-
OIC yafanya kikao cha dharura leo kujadili mauaji ya kigaidi ya Haniyah
Aug 06, 2024 23:50Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) inatazamiwa kufanya kikao cha dharura leo Jumatano mjini Jeddah nchini Saudi Arabia, kujadili mauaji ya kigaidi ya Ismail Haniyah, Mkuu wa Kisiasa wa Harakati ya Muqawama ya Palestina HAMAS.
-
Abbas: Mauaji ya Haniyah yanalenga kurefusha vita vya Gaza
Aug 06, 2024 22:57Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina Mahmoud Abbas amesema Israel ilimuua kigaidi Mkuu wa Ofisi ya Ksiasa wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas), Ismail Haniyah ili kuendeleza na kurefusha vita vyake dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
Iran na Russia katika mkondo wa kuimarisha ushirikiano
Aug 06, 2024 10:42Jumatatu ya jana tarehe 5 Agosti, Katibu wa Baraza la Usalama la Taifa la Shirikisho la Russia aliwasili mjini Tehran kwa lengo la kuimarisha maingiliano na kuchunguza masuala ya kieneo, kimataifa na uhusiano wa pande mbili.
-
Takwa la Baghdad la kuondolewa wanajeshi wa Marekani kutoka Iraq
Aug 06, 2024 10:41Kamisheni ya Usalama na Ulinzi ya Bunge la Iraq imetoa mwito wa kuainishwa ratiba na jedwali la kuondoka wanajeshi wa Marekani kutoka katika ardhi ya nchi hiyo ya Kiarabu
-
Ripoti: Israel imeiba zaidi ya miili 2,000 kutoka kwenye makaburi ya Gaza
Aug 06, 2024 08:46Vikosi vya jeshi la Israel vimeiba zaidi ya miili 2,000 iliyofukuliwa kutoka kwenye makaburi mbalimbali katika ukanda wa Gaza, huku ripoti kutoka Ofisi ya Vyombo vya Habari ya Serikali ya Gaza zikisema baadhi ya maiti zimerudishwa baada ya majeshi ya Israel "kuvunjia heshima miili" ya marehemu hao.
-
Smotrich: Vifo vya Wapalestina milioni mbili huko Gaza kwa njaa ni "haki na uadilifu"
Aug 06, 2024 08:33Waziri wa Fedha wa Israel, Bezalel Smotrich, amesema kwamba vifo vya Wapalestina milioni mbili katika Ukanda wa Gaza kutokana na njaa "vinaweza kuwa vya haki na uadilifu kwa ajili ya kuwarejesha mateka wa Israel," wanaoshikiliwa na makundi ya mapambano ya ukombozi ya Palestina.
-
Radiamali ya Hamas kwa jinai kubwa ya Tel Aviv dhidi ya miili ya mashahidi wa Palestina
Aug 06, 2024 04:21Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetangaza kuwa kitendo kilichofanywa na utawala wa Kizayuni cha kukabidhi miili ya mashahidi zaidi ya 80 wa Kipalestina katika hali iliyoharibika kabisa kinaonyesha kiwango kisicho na kifani cha jinai za utawala huo.
-
Matokeo ya operesheni 2,500 za kijeshi za Hizbullah ya Lebanon dhidi ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu
Aug 05, 2024 11:41Katika siku 300 zilizopita tangu kuanza hujuma za utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza, Hizbullah ya Lebanon imelenga shabaha maeneo mbalimbali utawala huo katika operesheni za kijeshi 2,500.
-
Mauaji ya Gaza: Israel yashambulia shule na kuua watoto wa Palestina
Aug 05, 2024 04:22Vikosi vya utawala vamizi wa Israel vimeshambulia kambi mbili za shule katika Ukanda wa Gaza, na kuua Wapalestina wasiopungua 30 waliokimbilia makazi yao.
-
Hizbullah ya Lebanon yalenga makao ya kamandi ya utawala katili wa Israel
Aug 05, 2024 03:56Hizbullah ya Lebanon imelenga makao ya Kamandi ya Kitengo cha 91 cha utawala wa Kizayuni huko Eilat katika shambulizi jipya dhidi ya Bandari ya Eilat katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni na ambazo zimepachikwa jina bandia la Israel, kwa kutumia ndege kadhaa zisizo na rubani.