-
Al-Jolani: Syria iko tayari kuanzisha uhusiano rasmi na Israel 'kwa masharti sahihi'
Apr 25, 2025 03:32Rais wa mpito wa Syria Al-Jolani amesema yuko tayari kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia na utawala wa Kizayuni wa Israel. Hayo ni kwa mujibu wa barua inayoripotiwa kuwa ameituma kwa Rais wa Marekani Donald Trump.
-
Kuendelea jinai za Israel katika Ukanda wa Gaza mbele ya kimya cha wanaodai kutetea haki za binadamu
Apr 24, 2025 06:39Umoja wa Mataifa umesema kukwa umekumbwa na wasiwasi mkubwa kuhusu hali ya kibinadamu katika Ukanda wa Ghaza na kutahadharisha kuwa eneo hilo linapitia katika hali ngumu sana tangu kuanza vita dhidi ya ukanda huo.
-
Iraq: Tunaunga mkono mazungumzo ya Iran na Marekani
Apr 24, 2025 03:59Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iraq Fuad Hussein amesema kuwa, nchi yake inaunga mkono mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Marekani.
-
UN: Hali ya kibinadamu Gaza ni mbaya zaidi tangu vita vilipoanza
Apr 24, 2025 03:58Msemaji wa Ofisi ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA) ameeleza wasi wasi wake mkubwa juu ya hatua ya utawala wa Israel ya kuzuia misaada ya kibinadamu kuingia Ukanda wa Gaza na kubainisha kwamba, hali ya sasa ya Ukanda huo ni mbaya zaidi tangu kuanza kwa vita hivyo.
-
Serikali ya Jordan yaipiga marufuku harakati kongwe ya Kiislamu ya Ikhwanul-Muslimin
Apr 24, 2025 00:44Waziri wa Mambo ya Ndani wa Jordan ametangaza kuwa utawala huo wa kifalme umeipiga marufuku harakati ya Kiislamu ya Ikhwanul-Muslimin na kuielezea "itikadi" yake inayohubiri kuwa sasa ni 'haramu' kisheria nchini humo.
-
HAMAS yalitolea wito Baraza Kuu la PLO: Vunjeni uhusiano wenu wa kiusalama na Israel
Apr 24, 2025 00:43Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imelitaka Baraza Kuu la Harakati ya Ukombozi wa Palestina PLO livunje uhusiano wa uratibu wa kiusalama uliopo baina yake na utawala wa Kizayuni na kuchukua msimamo wa pamoja wa Palestina dhidi ya mauaji ya kinyama yanayoendelea huko Ghaza.
-
Hata UK, Ujerumani na Ufaransa nazo pia zalaani hatua ya Israel ya kuzuia misaada isiingizwe Ghaza
Apr 24, 2025 00:42Ufaransa, Ujerumani na Uingereza nazo pia zimelaani hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuendelea kuzuia kikamilifu misaada ya kibinadamu isiingizwe katika Ukanda wa Ghaza, na kutoa wito wa kuanzishwa mara moja utoaji misaada bila vizuizi sambamba na juhudi mpya za kusitisha mapigano.
-
Kubadilika mtazamo wananchi wa Marekani kuhusu Israel, Palestina na Hamas
Apr 24, 2025 00:01Wakati vita vya Ghaza vinaendelea na utawala wa Kizayuni umeshadidisha mauaji ya wanawake na watoto wa Palestina, mtazamo na mwelekeo wa wananchi wa Marekani kuhusuu Israel, Palestina na Hamas nao unaendelea kubadilika. Haya yamebainika katika chunguzi mpya za maoni zilizofanywa nchini Marekani.
-
Ansarullah: Hasira ya Netanyahu ni furaha kwetu
Apr 23, 2025 07:32Harakati ya Ansarullah ya Yemen imeeleza kuridhishwa kwake na hatua ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, kulaani mashambulizi yanayotekelezwa na Jeshi la Yemen dhidi ya ngome za Isarel katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na kusema hasira yake ni ushahidi wa juhudi zenye mafanikio katika kuunga mkono Wapalestina.
-
Israel imeua watoto 17,954 Wapalestina tangu ianzishe mauaji ya kimbari Gaza
Apr 23, 2025 07:31Jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel limeua watoto Wapalestina wasiopungua 17,954 tangu lianzishe vita vya mauaji ya kimbari dhidi ya Ukanda wa Gaza.