela kufanya maandamano na mikusanyiko kwa ajili ya kuwaunga mkono wananchi madhulumu na wanaosimama imara wa Ukanda wa Gaza na kusisitiza juu ya kusimamishwa jinai za utawala wa Kizayuni katika ukanda huo.
-
Zohreh Elahian, mwanamke wa kwanza kujiandikisha kuwania urais Iran 2024
Jun 02, 2024 01:41Mbunge wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran), Zohreh Elahian amekuwa mwanamke wa kwanza kujiandikisha kugombea uchaguzi wa mapema wa duru ya 14 ya urais wa Jamhuri ya Kiislamu, kufuatia kufa shahidi Rais Ebrahim Raisi katika ajali ya helikopta.
-
Persepolis yatwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Soka Iran
Jun 02, 2024 06:59Klabu ya Persepolis ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Soka hapa nchini baada ya kuichachafya klabu ya Mes Rafsanjan Jumamosi. Esteqlal imemaliza ya pili baada ya kuisasambua Peykan mabao 2-0.
-
Spika wa Bunge la Iran: Ulimwengu umeanza kusikia sauti ya Palestina
Jun 01, 2024 22:58Spika wa Majlisi ya Ushauri wa Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, ulimwengu umeanza kusikia sauti ya Palestina.
-
Mafanikio ya kihistoria ya kudumu ya Shahid Raisi aliyekufa shahidi na wenzake, katika sekta ya mafuta na gesi
Jun 01, 2024 22:52Tangu kuingia madarakani serikali ya awamu ya 13, miradi mikubwa 132 ambayo ilikuwa haijakamilika yenye thamani ya dola bilioni 28.5 imekamilika katika sekta ya mafuta na gesi, na wakati huo huo kuanza utekelezaji wa miradi mipya 50 yenye thamani ya dola bilioni 47.5.
-
Bagheri: Operesheni ya Ahadi ya Kweli ilitokomeza uwezo bandia wa Israel wa kuzuia hujuma
Jun 01, 2024 07:18Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "ubunifu na uamuzi wa Iran wa kumtia adabu mchokozi kwa operesheni ya Ahadi ya Kweli umetokomeza na kufuta uwezo hewa na bandia wa kuzuia hujuma na mashambulio wa utawala wa Kizayuni".
-
Wagombea wa uchaguzi wa Rais wa Iran wazidi kujiandikisha kwa ajili ya kinyang'anyiro hicho
Jun 01, 2024 08:36Hadi sasa idadi ya watu waliojiandikisha kugombea kiti cha urais nchini Iran imeongezeka hadi 9 baada ya watu wanne zaidi kujiandikisha kuwania nafasi hiyo.
-
Kan'ani: Jamii ya kimataifa na nchi za Kiislamu zinapaswa kutekeleza wajibu wao wa kisheria kuisaidia Yemen
May 31, 2024 22:54Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameitaka jamii ya kimataifa na mataifa ya Kiislamu kutekeleza wajibu wao wa kisheria na kibinadamu wa kuwaunga mkono watu wanaodhulumiwa wa Yemen na kupinga hatua za kichochezi na za chokochoko za Marekani na Uingereza katika eneo hili.
-
Iran na Saudia zasisitiza kupanua na kustawisha uhusiano wao
May 31, 2024 22:51Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia wamesisitiza kustawishwa uhusiano wa pande mbili katika mazungumzo waliyofanya kwa njia ya simu.