-
Kikao cha OIC cha mjini Jeddah na majukumu ya nchi za Kiislamu
Aug 08, 2024 06:28Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC imeamua kuitisha kikao dha dharura mjini Jeddah, Saudi Arabia wakati huu ambapo Iran na kambi ya muqawama inajiandaa kutoa majibu makali kwa Israel kutokana na vitendo vya kigaidi vya utawala wa Kizayuni.
-
OIC yasema, Israel 'inabeba dhima kamili' ya mauaji ya Kiongozi wa HAMAS Ismail Haniya
Aug 08, 2024 03:02Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeulaumu utawala wa Kizayuni wa Israel kwa shambulizi la kigaidi lililomuua Ismail Haniya, Mkuu wa Tawi la Kisiasa la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS wiki iliyopita nchini Iran, ambayo Tehran imeapa kuyalipizia kisasi.
-
Katika miezi tisa iliyopita Yemen imeshambulia meli 170 za Marekani na Wazayuni
Aug 08, 2024 03:02Tovuti ya habari ya Yemen imetangaza katika ripoti yake kuwa katika kipindi cha miezi tisa iliyopita vikosi vya ulinzi vya nchi hiyo vimezishambulia meli 170 za Wamarekani na Wazayuni.
-
Kiwewe cha Wazayuni baada ya kuchaguliwa Yahya Sinwar kuwa mkuu mpya wa ofisi ya kisiasa ya HAMAS
Aug 07, 2024 22:53Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imemteua Yahya Sinwar kuwa Kiongozi wa Ofisi ya Kisiasa ya harakati hiyo ya muqawama, kujaza nafasi iliyoachwa wazi na hayati Ismail Haniyah.
-
Utendaji wa kiuadui wa Israel dhidi ya Iran na muqawama na athari hasi za kijamii katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu
Aug 07, 2024 09:01Hali na mazingira ya kijamii katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) yapo kwa namna ambayo vitisho vya nje vitakuwa na uharibifu mkubwa na matokeo mabaya kwa jamii hiyo.
-
Bagheri: Haturuhusu usalama wa kanda hii uchezewe na Israel
Aug 07, 2024 07:57Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria uamuzi wa Tehran wa kutekeleza hatua hahali, madhubuti na ya kuutia adabu utawala wa Kizayuni na kusisitiza kuwa: Iran haitaruhusu Israel ichezee usalama wa kanda hii kwa maslahi haramu ya genge la kigaidi linalotawala huko Tel Aviv.
-
Muqawama: Kuchaguliwa Sinwar kunaonyesha Israel imeshindwa kufikia malengo yake
Aug 07, 2024 07:21Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imesema hatua ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) kutangaza kumteua Yahya Sinwar kuwa mrithi wa Ismail Haniyah, aliyekuwa Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya HAMAS, kwa mara nyingine tena inathibitisha kuwa, malengo ya Wazayuni ya kuwaua kigaidi viongozi wa muqawama yamegonga mwamba.
-
Vyombo vya habari vya Israel: Hamas imechagua mtu hatari zaidi kuongoza harakati hiyo baada ya Haniyeh
Aug 07, 2024 05:20Baada ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) kutangaza kumteua Yahya Sinwar kuwa mrithi wa mkuu wa Ofisi yake ya Kisiasa, Ismail Haniyeh, aliyeuawa kigaidi katika mji mkuu wa Iran, Tehran Jumatano wiki iliyopita, vyombo vya habari vya Israel vimeharakia kutoa maoni kuhusu uteuzi huo na athari zake.
-
Nasrullah: Israel inaogopa majibu ya Iran, Hizbullah kwa jinai zake
Aug 07, 2024 03:22Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema misaada ya nchi za Magharibi kwa Israel ni ithibati kuwa utawala huo wa Kizayuni hauna uwezo wa kujilinda, na unatiwa kiwewe na majibu tarajiwa ya Iran na kambi ya muqawama kwa msururu wa mauaji ya kigaidi uliyoyafanya katika siku za karibu katika eneo.
-
Yahya Sinwar ateuliwa kuwa Mkuu mpya wa Kisiasa wa HAMAS
Aug 07, 2024 02:14Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imemteua Yahya Sinwar kuwa Kiongozi wa Ofisi ya Kisiasa ya harakati hiyo ya muqawama, kujaza nafasi iliyoachwa wazi na marehemu Ismail Haniyah.