-
Ukosoaji wa Wapalestina kwa utendaji dhaifu wa UNRWA
Mar 21, 2016 00:20Ali Baraka, mwakilishi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina HAMAS nchini Lebanon amekosoa utendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada na Ajira kwa ajili ya Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) kuhusiana na wananchi wa Palestina.
-
Wamarekani milioni sita wanatumia maji ya kunywa yasiyo salama
Mar 18, 2016 13:10Wamarekani milioni sita wanatumia maji ya kunywa yasiyo salama majumbani mwao na mashuleni ambayo yamechanganyika na madini ya risasi.
-
Tarehe 29 Esfand, Siku ya Kutaifishwa Sekta ya Mafuta Iran
Mar 18, 2016 03:00Tarehe 29 Isfand mwaka 1329 Hijria Shamsia sawia na Machi 20 1950 ni moja ya siku zenye kukumbukwa katika historia ya mapambano ya taifa la Iran na madola ya kibeberu.
-
Historia fupi ya Nairuzi
Mar 18, 2016 02:51Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi. Jumapili ya tarehe 20 Machi mwaka huu inasadifiana na kuanza mwaka mpya wa Kiirani wa Hijria Shamsia. Ni sherehe za kale na za muda mrefu ambao matawi yake yameenea katika kona mbalimbali za dunia hadi Afrika Mashariki. Asili ya sherehe za Mwakakongwa huko Makunduchi visiwani Zanzibar, ni sherehe hizo za Nairuzi za nchini Iran.
-
Mogherini: Mpango wa JCPOA uko katika mkondo sahihi
Mar 16, 2016 03:45Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya ametangaza katika ripoti aliyotoa baada ya kufanyika kikao cha mashauriano kati yake na Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya kuwa utekelezaji wa makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) upo katika mkondo sahihi.
-
Takwimu Jumapili
Mar 13, 2016 01:52Leo ni Jumapili tarehe tatu Jamaduth-Thani 1437 Hijria, inayosadifiana na tarehe 13 Machi, 2016 Miladia.
-
Kumbukumbu ya Kufa Shahidi Bibi Fatima Zahra AS
Mar 12, 2016 13:27Assalaamu Alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika kipindi hiki maalumu nilichokuandalieni kwa mnasaba wa kukumbuka siku aliyokufa shahidi Bibi Fatima Zahra (a.s) binti mtukufu wa Bwana Mtume (s.a.w) na mwanamke bora duniani na akhera, mwanamke ambaye ni kigezo na ruwaza njema.
-
Mkwamo mwingine wa kisiasa nchini Lebanon, hitilafu kuhusu sheria ya uchaguzi
Mar 11, 2016 23:01Huku hitilafu baina ya makundi ya kisiasa ya Lebanon kuhusu mtu wa kuchukua nafasi ya rais iliyo wazi kwa miaka miwili sana zikiendelea, kamati ya watu tisa ya kutunga sheria mpya ya uchaguzi nchini humo imeshindwa kuafikiana kuhusu sheria hiyo.
-
Mwanamasumbwi wa Iran akataa kuzipiga na mwenzake wa Israel, aungana na Wapalestina
Mar 10, 2016 22:44Mchezaji wa timu ya taifa ya ndondi ya Iran amekataa kupigana na nchezaji wa ndondi wa utawala haramu wa Israel katika mashindano ya kimataifa ya ndondi ya Njia ya Hariri yanayofanyika Baku nchini Azerbaijan akionyesha uungaji mkono wake kwa taifa linalodhulumiwa la Palestina
-
Kuaga dunia Farajollah Salahshoor, muongozaji wa filamu za kidini
Mar 09, 2016 08:27Assalamu alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni katika kipindi hiki cha Makala ya Wiki ambacho katika jumla hili kitamzungumzia mwongozaji filamu mashuhuri wa filamu za kidini Farajollah Salahshoor, pamoja na athari za tasnia ya filamu zilizoachwa na msanii huyo aliyeaga dunia wiki mbili zilizopita. Ni matumaini yangu kuwa mtaendelea kuwa nami hadi mwisho wa kipindi hiki.