-
Makamanda wa IRGC na wakuu wa kambi ya muqawama wakutana Tehran
May 24, 2024 03:56Makamanda waandamizi wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) wamekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa makundi ya muqawama waliokuja hapa nchini Iran kushiriki mazishi ya viongozi wa Jamhuri ya Kiislamu akiwemo Rais Ebrahim Raisi waliokufa shahidi katika ajali ya helikopta Jumapili iliyopita.
-
Balozi Saffar: Iran na Uganda kuendeleza uhusiano wao mzuri baina yao
May 23, 2024 23:09Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Kampala Uganda amesema kuwa, kifo cha Rais Ebrahim Raisi hakitaathiri uhusiano mzuri uliopo baina ya mataifa hayo mawili.
-
Ali Bagheri Kani: Muqawama umewadhalilisha Wazayuni katika uga wa diplomasia
May 23, 2024 23:08Kaimu Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Iran amesema kuwa, muqawama umewadhalilisha Wazayuni katika uga wa kidipolasia.
-
Watu milioni 3 washiriki mazishi ya Rais Ebrahim Raisi mjini Mashhad
May 23, 2024 10:14Waombolezaji zaidi ya milioni tatu wameshiriki katika mazishi ya kumuaga na Rais Ebrahim Raisi wa Iran, aliyekufa shahidi katika ajali ya helikopta iliyotokea Jumapili iliyopita katika mkoa wa Azarbaijan Mashariki, kaskazini magharibi mwa Iran.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran azikwa mjini Rey, mkoani Tehran
May 23, 2024 09:02Mwili wa Hossein Amir-Abdollahian, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran aliyekufa shahidi katika ajali ya helikopta iliyotokea Jumapili iliyopita kaskazini magharibi mwa nchi umezikwa leo katika Haram ya Shah Abdol-Azim katika mji wa Shahre-Rey, kusini mwa Tehran.
-
Kaimu Rais: Iran itaendelea kuunga mkono kambi ya muqawama
May 23, 2024 07:32Kaimu Rais wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itaendelea kuunga mkono kikamilifu kambi ya muqawama.
-
Mahudhurio makubwa ya kuwaaga Mashahidi Wahudumu wa Iran
May 23, 2024 06:16Mahudhurio makubwa ya wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika hafla ya mazishi ya shahidi Ebrahim Raisi na wenzake ambao walikufa shahidi katika ajali ya helikopta katika eneo la milimani la mkoa wa Azarbaijan Mashariki, kaskazini-magharibi mwa Iran kwa mara nyingine tena yamedhihirisha mshikamano na umoja wa taifa la Iran na nia yao ya kuendeleza njia ya mapambano na muqawama.
-
Kufa shahidi Rais wa watu na mchapakazi wa Iran
May 23, 2024 04:16Kwaheri chimbuko la fahari ya taifa la Iran, kwaheri Kiongozi wa Mashahidi Wahudumu wa nchi hii kwa kazi uliyofanya, kwaheri shakhsia ambaye hukusita kutetea na kuupigania Uislamu, tulikupenda kuliko unavyofikiri; hatutakusahau wewe na marafiki zako.
-
Ansarullah: Shahidi Raisi aliitetea Palestina hadi siku za mwisho kabisa za uhai wake
May 23, 2024 04:15Msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen Muhammad Abdussalam amesema, Shahidi Sayyid Ebrahim Raisi aliitetea Palestina hadi siku za mwisho kabisa za uhai wake.
-
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu asisitiza kuendelea ushirikiano kati ya Iran na Qatar
May 23, 2024 01:32Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, katika kikao na "Tamim bin Hamad Al-Thani" Amir wa Qatar na ujumbe aliofuatana nao, ameishukuru Qatar kwa rambirambi zake katika msiba wa kufa shahidi Sayyid Ebrahim Raisi na mashahidi wenzake, na kusisitiza haja ya kuendelea ushirikiano kati ya nchi hizi mbili.