-
Kwa nini Israel ina hasira dhidi ya kutumwa meli ya Madleen Gaza?
Jun 10, 2025 06:41Katika hali ambayo, meli ya "Madleen" iliyokuwa imebeba misaada ya kibinadamu ilikuwa imekaribia Gaza, majeshi ya Israel yalishambulia meli hiyo, na kuwateka nyara abiria wake na kuzuia misaada hiyo kufika Gaza.
-
Israel yaua Wapalestina 60 ndani ya saa 24 zilizopita huko Ghaza
Jun 10, 2025 04:10Mashambulizi ya Israel katika Ukanda wa Ghaza yamesababisha vifo vya Wapalestina 60 ndani ya saa 24 zilizopita, Hayo ni kwa mujibu wa duru za afya za ukanda huo.
-
Wapinzani wa Netanyahu wazidi kumshinikiza aondoke madarakani
Jun 09, 2025 22:46Mashinikizo ya vuguvugu la upinzani katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu ya Palestina (Israel) ya kutaka kumpindua Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na baraza lake la mawaziri yameongezeka.
-
Makampuni ya kigeni yanaukimbia utawala wa Kizayuni wa Israel
Jun 09, 2025 22:45Makampuni ya kigeni yaliyokuwa na uwekezaji huko Israel (Palestina inayoikaliwa kwa mabavu) yameendelea kukimbia kutoka huko kutokana na kukosekana usalama wa kibiashara.
-
Msalaba Mwekundu: Mfumo wa afya wa Gaza 'ni dhaifu mno'
Jun 09, 2025 07:58Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu (ICRC) imeonya kuwa, mfumo wa huduma za afya katika Ukanda wa Gaza ni "dhaifu sana" wakati huu ambapo vita vya Israel vinaendelea katika eneo hilo lililozingirwa.
-
Hamas: Israel imefanya uharamia kwa kushambulia meli ya misaada
Jun 09, 2025 07:44Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani shambulio la utawala wa Kizayuni dhidi ya meli iliyobeba misaada ya kibinadamu kuelekea Gaza na kusema kuwa, kitendo hicho ni uharamia wa baharini na jinai dhidi ya binadamu.
-
Lebanon yakanusha madai ya kuwepo silaha katika ngome ya Hizbullah
Jun 09, 2025 07:42Jeshi la Lebanon linasema kuwa limekamilisha oparesheni zake za ukaguzi wa silaha na zana za kijeshi katika kitongoji cha Dahiyeh, kusini mwa Beirut, ngome ya Harakati ya Muqawama ya Hizbullah, bila kupata chochote cha kutia shaka.
-
Jeshi la Israel lawateka nyara wanaharakti waliokuwa kwenye meli ya misaada kwa Gaza
Jun 09, 2025 03:42Wanajeshi wa utawala katili wa Israel wamewateka nyara wanaharakati waliokuwa ndani ya meli ya misaada ya kibinadamu Madleen iliyokuwa ikielekea Gaza, Jumapili usiku.
-
"Kuuawa viongozi wa Muqawama kunaimarisha irada ya Wapalestina"
Jun 08, 2025 23:19Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina imelaani vikali mauaji ya Israel dhidi ya afisa mashuhuri wa Muqawama na watu wengine 30 katika mji wa Gaza na kusisitiza kuwa, mauaji hayo yanayolenga viongozi wa mrengo wa mapambano kamwe hayatadhoofisha uthabiti na azma ya wananchi wa Palestina.
-
Umoja wa Mataifa: Gaza imegeuka na kuwa Jahannamu; njaa inaondoka na roho za watoto
Jun 08, 2025 23:18Mashirika ya Umoja wa Mataifa, yakiashiria kwamba mpango wa Marekani na Israel wa kusambaza misaada huko Gaza una hatari kubwa, yamesisitiza: Gaza imekuwa jehanamu ya kweli na sasa njaa inatishia maisha ya watoto wasiopungua 71,000.