-
Kuaga dunia Farajollah Salahshoor, muongozaji wa filamu za kidini
Mar 09, 2016 08:27Assalamu alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni katika kipindi hiki cha Makala ya Wiki ambacho katika jumla hili kitamzungumzia mwongozaji filamu mashuhuri wa filamu za kidini Farajollah Salahshoor, pamoja na athari za tasnia ya filamu zilizoachwa na msanii huyo aliyeaga dunia wiki mbili zilizopita. Ni matumaini yangu kuwa mtaendelea kuwa nami hadi mwisho wa kipindi hiki.
-
Oscar, Hollywood na ubaguzi wa rangi
Mar 09, 2016 08:05Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kuwa nasi katika Makala ya Wiki. Kipindi chetu leo kitatupia jicho ubaguzi unaofanyika nchini Marekani hususan katika sekta ya filamu ya Hollywood.
-
Maelfu ya raia wa Sudan Kusini wakimbilia nchini Kongo
Mar 05, 2016 22:24Maelfu ya raia wa Sudan Kusini wamekimbilia nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kufuatia kujiri machafuko kupita kiasi nchini humo.
-
Takwimu Jumapili
Mar 05, 2016 22:23Leo ni Jumapili tarehe 26 Mfunguo Nane Jamadil Awwal 1437 Hijria sawa na tarehe 6 Machi, 2016 Milaadia.
-
Gesi zaidi yagunduliwa katika pwani ya Tanzania
Feb 26, 2016 04:21Tanzania imegundua takribani futi za ujazo trillioni 2.17 za Gesi katika eneo la Ruvu lililoko katika Mkoa wa Pwani kilomita chache kutoka katika jiji la Dar es Salaam.
-
Al Azhar yatilia mkazo umoja baina ya Waislamu
Feb 22, 2016 13:06Sheikh Mkuu wa al Azhar nchini Misri amesema Shia na Suni ni mbawa mbili za Uislamu na kwamba kuna udharura wa kufanyika jitihada za kukurubisha pamoja wafuasi wa madhehebu hizo mbili.
-
Imam wa zamani wa jamaa wa msikiti wa Manchester auawa kwa kupigwa
Feb 20, 2016 04:43Polisi ya mji wa Manchester nchini Uingereza, imetangaza habari ya kuuawa Sheikh Jalaalud-Din Sa'ab, msomi wa Qur'an na imamu wa zamani wa jamaa katika msikiti wa Jalaaliyyah mjini hapo. Kwa mujibu wa ripoti hiyo, Sa'ab mwenye uraia wa Bangladesh aliuawa Alkhamis usiku karibu na msikiti huo.
-
Nchi za Ulaya zakosolewa kwa kupuuza mgogoro wa wahajiri
Feb 19, 2016 04:44Bunge la Ulaya limekosoa baadhi ya nchi za bara hilo kwa kupuuza mgogoro wa wahajiri na hivyo kufanya suala hilo kuwa gumu zaidi kulitatua.
-
Papa: Donald Trump si Mkristo
Feb 19, 2016 00:10Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani Papa Francis amesema kuwa mgombea urasi wa Marekani wka tiketi ya chama cha Republican, Donald Trump si Mkristo.
-
Kumbukumbu ya Kuzaliwa Bibi Zaynab al Kubra AS
Feb 14, 2016 04:41Assalaamu Alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika kipindi hiki maalumu nilichokuandalieni kwa mnasaba wa kukumbuka siku aliyozaliwa Bibi Zaynab al-Kubra (a.s) binti ya Imam Ali bin Abi Talib (a.s); mwanamke ambaye aliondokea kuwa mashuhuri kutokana na fadhila, elimu, subira na ushujaa mkubwa aliokuwa nayo. Siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa Bibi Zaynab (a.s) hapa nchini imepewa jina la "Siku ya Wauguzi".