-
Marufuku ya Israel dhidi ya shughuli za UNRWA kuanza kutekelezwa leo
Jan 30, 2025 08:59Licha ya malalamiko ya walimwengu na asasi muhimu kama Umoja wa Mataifa, lakini utawala wa Israel umekataa kubadilisha uamuzi wake wa kulipiga marufuku Shirika la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA)
-
Kiongozi wa Hay'at Tahir Sham ateuliwa kuwa Rais wa mpito wa Syria
Jan 30, 2025 08:44Mohammad al-Julani, kiongozi waHay'at Tahir Sham ameteuliwa kuwa Rais wa mpito wa Syria.
-
Ukingo wa Magharibi, uwanja mpya baada ya Ghaza wa jinai za Israel dhidi ya Wapalestina
Jan 30, 2025 04:50Kufuatia kusitishwa mapigano katika maeneo ya kusini mwa Lebanon na Ukanda wa Ghaza, jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limeanzisha operesheni mpya katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan. Operesheni hiyo ambayo malengo yake halisi hayajatajwa, imezusha wasiwasi kutokana na kuendelea kwake sambamba na tangazo lililotolewa na Trump la kutaka Wapalestina wa Ghaza wahamishiwe katika nchi za Misri na Jordan.
-
Leo mateka 110 wa Palestina kuachiliwa huru mkabala wa mateka watatu 3 wa Israel
Jan 30, 2025 02:20Kanali ya 12 ya televisheni ya Israel imeripoti kuwa, leo Alkhamisi utawala wa Kizayuni utawaachilia huru mateka 110 wa Kipalestina katika mkabala wa kuachiliwa Wazayuni watatu na raia watano wa Thailand.
-
Mateso na mauaji ya raia Syria; nani wa kuzihami jamii za wachache?
Jan 30, 2025 02:20Licha ya maagizo ya mara kwa mara yanayotolewa makundi yenye silaha yanayowataka wanamgambo wao kufanya mauaji kwa siri dhidi ya raia na kutopiga picha mauaji na uhalifu wao, dhidi ya watu wa jamii za wachache huko Syria, hasa jamii za Maalawi na Mashia, lakini hata hizo video chache zinazovuja, zinaonesha kuendelea kufanyika ukatili wa kutisha sana nchini Syria.
-
UNICEF: Watoto wameathiriwa zaidi na vita katika Ukanda wa Gaza
Jan 29, 2025 22:27Mfumo wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa, watoto ndio walioteseka na kuathirika zaidi na vita vya Gaza kkuliiko matabaka mengine katika Ukkanda huo.
-
Umoja wa Mataifa: Shirika la UNRWA halina mbadala
Jan 29, 2025 22:26Msemaji wa Umoja wa Mataifa ametangaza kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema katika barua yake kwa Israel kwamba Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina UNRWA haliwezi kuwa na mbadala na kwamba na litaendelea kufanya kazi zake huko Palestina.
-
Uungaji mkono wa Marekani kwa hatua ya utawala wa Kizayuni dhidi ya UNRWA
Jan 29, 2025 08:47Rais Donald Trump wa Marekani ameendeleza uungaji mkono wa nchi hiyo kwa utawala wa Kizayuni wa Israel, kwa kufuta idhini ya serikali ya Biden kwa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA), na kutangaza kuwa anaunga mkono uamuzi wa utawala huo wa kufunga ofisi ya UNRWA huko Quds Mashariki inayokaliwa kwa mabavu.
-
Trump ang'ang'ania mpango wake wa kutaka Wapalestina wahamishwe Ghaza, amwalika Netanyahu
Jan 28, 2025 23:58Rais wa Marekani Donald Trump ameendelea kung'ang'ania pendekezo lake la kuhamishwa Wapalestina wote katika Ukanda wa Ghaza, Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Al-Azhar: Gaza itabaki kuwa Palestina na ardhi ya Kiarabu; UN, EU pia zapinga mpango wa Trump
Jan 28, 2025 05:50Taasisi ya Al-Azhar ya Misri, imelaani mpango wa Rais wa Marekani wa kuwatimua Wapalestina kwa nguvu katika eneo la Ukanda wa Gaza, ikisisitiza kuwa, Ukanda wa Gaza ni ardhi ya Wapalestina na Waarabu na itabaki hivyo daima.