-
Larijani: Asia Magharibi itatumbukia gizani US ikishambulia mtandao wa umeme wa Iran
Mar 13, 2026 03:29Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran ametoa onyo kali akijibu vitisho vipya vilivyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu kushambulia giridi ya taifa ya umeme wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Mlango-Bahari wa Hormuz uendelee kufungwa; apongeza mchango wa wananchi
Mar 12, 2026 11:22Kiongozi wa tatu wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran leo ametoa ujumbe wake wa kwanza baada ya kuchaguliwa kushika nafasi hiyo akitilia mkazo umuhimu wa mchango wa wananchi na mahudhurio yao katika medani na kusema: Wananchi wanataka kuendelezwa mapambano athirifu na ya kumjutisha adui.
-
Jeshi Iran lashambulia makao ya Shin Bet na vituo vya ndege za kivita Israel
Mar 12, 2026 06:02Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu limetangaza kutekeleza shambulio la droni au ndege ya kivita isiyo na rubani dhidi ya kituo cha kijeshi cha Palmachim pamoja na makao ya Shin Bet ndani ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Rais wa Iran atangaza masharti ya kusitishwa vita vya kutwishwa vya US, Israel
Mar 12, 2026 03:51Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian ametangaza masharti kadhaa ya kuhitimisha vita vya kichokozi vilivyoanzishwa na Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu; huku tawala mbili hizo za kigaidi zikiendelea kushambulia maeneo muhimu ya kiraia kama shule, hospitali, makazi ya watu, na turathi za kihistoria za nchi hii.
-
Araghchi aonya UN: Kunyamazia kimya uvamizi wa US, Israel kutashadidisha taharuki katika eneo
Mar 12, 2026 03:23Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran amesema katika mazungumzo yake ya simu na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres kuwa, kufumbia macho au kutochukua hatua za maana mkabala wa vitendo vya kivamizi vya Marekani na Israel dhidi ya Iran kutafungua njia ya kushadidi ukosefu wa utulivu na taharuki katika eneo.
-
Iran yasema haitashiriki Kombe la Dunia la FIFA 2026
Mar 12, 2026 02:57Waziri wa Michezo wa Iran, Ahmad Donyamali amesema timu ya taifa ya soka ya Jamhuri ya Kiislamu haitashiriki katika fainali za Kombe la Dunia katika msimu ujao wa joto, licha ya Rais wa Shirikisho la Soka Duniani FIFA, Gianni Infantino kusisitiza kuwa amehakikishiwa na Rais Donald Trump wa Marekani kwamba Iran inakaribishwa kushiriki mashindano hayo makubwa zaidi ya soka duniani, pamoja na vita vinavyoendelea.
-
Kamanda Hatami: Tutalinda heshima na hadhi ya Iran ya Kiislamu hadi tone la mwisho la damu
Mar 11, 2026 22:57Kamanda Mkuu Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema vijana wa ardhi hii takatifu watalinda heshima ya Iran kwa nguvu na azma hadi tone la mwisho la damu
-
Pezeshkian: Iran haina nia ya kuingia katika mzozo na nchi za eneo
Mar 11, 2026 22:54Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, amesisitiza kwamba Iran haitaki vita au uhasama na nchi za eneo, bali inalenga tu vituo vinavyotumiwa kama chanzo cha mashambulizi dhidi ya ardhi yake.
-
Ushiriki wa kihistoria wa wakazi wa Tehran katika mazishi ya Mashahidi wa Vita vya Ramadhani
Mar 11, 2026 09:59Hafla ya mazishi ya Mashahidi wa Vita vya Ramadhani imefanyika kuanzia Uwanja wa Mapinduzi (Maidan-e Enqelab) hadi Mi‘raj al-Shuhadaa jijini Tehran, ikiambatana na mahudhurio makubwa ya wananchi waliokuja kutoa heshima zao za mwisho.
-
Seneta wa Marekani akiri: Hatutafikia malengo yetu yoyote katika vita na Iran
Mar 11, 2026 09:13Chris Murphy, Seneta wa chama cha Democrat nchini Marekani, kufuatia kikao cha faragha na maafisa wa utawala wa Rais Donald Trump kuhusu uvamizi wa kijeshi dhidi ya Iran, amekosoa mtazamo wa utawala huo na kusema: "Hatutafikia malengo yoyote tuliyotangaza katika vita dhidi ya Iran."