-
Waziri Mkuu wa Yemen: Hizbullah imempigisha magoti adui Mzayuni
Feb 23, 2025 04:15Waziri Mkuu wa Serikali ya Mabadiliko na Ujenzi ya Yemen amesema kuwa Harakati ya Muqawama ya Lebanon, Hizbullah, imempigisha magoti adui Mzayuni.
-
Iran kuwakilishwa na Spika wa Bunge, Waziri wa Mambo ya Nje katika mazishi ya Shahidi Nasrallah
Feb 23, 2025 00:17Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) Mohammad Baqer Qalibaf na Waziri wa Mambo ya Nje Abbas Araghchi leo wanaelekea Beirut kushiriki katika hafla ya mazishi ya kiongozi wa Hizbullah aliyeuawa shahidi, Sayyed Hassan Nasrallah, pamoja na mkuu wa Baraza la Utendaji la Hizbullah, Shahidi Sayyid Hashim Safieddine.
-
Hizbullah: Adui Mzayuni hawezi kuusambaratisha muqawama
Feb 22, 2025 23:14Naibu Mkuu wa Baraza la Utendaji la Hizbullah ya Lebanon amesema: Adui Mzayuni hawezi kuusambaratisha muqawama.
-
IOM: Asilimia 90 ya nyumba za Gaza zimebomolewa
Feb 22, 2025 23:13Shirika la Kimataifa la Uhamiaji limetangaza kuwa, asilimia 90 ya nyumba katika Ukanda wa Gaza zimeharibiwa, na mamia ya maelfu ya Wapalestina hawana pa kwenda, na Wapalestina ambao wamerejea katika maeneo yao wanajikuta wakikabiliwa na vilima vya uchafu.
-
Kufichuka nia halisi ya utawala wa Kizayuni nchini Syria
Feb 22, 2025 23:11Kimya na kutochukua hatua yoyote watawala wapya wa Syria vimeufanya utawala wa Kizayuni wa Israel ufikirie kuyatwaa kabisa maeneo mapya yaliyokaliwa kwa mabavu nchini Syria.
-
HAMAS: Mateka 6 Waisrael wataachiwa leo mkabala wa Wapalestina 602 walioko kwenye jela za Israel
Feb 22, 2025 02:34Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imetangaza majina sita ya mateka Waisrael, ambao wanatazamiwa kuachiliwa leo katika mwendelezo wa awamu ya kwanza ya makubaliano ya kusitisha mapigano na kubadilishana mateka na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Jeshi la Israel lawaua kwa kuwapiga risasi watoto wa miaka 12 na 13 Wapalestina Ukingo wa Magharibi
Feb 22, 2025 02:34Watoto wawili wa Kipalestina wenye umri wa miaka 12 na 13 wameuawa shahidi kwa kupigwa risasi na askari wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel wakati wa mfululizo wa mashambulizi mengi yaliyofanywa na jeshi hilo usiku kucha wa kuamkia leo katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu yakijumuisha maeneo ya Tulkarem, Jenin na Nablus.
-
Israel yampiga marufuku msomi maarufu wa Kiislamu kuingia Msikiti wa Al-Aqsa
Feb 21, 2025 23:41Vikosi vya utawala vamizi wa Israel vimemkamata na kumpiga marufuku Sheikh Najeh Bakirat, kiongozi mashuhuri wa Kiislamu Palestina kuingia katika Msikiti wa Al-Aqsa ulioko jijini Al Quds (Jerusalem).
-
UN: Inahitajika zaidi ya nusu karne kuufufua uchumi wa Syria urejee kwenye hali ya kabla ya vita
Feb 21, 2025 23:32Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa Syria inahitaji muda wa zaidi ya nusu karne ili kurejea kwenye hali yake ya uchumi ya kabla ya vita angamizi vya ndani ya nchi hiyo.
-
Mateka wa Kizayuni: Kwa muda wote walipotushikilia, Al-Qassam waliamiliana nasi kwa wema
Feb 21, 2025 07:27Gazeti moja la Kizayuni limemnukuu mateka mmoja Muisrael akisema kuwa Wanamuqawama wa Brigedi za al-Qassam, tawi la kijeshi la harakati ya HAMAS waliamiliana kwa wema na mateka hao wa Kizayuni kwa muda wote walipokuwa wakiwashikilia huko Ukanda wa Ghaza.