-
Waislamu wa Tanzania wamuomboleza Sayyid Ebrahim Raisi
May 22, 2024 03:39Waislamu nchini Tanzania wameshiriki katika hafla ya kuwakumbuka na kuwaenzi viongozii wa Iran walioaga dunia hivi karibuni akiwemo Rais Ebrahim Raisi.
-
Wairani wawaomboleza na kuwaaga shahidi Raisi na wenzake katika mji wa Tabriz
May 21, 2024 09:10Mamilioni ya wananchi wa Iran wameshiriki katika msafara mkubwa wa kuawaaga na kutoa heshima za mwisho kwa shahidi Ebrahim Raeisi na wenzake ambao walikufa shahidi katika ajali ya helikopta katika eneo milimani katika mkoa wa Azarbaijan Mashariki, kaskazini-magharibi mwa Iran.
-
Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran asisitiza kusitishwa mauaji ya kimbari ya utawala wa Israel
May 21, 2024 09:02Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametilia mkazo kusitishwa mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni na kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina.
-
Katibu Mkuu wa UN atuma rambirambi kufuatia kufa shahidi Ebrahim Raisi na wenzake
May 21, 2024 08:56Antonio Guterres Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametuma salamu za rambirambi kwa familia za shahidi Rais Sayyid Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wenzake aliokuwa amefuatana nao na kutoa mkono wa pole kwa serikali na wananchi wa Iran.
-
Kaimu Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran aarifishwa rasmi Umoja wa Mataifa
May 21, 2024 08:51Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa wa Mataifa katika barua rasmi kwa Umoja wa Mataifa amewaarifisha katika taasisi hiyo ya kimataifa Kaimu Rais na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kuwa viongozi wa muda katika nyadhifa hizo.
-
Ebrahim Raisi, Hossein Amir-Abdollahian; mashahidi katika njia ya kuhudumia Iran, Uislamu na Muqawama
May 21, 2024 08:44Baada ya kusubiri kwa muda mrefu hatimaye asubuhi ya Jumatatu, wananchi wa Iran walikumbana na habari za kutoaminika kirahisi za kufa shahidi Rais Ebrahim Raisi, Hossein Amir Abdollahian, Waziri wa Mambo ya Nje na viongozi wengine kadhaa aliofuatana nao, katika ajali ya helikopta iliyotokea katika eneo la Varzghan mkoani Azerbaijan Mashariki wakiwa katika kazi ya kuhudumia na kuwatumikia wananchi.
-
Kiongozi Muadhamu: Baraza la Wanazuoni Wataalamu, ni shina la demokrasia ya Kiislamu
May 21, 2024 03:53Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Ali Khamenei amelitaja Baraza la Wanazuoni Wataalamu wanaomchagua na kusimamia kazi za Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuwa shina na kitovu cha demokrasia ya Kiislamu.
-
Iran yatangaza tarehe ya uchaguzi wa rais; Sayyid Raisi kuzikwa Alkhamisi
May 21, 2024 03:50Iran imetangaza Juni 28, 2024 kuwa tarehe ya kufanyika uchaguzi wa rais, kufuatia kufa shahidi Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu katika ajali ya helikopta iliyotokoea Jumapili katika mkoa wa Azarbaijan Mashariki, kaskazini magharibi mwa Iran.
-
Mkuu wa Kitengo cha Ng'ambo cha IRIB atuma rambirambi kufuatia kufa shahidi Rais Raisi
May 20, 2024 08:27Mkuu wa Kitengo cha Ng'ambo cha Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) ametoa salamu za rambirambi kufuatia kufa shahidi Rais wa Iran Ebrahim Raisi katika ajali ya helikopta akiwa pamoja na maafisa wengine waandamizi.
-
Rambirambi za Kiongozi Muadhamu kufuatia kufa shahidi Rais Raisi na wenzake
May 20, 2024 08:20Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa salamu za rambirambi kufuatia kufa shahidi Seyed Ebrahim Raisi, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na ujumbe alioandamana nao.