-
Yemen yatwanga tena kambi ya anga ya Israel kwa kombora baada ya shambulio la anga la Marekani
May 02, 2025 06:04Msemaji wa Jeshi la Yemen, Brigedia Jenerali Yahya Saree ametangaza kuwa nchi yake imefanya shambulio la kombora dhidi ya kambi ya anga ya jeshi la Israel ili kulipiza kisasi vita vya mauaji ya kimbari vya utawala huo kwenye eneo la Ukanda wa Gaza huko Palestina.
-
Unicef: Watoto wa Gaza wana kiu na wana njaa
May 02, 2025 06:01Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF), limeeleza wasiwasi wake kuhusu hali mbaya waliyonayo watu wa Ukanda wa Gaza, hasa watot na kutaka kukomeshwa kmzingiro dhidi ya ukanda huo.
-
Oparasheni ya kigaidi ya Israel katika maji ya Ulaya; Israel yashambulia meli ya misaada kwa ajili ya Gaza
May 02, 2025 05:56Meli ya Freedom Flotilla, iliyokuwa ikielekea Gaza ilitangaza mapema leo asubuhi kuwa imeshambuliwa na ndege isiyo na rubani ya Israel katika maji ya kimataifa kwenye pwani ya Malta.
-
Afisa wa Hospitali ya Nasser: Maisha ya maelfu ya watoto katika Ukanda wa Gaza yako hatarini
May 02, 2025 03:55Mkuu wa kitengo cha watoto katika Hospitali ya Nasser iliyoko kusini mwa Gaza ametahadharisha kuhusu kukithiri kwa utapiamlo miongoni mwa watoto katika ukanda huo na hatari inayotishia maisha ya maelfu ya watoto kutokana na siasa za ufashisti za utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Hakim: Vikosi vya Hashdu Shaabi ni nguzo ya usalama wa Iraq
May 01, 2025 23:20Kiongozi wa Harakati ya Hikma ya Kitaifa ya Iraq, Ammar al-Hakim amevipongeza vikosi vya Hashdu Shaabi na kusisitiza kuwa vimekuwa na mchango mkubwa kwa usalama wa Iraq.
-
Je, dunia itabaki kuwa mtazamaji pekee wa mauaji ya kimbari Gaza?
May 01, 2025 09:47Ukanda wa Gaza uko katika janga kubwa la kibinadamu. Katika miezi iliyopita, kushadidi mzingiro wa utawala haramu wa Israel katika eneo hilo sambamba na mashambulizi ya mara kwa mara ya angani na nchi kavu, na vizuizi vikali vya misaada ya kibinadamu vilivvyowekwa na utawala huo wa Kizayuni vimeharibu si tu miundombinu ya msingi ya eneo hilo, bali pia vimeweka hatarini matumaini ya kuendelea kuishi kwa malaki ya raia wa Palestina.
-
Asasi za kimataifa: Maghala ya chakula Gaza yamebakia tupu
May 01, 2025 09:33Asasi mbalimbali za kimataifa zimeonya kuhusiana na hali mbaya ya uhaba na ukosefu wa chakula katika Ukanda wa Gaza na kueleza kuwa, hivi sasa maghala ya chakula katika ukanda huo yapo tupu.
-
Wanajeshi wa Israel hawataki vita dhidi ya Gaza
May 01, 2025 09:20Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameendelea kupinga vita dhidi ya Gaza.
-
Moto wafika kwenye moyo wa utawala wa Kizayuni; kambi ya jeshi na makumbusho vyateketea
May 01, 2025 01:57Moto mkubwa unaendelea kuteketeza maeneo mengi ya utawala ghasibu wa Israel huku opereshei ya kuhamisha wakazi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni ikiendelea. Vyombo vya habari vya Kizayuni vimeiripoti kuwa moto huo umeenea katika maeneo mapya ya Quds inayokaliwa kwa mabavu (Jerusalem ) na kusambaa hadi katika makumbusho ya zana za kivita za jeshi la Israel.
-
Zaidi ya wahudumu 1400 wa sekta ya tiba Gaza wameuawa na Israel
May 01, 2025 00:15Wizara ya Afya ya Palestina katika Ukanda wa Gaza imetangaza kuwa mashambulizi yanayoendelea kufanywa na Israel yameua mamia ya madaktari na wahudumu wa afya katika eneo hilo linalozingirwa.