-
Kiongozi Muadhamu asifu maandamano ya kitaifa Iran kama pigo kwa njama za maadui
Jan 13, 2026 00:16Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed Ali Khamenei, amepongeza maandamano ya kitaifa yaliyoonyesha uungaji mkono kwa Jamhuri ya Kiislamu, akisema wingi wa wananchi waliojitokeza “umeandika historia” na kuvuruga njama za maadui waliolenga kuibua misukosuko kupitia vibaraka wao wa ndani.
-
Andrei Kartapolov: Russia inapinga uingiliaji wa nchi ajinabi; iko pamoja na Iran
Jan 13, 2026 00:12Mbunge wa ngazi ya juu katika bunge la Russia ambaye pia ni Mkuu wa Kamati ya Ulinzi katika Duma amekariri uungaji mkono wa nci yake kwa Iran na kusema Moscow inapinga uingiliaji wa nchi ajinabi khususan uingiliaji wa nchi za Magharibi katika masuala ya ndani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Baqaei: Njia ya mawasiliano iko wazi kati ya Iran na Marekani ili kubadilishana jumbe
Jan 13, 2026 00:10Esmail Baqaei Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa njia ya mawasiliano iko wazi kati ya Abbas Aragchi Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Steve Witkoff Mjumbe Maalumu wa Marekani ili kubadilishana jumbe kila inapohitajika.
-
Uingiliaji kati wa Marekani nchini Iran; mfano wazi wa kuyumbisha usalama na kuhimiza vurugu
Jan 12, 2026 09:21Iran imeeleza malalamiko yake makali dhidi ya kauli za Marekani za uingiliaji kati katika barua yake kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Mamilioni ya Wairani washiriki maandamano ya kitaifa kulaani ghasia zinazoungwa mkono na Marekani, Israel
Jan 12, 2026 06:45Wairani kutoka makundi yote ya jamii wameanza maandamano ya kitaifa kulaani ghasia za karibuni zinazodaiwa kuungwa mkono na mataifa ya nje, wakionesha mshikamano wao na Jamhuri ya Kiislamu.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Hakuna taifa linaloweza kuvumilia ugaidi dhidi ya raia wake na majeshi yake
Jan 12, 2026 06:43Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran, Abbas Araghchi, amelaani vikali mashambulizi ya kigaidi yanayochochewa na Marekani na Israel, ambayo yamekuwa yakiwalenga raia wa Iran pamoja na vikosi vya usalama. Amesisitiza kuwa hakuna nchi inayoweza kufumbia macho ukatili wa aina hiyo, ambao unavunja misingi ya utu na utulivu wa taifa.
-
IRGC yalaani uingiliaji wa wazi wa Trump katika masuala ya ndani ya Iran
Jan 12, 2026 06:41Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limelaani vikali ugaidi wa hivi karibuni katika ghasi za Iran sambam,ba na kumkosoa vikali Rais wa Marekani, Donald Trump kwa kuingia mausala ya ndani ya Iran.
-
Iran yatangaza siku tatu za kuwaomboleza waliouawa shahidi katika jinai zilizochochewa na US na Israel
Jan 12, 2026 03:09Serikali ya Iran imetangaza siku tatu za maombolezo kwa ajili ya kuwakumbuka waathiriwa, wakiwemo askari wa vikosi vya usalama na wa jeshi la kujitolea, ambao wameuliwa shahidi na wafanyaji fujo na vurugu wanaoungwa mkono na Marekani na utawala wa kizayuni wa Israel, waliojaribu kuteka nyara maandamano ya amani ya wananchi ya kulalamikia hali ya uchumi nchini.
-
Araghchi: Kuna ushahidi unaowahusisha magaidi wa Mossad na vurugu za mauaji zilizofanywa Iran
Jan 12, 2026 03:09Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Abbas Araghchi amesema, kuna ushahidi wa wazi unaohusisha vurugu za mauaji zilizofanywa hapa nchini na magaidi wenye mfungamano na shirika la ujasusi la utawala wa kizayuni wa Israel, Mossad.
-
Pezeshkian: Waliofanya fujo na machafuko Iran si wananchi; ni magaidi kutoka nje
Jan 11, 2026 23:45Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, adui amewaingiza Iran magaidi waliopewa mafunzo maalumu ya kigaidi ili kufanikisha malengo yake na kwamba waliofanya fujo, machafuko na uharibifu katika kona mbalimbali za Iran, si katika wananchi waliokuwa wanaandamana.