-
Kushindwa utawala wa Kizayuni kukabiliana na makundi ya muqawama ya Palestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan
Aug 31, 2024 22:51Jeshi la utawala wa Kizayuni limeshindwa kukabiliana na makundi ya muqawama ya Palestina wakati huu ambapo Israel inaendeleza vita na hujuma zake huko Gaza na katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Israel yatishia kumuua kigaidi Khalid Mashaal
Aug 31, 2024 04:32Waziri wa Mambo ya Nje wa Israel ametoa vitisho kwamba utawala huo wa Kizayuni utamuua kigaidi Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Ughaibuni ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS), Khaled Mash'al.
-
Shambulio la anga la Israel laua na kujeruhi Wapalestina wengine 34 Nuseirat na Khan Yunis
Aug 31, 2024 04:10Wapalestina wasiopungua 34 wameuawa na kujeruhiwa katika mashambulizi ya anga yaliyofanywa na jeshi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika kambi ya Nuseirat na mji wa Khan Yunis katikati na kusini mwa Ukanda wa Ghaza.
-
Jinamizi kwa Wazayuni katika medani ya vita ya kaskazini mwa Palestina
Aug 31, 2024 00:46Ingawa Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni alikusudia kupanua wigo wa vita vya utawala huo kusini mwa Lebanon ili kudhamini maslahi yake binafsi, lakini nguvu ya Hizbullah ya kuzuia mashambulizi na hasa kufanikiwa operesheni yake ya karibuni ya Arbaeen, ambayo imelenga vituo 11 vya kijeshi na kijasusi vya utawala wa Kizayuni, imempelekea kutafakari upya na kuhamishia uchokozi wake katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan kwa sasa.
-
Yemen wafanya maandamano ya mamilioni ya watu kuwaunga mkono Wapalestina
Aug 31, 2024 00:45Kwa mara nyingine tena mamilioni ya wananchi wa Yemen wamemiminika barabarani kulaani jinai za utawala wa Kizayuni na kuwaunga mkono wananchi wa Palestina hasa wa Ukanda wa Ghaza.
-
Israel yaidhinisha jeshi libaki kwenye Ukanda wa Philadelphi na kuua matumaini ya kusitishwa vita
Aug 30, 2024 06:45Baraza la mawaziri la vita la utawala wa Kizayuni wa Israel limeidhinisha kuendelea kuwepo kwa jeshi katika Ukanda wa Philadelphi kwenye mpaka wa pamoja wa Ukanda wa Ghaza na Misri na hivyo kudidimiza matumaini ya kusitishwa na hatimaye kukomeshwa vita vya kinyama vilivyoanzishwa na utawala huo dhidi ya eneo hilo tangu Oktoba 7, 2023.
-
Kiongozi wa Ansarullah: Utawala wa Kizayuni wa Israel umekiuka sheria zote za kimataifa
Aug 30, 2024 03:52Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel umevuka mistari yote myekundu, ada na sheria zote za kimataifa.
-
WHO: Dawa pekee ya kudumu kwa watu wa Gaza ni amani
Aug 30, 2024 03:51Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, suluhisho pekee la ulinzi wa watoto wa Kipalestina ni kupatikana na kudumishwa amani huko katika Ukanda wa Gaza.
-
Watengenezaji filamu wa Palestina walalamikia msimamo usio wa kibinadamu na wa kibaguzi wa Holywood
Aug 29, 2024 23:11Watengenezaji filamu wa Kipalestina wamesaini barua ya wazi wakipinga na kulalamika msimamo usio wa kibinadamu na wa kibaguzi wa Holywood.
-
Umoja wa Ulaya kuwawekea vikwazo mawaziri wa Israel
Aug 29, 2024 23:10Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya, Josep Borrell amewataka mawaziri wa mambo ya nje wa EU kuzingatia vikwazo dhidi ya mawaziri wa Israel.