-
Pezeshkian: Waliofanya fujo na machafuko Iran si wananchi; ni magaidi kutoka nje
Jan 11, 2026 23:45Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, adui amewaingiza Iran magaidi waliopewa mafunzo maalumu ya kigaidi ili kufanikisha malengo yake na kwamba waliofanya fujo, machafuko na uharibifu katika kona mbalimbali za Iran, si katika wananchi waliokuwa wanaandamana.
-
Baraza la Kulinda Katiba la Iran laitaka polisi kuchukua hatua kali dhidi ya wanaoibua ghasia
Jan 11, 2026 23:44Baraza la Kulinda Katiba la Iran limelaani vikali waibua ghasia na fujo ambao wameharibu mali za umma na kuvunjia heshima misikiti katika maeneo mbalimbali ya nchi, likizitaka taasisi za usalama na mamlaka husika kuchukua hatua zote muhimu kurejesha utulivu na sheria kufuatia matukio ya vurugu.
-
Kwa nini wananchi wa Iran hawana imani na vyombo vya habari vyenye uadui na Jamhuri ya Kiislamu?
Jan 11, 2026 23:10Wananchi wa Iran walio macho na ambao siku zote hujitokeza kwenye medani za harakati, kwa mara nyingine tena wamezima kwa umakini malengo maovu na njama chafu zilizoongozwa kwa ushirikiano wa utawala wa kizayuni na Marekani kupitia vyombo vya habari vyenye uadui na taifa hili.
-
Qalibaf: Iran hivi sasa inapigana vita na adui katika pande 4
Jan 11, 2026 07:28Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa: Leo tunapigana vita na adui wa Kizayuni na Marekani katika pande nne za kiuchumi, kiuelewa, kijeshi na kigaidi.
-
Waziri Araghchi aanika nafasi ya Marekani, Israel katika ghasia za Iran
Jan 11, 2026 03:25Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi amezionya vikali Marekani na utawala haramu wa Israel juu ya matokeo mabaya ya uchochezi na uungaji mkono wao kwa wafanya fujo na wazua rabsha hapa nchini, akisisitiza kuwa Washington na Tel Aviv zinataka kuyageuza maandamano ya kiuchumi ya wananchi wa Iran kuwa machafuko na ghasia.
-
Wairani kufanya maandamano kote nchini kupinga ghasia na fujo
Jan 11, 2026 03:06Baraza la Uratibu wa Uenezi wa Kiislamu la Iran limetangaza kuwa, wananchi Waislamu wa Jamhuri ya Kiislamu kesho Jumatatu watafanya maandamano katika pembe zote za nchi kulaani ghasia na fujo zilizochochewa hapa nchini na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Rais Pezeshkian asisitiza azma ya Iran ya kutekeleza makubaliano yake na Oman
Jan 11, 2026 00:48Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza umuhimu wa kupanua na kuendeleza uhusiano na majirani na nchi za Kiislamu kama kipaumbele cha kimkakati cha Tehran.
-
Setilaiti ya kwanza ya rada ya Iran kuzinduliwa karibuni hivi
Jan 11, 2026 00:23Mkuu wa Shirika la Anga za Mbali la Iran ametangaza kuwa: Setilaiti ya kwanza ya rada ya Iran ambayo imebuniwa na kutengenezwa na Shirika la Anga za Mbali la Sairan la Iran itazinduliwa karibuni hivi.
-
Dakta Larijani: Mamluki wa Marekani na Israel wanahusika katika machafuko nchini Iran
Jan 10, 2026 08:41Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema kuwa, mikono ya Marekani na utawala wa Kizayuni katika matukio haya iko wazi na dhahiri.
-
Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran na Oman wasisitiza kuimarisha uhusiano wa nchi zao
Jan 10, 2026 08:41Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Oman wamesisitiza azma thabiti ya nchi zao ya kuimarisha na kupanua uhusiano wa nchi zao katika nyanja mbalimbali.