-
Baqaei: Vikosi vya Iran viko macho kukabiliana na vitisho vyovyote vya adui
Jan 06, 2026 08:41Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje amesema kuhusu mazingira yaliyozushwa ya kuonesha kuna uwezekano wa kurudiwa uchokozi wa kijeshi dhidi ya Iran na kusisitiza kuwa: Kilicho muhimu na kinachotuhusu sisi ni kuimarisha nguvu zetu na kuwa macho zaidi kulihami taifa la Iran.
-
Iran, Cuba, Brazil zataka kuheshimwa sheria za kimataifa
Jan 06, 2026 03:21Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Cuba na Brazil wamesisitiza udharura wa kuwepo ushirikiano wa karibu na uratibu miongoni mwa nchi zinazostawi katika majukwaa ya kimataifa, ili kukabiliana na mfumo wa ubeberu; na kuunga mkono sheria za kimataifa na kanuni za Hati ya Umoja wa Mataifa.
-
Iran yakanusha uvumi wa vyombo vya habari vya Magharibi kuhusu mazungumzo na Marekani
Jan 06, 2026 00:06Naibu wa Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekanusha uvunii unaoneshwa na vyombo vya habari vya Magharibi kwamba Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran alifanya mkutano maalumu na waandishi wa habari siku ya Alkhamisi na kuongeza kuwa, inavyoonekana ni kwamba baadhi ya duru za Magharibi zinapenda sana kupata kisingizio cha kusema uongo na kuchochea chuki katika kila jambo.
-
Kukariri Rais wa Marekani kauli za uingiliaji kati; Je, Trump anawajali sana watu wa Iran?
Jan 05, 2026 08:27Rais wa Marekani kwa mara nyingine tena amekariri kauli zake za uingiliaji kati dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kufuatia matukio ya hivi karibuni hapa nchini.
-
Iran: Marekani lazima imwachie huru Rais iliyemteka nyara wa Venezuela
Jan 05, 2026 08:04Iran, kwa mara nyingine tena, imekosoa kitendo cha Marekani cha kumteka nyara Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro na mkewe, Cilia Flore, na kueleza kuwa waliotekwa nyara lazima waachiwe huru kama inavyosisitizwa na maafisa na wananchi wa Venezuela.
-
Qalibaf: Waandamanaji wasikilizwe, vibaraka wa mataifa ya kigeni watashughulikiwa
Jan 05, 2026 07:53Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amesema kwamba maandamano ya watu lazima yasikilizwe, huku akionya kwamba watu binafsi wanaohusishwa na mashirika ya ujasusi ya kigeni wanaotaka kuteka nyara maandamano ya amani ya wananchi na kuyageuza kuwa ghasia, lazima washughulikiwe kivyao.
-
Mtaalamu wa Russia: Mkataba wa ushirikiano wa kimkakati kati ya Iran na Russia; hatua muhimu ya 2025
Jan 05, 2026 04:15Igor Matveev, profesa na mtaalamu wa masuala ya siasa wa nchini Russia ameutaja Mkataba Kamili wa Kimkakati uliosainiwa kati ya Iran na Russia mwanzoni mwa mwaka jana kuwa hatua muhimu katika uhusiano kati ya mataifa haya mawili.
-
Kamanda: Baada ya kushindwa vita vya Juni, US na Israel zinaendesha 'vita laini' kuvuruga utulivu Iran
Jan 04, 2026 23:47Kamanda Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Marekani na utawala wa kizayuni wa Israel zinaendesha "vita laini" ili kuvuruga uthabiti na utulivu nchini likiwa ni jaribio la kufidia kushindwa kwao katika vita vya siku 12 vya mwezi Juni zilivyoanzisha dhidi ya Iran.
-
Umoja wa wananchi na uongozi wenye busara: Siri ya kumshinda adui katika vita laini
Jan 04, 2026 08:41Marekani na washirika wa Ulaya wa Ikulu ya White House wameshindwa katika vita laini dhidi ya Iran ya Kiislamu, licha ya kutumia kiwango kikubwa cha fedha na mashirika ya propaganda na kuenea kwa uwongo.
-
Kiongozi Muadhamu: Kwa tawfiq ya Mwenyezi Mungu, tutampigisha magoti adui
Jan 03, 2026 09:02Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kwa msaada wa Mwenyezi Mungu taifa hili litashinda njama zote na kumpigisha magoti adui.