-
Utawala wa Kizayuni waendelea kupinga utoaji wa misaada kwa Wapalestina
Mar 31, 2025 06:43Vitendo vya kikatili vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina wanaoishi Gaza vinaendelea, na bado utawala huo unazuia kufikishwa kwa misaada ya chakula na dawa kwa wakazi wa Gaza.
-
Jinai za kinyama za Israel za kuwaua Wapalestina hata katika Siku ya Idi zalaaniwa vikali
Mar 31, 2025 04:11Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imetangaza kuwa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limeendelea kuwaua watu wa Ghaza hata katika wakati huu wa Sikukuu ya Idul-Fitri na kutoonyesha heshima yoyote kwa Sikukuu hiyo.
-
Kiongozi mwandamizi wa HAMAS: Muqawama na Silaha zake, kwetu sisi ni mstari mwekundu
Mar 31, 2025 03:29Bassem Naim, kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema: "kwetu sisi tukiwa ni taifa linalokaliwa kwa mabavu, Muqawama na silaha zake ni mstari mwekundu na ni suala la uwepo wetu na uhai wetu".
-
Televisheni ya Israel: Mashambulio ya Marekani hayana athari yoyote dhidi ya operesheni za Yemen
Mar 31, 2025 03:29Televisheni ya utawala wa Kizayuni wa Israel imekiri kuwa, mashambulizi ya Marekani ya kuzuia operesheni zinazofanywa na Yemen dhidi ya utawala huo wa Kizayuni hazijawa na athari yoyote.
-
Jeshi la Yemen laendelea kuzitwanga kwa makombora meli za kivita za Marekani
Mar 30, 2025 07:42Jeshi la Yemen limetangaza kuhusika na mfululizo wa mashambulizi yaliyofanyika kwa ustadi wa hali ya juu na kuzitwanga meli za kivita za Marekani, ikiwa ni pamoja na USS Harry S. Truman, katika Bahari Nyekundu, ikiwa ni kuendelea kukabiliana na uvamizi wa Marekani dhidi ya Yemen.
-
Ujumbe wa HAMAS wa Sikukuu ya Idul Fitr
Mar 30, 2025 07:41Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetoa ujumbe wa Sikukuu ya Idul Fitr kwa kuyataka mataifa ya Kiislamu na Kiarabu kuongeza juhudi na uungaji mkono kwa Wapalestina ili kukomesha jinai za Israel na kuondolewa mzingiro kwenye Ukanda wa Ghaza.
-
Adui vamizi amepokeaje pendekezo la Misri na Qatar kuhusu Ghaza?
Mar 30, 2025 07:39Utawala vamizi wa Israel umekataa pendekezo la Misri na Qatar la kusitishwa mapigano katika Ukanda wa Gaza na umetoa pendekezo mbadala lililojumuisha kuachiliwa huru mateka kumi wa Israel.
-
Hizbullah: Iran ndiye muungaji mkono mkuu wa kadhia ya Palestina
Mar 30, 2025 03:51Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza nafasi muhimu ya Iran katika kuunga mkono kadhia ya Palestina ya kukombolewa kuondokana na uchokozi na uvamizi wa Israel huku akiulaani vikali utawala wa Israel kwa ukatili wake katika eneo zima ambao unawezeshwa kwa kiasi kikubwa na uungaji mkono wa Marekani.
-
HAMAS: Tumekuwa na mazungumzo ya mfululizo na wapatanishi kwa ajili ya kusitishwa vita Ghaza
Mar 29, 2025 23:08Bassem Naim, mjumbe wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amethibitiha kuwa katika siku za karibuni, harakati hiyo ya ukombozi wa Palestina imekuwa na mazungumzo ya mfululizo na wapatanishi yanayolenga kutekelezwa tena usitishaji vita katika Ukanda wa Ghaza
-
Katika maadhimisho ya Siku ya Quds Indonesia na Malaysia; Mahathir miongoni mwa waandamanaji
Mar 29, 2025 09:28Waislamu na watetezi wa haki duniani katika nchi za Indonesia na Malaysia wameshiriki kwa maelfu katika maandamano ya kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Quds yanayofanyika katika Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani kwenye pembe mbalimbali za dunia.