-
Hamas: Nchi za Kiarabu zichukue hatua kumaliza mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza
May 18, 2025 00:58Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imewataka viongozi wa nchi Kiarabu kuchukua hatua za haraka na za kiutendaji ili kumaliza mashambulizi yanayoendelea ya Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza na kuondoa vizuizi vya kibinadamu vinavyosababisha maafa katika eneo hilo lililozingirwa.
-
Ansarullah: Israel haielewi lugha nyingine isipokuwa ya makombora
May 17, 2025 23:44Kwa mara nyingine tena Harakati ya Muqawama ya Ansarullah imevurumisha kombora la balestiki kutoka Yemen na kupelekea sauti za ving'ora kuhanikiza katika maeneo mengi katika ardhi ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu ikiwemo miji mikubwa, mbali na kuibua miripuko kadhaa.
-
Je, ulinzi wa anga wa Yemen unaweza kuwa tishio kwa ndege za F-35 za Marekani?
May 17, 2025 22:58Marekani ilianzisha mashambulizi makubwa ya anga dhidi ya Yemen Machi 15, mwaka huu, ambayo ilikuwa operesheni muhimu zaidi ya kijeshi ya Marekani Asia Magharibi tangu Rais Donald Trump wa Marekani aingie tena madarakani.
-
Hamas: Witkoff aliahidi kuondoa mzingiro wa Gaza mkabala wa kuachiwa Edan Alexander
May 17, 2025 06:57Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas amesema kuwa, mjumbe maalumu wa Marekani Steve Witkoff alilihakikishia kundi hilo la Muqawama la Palestina kwamba, Washington itaishinikiza Israel kukomesha mzingiro wa Gaza na kuruhusu ufikishaji wa misaada ya kibinadamu ndani ya siku mbili baada ya kumwachilia huru mwanajeshi wa Israel, Edan Alexander, raia wa Marekani.
-
Hofu ya kukamatwa yamfanya Netanyahu afute safari yake ya Vatican
May 17, 2025 04:00Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel amefuta safari yake ya Vatican akihofia kutekelezwa waranti wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC unaotaka atiwe mbaroni kwa kutenda jinai za kivita Palestina.
-
Umoja wa Mataifa: Uhaba wa chakula Gaza umefikia kiwango cha janga la njaa
May 17, 2025 03:58Ripoti ya Umoja wa Mataifa inaonyesha kuwa, uhaba mkubwa wa chakula katika Ukanda wa Gaza umefikia kiwango cha janga la njaa.
-
UNICEF: Israel imeua watoto 45 wauawa Gaza kwa muda wa siku mbili
May 17, 2025 03:57Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Kuhudumia Watoto (UNICEF) umetangaza kuwa, wanajeshi wa Israel wamewaua shahidi watoto 45 katika Ukanda wa Gaza ndani ya siku mbili.
-
Miaka 77 baada ya Siku ya Nakba; jinai zisizo na kikomo za Wazayuni na muqawama imara wa Wapalestina
May 16, 2025 07:33Ni miaka 77 imepita sasa tangu Siku ya Nakba. Jinai za Wazayuni zinazidi kushika kasi mno, na Wapalestina wanaendelea kusisitiza muqawama na kusimama kidete.
-
Ijumaa ya umwagaji damu Ghaza, mashahidi 250 katika masaa 36
May 16, 2025 06:55Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Afya ya Ghaza ametangaza leo Ijumaa kwamba ukanda huo ndilo eneo la mauaji ya umati ya kutisha zaidi katika siku za hivi karibuni kiasi kwamba Wapalestina 250 wameuliwa shahidi na Israel katika kipindi cha saa 36 zilizopita pekee.
-
Hamas yamjibu Trump: Ghaza si bidhaa ya kupigwa mnada
May 16, 2025 06:54Kiongozi mmoja wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amejibu matamshi ya kijuba ya rais wa Marekani, Donald Trump alielezea nia ya Washington ya kuuteka Ukanda wa Ghaza na eti kuugeuza kuwa eneo huru, akimwambia, Ghaza si bidhaa ya kupigwa mnada.