-
Kana'ani: Mkakati wa Iraq kuzipatanisha Iran, Saudia mzizi wake ni Soleimani
Mar 16, 2023 10:49Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameashiria mapatano ya kurejesha uhusiano wa kidiplomasia kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Saudi Arabia na kueleza kuwa, msingi wa jitihada za Iraq za kuzipatanisha Tehran na Riyadh unatokana na mitazamo ya kistratajia ya Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC).
-
Muhammad Shia al Sudani: Iran haiingilii masuala ya Iraq; Wamagharibi wanapasa kufahamu mazingira ya Iraq
Mar 16, 2023 04:37Waziri Mkuu wa Iraq amekaribisha mapatano ya Iran na Saudi Arabia na kusema kuwa: Iran kamwe haingilii masuala ya ndani ya Iraq na Wamagharibi wanapasa kufahamu mazingira ya Iraq.
-
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Wenye chuki dhidi ya Uislamu hawaamini maadili na dini
Mar 15, 2023 12:53Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameandika katika ukurasa wake wa Twitter kwamba: Wale wenye chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu hawaamini maadili yoyote ya kibinadamu na dini za Mwenyezi Mungu.
-
Tehran, mwenyeji wa kongamano la kubainisha ubaguzi na jinai za Israel
Mar 15, 2023 02:24Kongamano la kupambana na ubaguzi na jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina lilifanyika jana Jumanne hapa Tehran, mji mkuu wa Iran na kuhudhuria na wajumbe wa makundi ya muqawama ya Palestina, maafisa wa Jamhuri ya Kiislamu na wa nchi kadhaa za Kiarabu.
-
Raisi: Maadui wanataka kueneza ujahilia mamboleo katika jamii kwa njia mbalimbali
Mar 14, 2023 12:59Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Leo hii ambapo maadui wanataka kuenenza fikra na mienendo ya ujahilia mamboleo katika jami, ni damu safi ya mashahidi ndiyo inayoondoa na kukabiliana na ujahilia huo.
-
Ushirikiano wa nchi zilizowekewa vikwazo; mkakati wa kuvifanya vikwazo kutokuwa na taathira
Mar 14, 2023 11:23Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria mambo mengi ya pamoja na yanayofanana yaliyopo kati ya Iran na Belarus na kueleza kuwa nchi zilizowekewa vikwazo na Marekani zinapasa kufanya kazi kwa pamoja ili kuondoa kizuizi hicho.
-
Mjumbe wa Guterres: Iran isaidie kuimarisha juhudi za UN za kurejesha amani Yemen
Mar 14, 2023 08:06Mjumbe Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Yemen ameiomba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran isaidie na kuchangia katika jitihada za umoja huo kwa ajili ya kurejesha amani huko Yemen.
-
Balozi wa Kenya Tehran atembelea kiwanda cha kutengeneza matrekta nchini
Mar 14, 2023 07:58Balozi wa Kenya mjini Tehran ametembelea kiwanda cha uzalishaji matrekta nchini Iran na kueleza kuwa, Kenya inataraji kutumia zana na mashine za kilimo kwa ajili ya ustawi na uendelezaji wa sekta hiyo.
-
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi: Nchi zilizowekewa vikwazo na Marekani zinapasa kushirikiana ili kuondoa kigingi hicho
Mar 14, 2023 04:32Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria mambo mengi ya pamoja na yanayofanana yaliyopo kati ya Iran na Belarus na kueleza kuwa nchi zilizowekewa vikwazo na Marekani zinapasa kufanya kazi kwa pamoja ili kuondoa kizuizi hicho.
-
Kanani: Iran iko tayari kuandaa mazingira ya kufikiwa amani nchini Ukraine
Mar 14, 2023 02:10Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Tehran imekuwa ikipinga vita vya Ukraine tangu mwanzo, na kutangaza utayarifu wa Jamhuri ya Kiislamu wa kuandaa mazingira yanayofaa kwa ajili ya kufikiwa amani na kusimamishwa vita nchini Ukraine.