-
Bunge la Waarabu lalaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Syria, Lebanon
Jul 17, 2025 03:13Bunge la Waarabu limelaani vikali mashambulizi ya mara kwa mara ya Israel dhidi ya maeneo ya Syria na Lebanon, na kutangaza kuwa huo ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa na tishio kubwa kwa utulivu wa kikanda.
-
Ansarullah yapiga kwa kombora, droni maeneo hasasi ya Israel
Jul 17, 2025 01:09Vikosi vya Wanajeshi vya Yemen vimeshambulia maeneo matatu nyeti ya Israel kwa kombora la balestiki na ndege nne zisizo na rubani, baada ya kuulazimisha utawala huo ghasibu kutangaza kufungwa kwa moja ya bandari zake muhimu.
-
Mabomu ni ghali, risasi ni bei nafuu! Mkakati wa Marekani na Israel wa kuwaua Wapalestina katika safu za chakula
Jul 16, 2025 13:20Katika mwezi wa 23 wa Vita vya Gaza, ambapo utawala wa Kizayuni wa Israel umefanya mauaji ya halaiki dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza kwa ukatili na unyama wa hali ya juu na kwa kutumia silaha ya njaa, sasa utawala huo umebuni mbinu mpya kwa ajili ya kile kinachojulikana kama 'mauaji ya bei nafuu' ya wakazi wa Gaza.
-
Kamanda wa ulinzi wa anga wa Israel abadilishwa kutokana na kipigo cha makombora cha Iran
Jul 16, 2025 10:22Kamanda wa kikosi cha ulinzi wa anga cha jeshi la Israel amebadilishwa kufuatia mashambulizi ya hivi karibuni ya makombora ya Iran yaliyolenga maeneo ya Palaestina yanayokaliwa kwa mabavu na Israel.
-
Kwa nini Wapalestina wengi wanaunga mkono misimamo ya makundi ya muqawama katika mazungumzo ya Doha?
Jul 15, 2025 23:29Matokeo ya uchunguzi wa Kituo cha Uchunguzi na Utafiti wa Palestina, kwa ushirikiano na Kituo cha Kimataifa cha Sanaa, yanaonyesha kuidhinishwa na wananchi wa Palestina matakwa ya muqawama wa Palestina katika mazungumzo ya kusimamisha vita na kubadilishana wafungwa yanayoendelea huko Doha, mji mkuu wa Qatar.
-
Israel yaua watu 12 Lebanon katika ukiukaji mkubwa zaidi wa usitishaji vita
Jul 15, 2025 14:12Jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel limewaua shahidi watu wasiopungua 12 katika mashambulizi ya kinyama ya anga mashariki mwa Lebanon katika ukiukaji mkubwa zaidi wa usitishaji mapigano ambao ulianza kutekelezwa Novemba mwaka jana
-
Jeshi la Israel limeiba punda wa Ghaza na kuwasafirisha kuwapeleka Ufaransa
Jul 15, 2025 12:14Jeshi la utawala kizayuni wa Israel limeripotiwa kuiba mamia ya punda kutoka Ukanda wa Ghaza uliowekewa mzingiro, kuwavusha kimagendo hadi Israel, na kisha kuwasafirisha kuelekea Ufaransa ili kuzuia wasitumike katika ujenzi upya wa Ghaza.
-
Yedioth Ahronoth: Israel leo iko mikononi mwa serikali kichaa
Jul 15, 2025 07:24Katika tahariri yake ya leo, Jumanne, gazeti la Yedioth Ahronoth limeshambulia mbinu ya baraza la mawaziri na muungano wa Netanyahu, na kuliita baraza la mawaziri kichaa ambalo lazima lipinduliwe.
-
Umoja wa Mataifa: Hali ya Gaza ni mbaya; kusitisha mapigano haitoshi
Jul 15, 2025 07:22Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameitaja hali ya Gaza kuwa mbaya na kusema kuwa, usitishaji vita katika Ukanda wa Gaza pekee hautoshi.
-
Hamas: Netanyahu hana nia ya kufikia makubaliano ya usitishaji vita
Jul 15, 2025 01:22Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imesema Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu hana azma kabisa ya kufikia makubaliano ya kusitisha mapigano, ili kuhitimisha kampeni ya mauaji ya halaiki inayoendelea katika Ukanda wa Gaza uliozingirwa.