-
Wazayuni milioni moja wakimbilia Ulaya na Marekani kufuatia "Kimbunga cha al Aqsa"
Aug 18, 2024 03:44Wazayuni milioni moja wamekimbia makazi yao katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na kuelekea Marekani na katika nchi mbalimbali za Ulaya kufuatia oparesheni ya Kimbunga cha al Aqsa.
-
Hamas: Utawala wa Kizayuni haujui lolote isipokuwa kuuwa wanawake na watoto
Aug 17, 2024 22:59Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiisamu ya Palestina (Hamas) amesisitiza kuwa utawala wa Israel unaotekeleza mauaji ya kimbari haujui lolote jingine isipokuwa kuwashambulia na kuwauwa wanawake na watoto wasio na hatia.
-
Wazayuni waingiwa kiwewe na hofu kutokana na uwezo wa makombora ya Hizbullah
Aug 17, 2024 22:54Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, kwa mara ya kwanza, imeonyesha picha na video za miji yake ya makombora, ambayo ni ishara ya uwezo wa Muqawama kwa ajili ya kujihama, jambo ambalo limesababisha hofu na wahka miongoni mwa Wazayuni.
-
Jeshi katili la Israel laua watu 15 wa familia moja wakiwemo watoto 9 Az-Zawayda, Ghaza
Aug 17, 2024 07:03Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limewaua shahidi Wapalestina wasiopungua 16 wakiwemo jamaa 15 wa familia moja, tisa kati yao wakiwa ni watoto wadogo, katika shambulizi la kinyama lililolenga watu waliolazimika kuhama makazi yao katika eneo la Az-Zawayda katikati mwa Ukanda wa Ghaza.
-
Mamilioni waandamana Yemen kuunga mkono Wapalestina wa Gaza
Aug 17, 2024 03:44Mamilioni ya wananchi wa maeneo tofauti ya Yemen wameandamana na kusisitiza himaya na uungaji mkono wao kwa taifa la Palestina hususan wa Gaza.
-
Mazungumzo ya Doha: Iran yasema Israel, Marekani zinahadaa na haziaminiki
Aug 17, 2024 01:09Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametoa kauli kuhusu mazungumzo ya kusitisha mapigano Gaza yanayoendelea jijini Doha nchini Qatar, ambapo ameonya kuhusu "udanganyifu na ukosefu wa uaminifu" wa utawala dhalimu wa Israel na muungaji mkono wake muhimu zaidi, Marekani.
-
Mizozo katika safu za Wazayuni, Ben-Gvir aanzisha jeshi lake maalumu Ukingo wa Magharibi
Aug 17, 2024 00:54Viongozi wa utawala wa Kizayuni ni viumbe woga mno wanaopenda maisha kupindukia kiasi kwamba, kwa kuogopa vipigo vya muqawama na mizozo ya kisiasa na kijamii ndani ya Israel, baadhi yao kama Itamar Ben-Gvir wameunda vikosi maalumu vya kijeshi kuwalinda na kuwashinda nguvu mahasimu wao ndani ya utawala wa Kizayuni.
-
Hizbullah: Hakuna shaka tutatoa jibu kwa mauaji ya kigaidi ya Israel
Aug 16, 2024 07:13Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon kwa mara nyingine tena imesisitiza azma yake ya kulipiza kisasi cha mauaji ya Israel dhidi ya kamanda mwandamizi wa kundi hilo la Mapambano ya Kiislamu, licha ya juhudi za Marekani za kuukingia kifua utawala huo wa Kizayuni na kutaka kuuepusha na matokeo mabaya ya jinai zake.
-
Hamas: Usitishaji mapigano lazima uhusishe kuondoka kikamilifu Israel Ukanda wa Gaza
Aug 16, 2024 04:25Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) kwa mara nyingine tena imesisitiza kuwa makubaliano yoyote na Israel lazima yahakikishe usitishaji kamili wa vita huko Gaza, kuondoka kikamili majeshi ya Israel katika eneo hilo na makubaliano ya kubadilishana wafungwa.
-
Israel yapata hasara ya dola bilioni 67 kutokana na vita vya Gaza
Aug 16, 2024 04:06Wachumi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamefichua hasara kubwa za kiuchumi za vita vya Gaza kwa utawala huo na kusema, uchumi wa Israel unakabiliwa na mgogoro usioweza kudhibitiwa.