-
Mwandishi habari: Palestina itakuwa huru iwapo Waislamu wote wataisaidia kama inavyofanya Iran
Dec 28, 2023 01:55Mwandishi wa habari kutoka Ukanda wa Gaza amepongeza uungaji mkono usioyumba wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa harakati za kupigania ukombozi wa Palestina kwa miongo kadhaa sasa na kuongeza kwamba, ardhi za Palestina zingekombolewa kutoka mikononi mwa ukoloni na uvamizi wa Israel ikiwa serikali zote za Kiislamu zingesaidia Wapalestina kama Iran inavyofanya.
-
Mazungumzo ya Amir-Abdollahian na viongozi wa Armenia
Dec 28, 2023 00:53Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiiislamu ya Iran aliyeko safarini nchini Armenia amekutana na kufanya mazungumzo kwa nyakati tofauti na Waziri Mkuu na Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa nchi hiyo.
-
Lavrov: Russia inaheshimu bila masharti mamlaka ya ardhi yote ya Iran
Dec 28, 2023 00:52Sergei Lavrov Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia amesema kuwa, Russia inaheshimu kwa dhati na kiukwelii kabisa tena bila masharti mamlaka ya ardhi yote ya ardhi ya Iran na kwamba, huu ni msimamo usiobadilika wa Moscow.
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Mtazamo wa Magharibi kuhusu mwanamke ni wa kimaslahi
Dec 27, 2023 10:57Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kislamu mapema leo amehutubia maelfu ya wanawake na wasichana ambako amebainisha mtazamo wa kimantriki wa Uislamu kuhusu nafasi ya wanawake katika familia na shughuli kijamii, siasa na uongozi katika ngazi mbalimbali na kusisitiza kuwa: Katika Uislamu, njia ya shughuli zozote za kijamii ziko wazi kwa wanawake, sawa na ilivyo kwa wanaume, kwa sharti kwamba mambo mawili muhimu yazingatiwe, yaani suala la familia na kuchunga hatari ya mvuto wa kijinsia.
-
IRGC: Israel isubiri kisasi chetu kwa mauaji ya kamanda Sayyid Razi Mousavi
Dec 27, 2023 10:56Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema Iran itatoa jibu ipasavyo kwa utawala wa Kizayuni wa Israel baada ya mauaji ya mshauri mkuu wa kijeshi wa IRGC nchini Syria, na ameahidi kulipiza kisasi kwa shambulio hilo la kigaidi katika nyakati na maeneo tofauti.
-
Jenerali Baqeri: Israel imefanya kosa la kistratejia kwa kumuua kamanda wa IRGC
Dec 27, 2023 03:18Mkuu wa Vikosi vya Majeshi ya Iran amesema Israel imefanya kosa la kistratejia kwa kumuua shahidi Kamanda Sayyid Razi Mousavi, aliyekuwa mshauri wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) na kusisitiza kuwa, jinai hiyo ya utawala wa Kizayuni haitapita hivi hivi bila kujibiwa.
-
Sisitizo la Amir-Abdollahian la kutatuliwa matatizo kati ya Iran na Afghanistan
Dec 26, 2023 23:22Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya ulazima wa kutatuliwa masuala yaliyopo kati ya Iran na Afghanistan yakiwemo masuala ya mipaka na maji.
-
Maafisa wa jeshi la Syria washiriki katika hitma ya shahidi Brigedia Jenerali Razi Mousavi
Dec 26, 2023 08:29Maafisa wa kijeshi na wa jeshi la Syria leo Jumanne wameshiriki katika hitma ya shahidi Brigedia Jenerali Sayyid Razi Mousavi katika ubalozi wa Iran huko Damascus, Syria.
-
Radiamali mbalimbali za kuuawa shahidi mshauri wa kijeshi wa Iran nchini Syria
Dec 26, 2023 05:28Kamanda Sayyid Razi Mousavi, mmoja wa washauri wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (SEPAH), ambaye alikuwa akifanya kazi katika uga wa utoaji misaada ya kilojistiki kwa Mhimili wa Muqawama wa Syria, aliuawa shahidi katika shambulio lililofanywa jana Jumatatu na utawala wa Kizayuni katika eneo la Zainabiyah mjini Damascus.
-
Raisi: Israel italipa gharama ya kumuua mshauri wa kijeshi wa IRGC
Dec 25, 2023 23:53Rais wa Iran, Ebrahim Raisi, amesema utawala wa Kizayuni wa Israel utalipa gharama ya kitendo chake cha uhalifu cha kumuua mshauri mkuu wa kijeshi wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) nchini Syria.