-
Vijana, Walinzi Imara na wa Daima wa Mapinduzi ya Kiislamu
Feb 03, 2019 08:11Ujana ni kipindi kinachong'aa cha maisha ya mwanadamu ambacho japokuwa si kirefu lakini athari zake zinabakia muda mrefu na huwa na taahira kubwa katika maisha ya kiumbe huyo.
-
Alfajiri Kumi na Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Feb 02, 2019 09:45Tarehe 12 Bahman sawa na tarehe Mosi Februari, inasadifiana na mwanzo wa sherehe za kuadhimisha ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran.
-
Mchango wa ibra katika maisha ya mwanadamu
Jan 19, 2019 03:44Hamu ya kutaka kubakia hai na kuishi daima humlazimisha mwanadamu kuchagua njia na mbinu bora zaidi za kuishi. Mwanadamu huwa kama mchoraji ambaye hufanya jitihada za kuchora picha na mchoro mzuri zaidi wa maisha yake.
-
Zaynab SA Nuru ya Ahlul Bayt wa Mtume + Sauti
Jan 11, 2019 13:41Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Karibuni wapenzi wasikilizaji katika makala hii maalumu tuliyokuandalieni kwa mnasaba wa kuadhimisha siku ya kuzaliwa Bibi Zaynabul Kubra SA. Ni matumaini yetu mtakuwa nasi hadi mwisho wa makala hii.
-
Zainab, Simba Jike Binti wa Simba wa Mwenyezi Mungu
Jan 11, 2019 13:22Tarehe 5 Jamadil Awwal inasadifiana na siku aliyozaliwa Bibi Zainab, simba jike binti wa Simba wa Mwenyezi Mungu. Katika siku hiyo mwaka wa tano Hijria Mwenyezi Mungu SW alimtunuku Ali bin Abi Twalib na Bibi Fatima binti Muhammad (saw) mtoto wa kike ambaye walimpa jina la Zainab. Alizaliwa baada ya kuundwa dola la kwanza la Kiislamu mjini Madina ambalo lilitokana na mapinduzi makubwa ya kiroho duniani na yaliongozwa na baba yake, Mtume wa Allah, Muhammad bin Abdullah.
-
Mwaka 2019 na kujiondoka Marekani na Israel katika shirika la UNESCO
Jan 09, 2019 05:18Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel tarehe Mosi mwezi huu wa Januari 2019 zilijiondoa rasmi katika Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) zikilalamikia kile kilichotajwa ni mwelekeo wa jumuiya hiyo dhidi ya Israel.
-
Frikwensi
Dec 22, 2017 02:23Frikwensi za Matangazo ya Idhaa ya Kiswahili Radio Tehran
-
Kwa mnasaba wa kufariki dunia Bibi Maasuma SA
Dec 17, 2018 12:31Assalaamu Alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kusikiliza kipindi hiki maalumu tulichokuandalieni kwa mnasaba wa kukumbuka siku aliyofariki dunia Bibi Faatima al Maasuma 'Alayha Salam', mmoja wa wajukuu wa Mtume Mtukufu (SAW).
-
Haki za binadamu, kuanzia nara hadi matendo
Dec 12, 2018 07:37Jumatatu ya tarehe 10 Disemba wiki hii dunia iliadhimisha Siku ya Kimataifa ya Haki za Binadamu. Hii leo suala la Haki za binadamu limekuwa miongoni mwa mijadala muhimu zaidi katika fikra za walimwengu na kwenye duru mbalimbali za kimataifa.
-
Maneno na Sira ya Mtume Mtukufu SAW; mwongozo wa umoja wa ulimwengu wa Kiislamu
Dec 05, 2018 06:36Katika kipindi cha miaka 10 aliyoishi katika mji mtakatifu wa Madina, Mtume Mtukufu SAW alikuwa mfano unaong'ara na usio na mfano wake wa kuimarisha umoja na udugu wa Kiislamu katika jamii ya Kiislamu.