-
National Interest: Mashambulizi ya Marekani na washirika wake dhidi ya Yemen hayana taathira yoyote
Jan 17, 2024 23:28Jarida la Marekani la "The National Interest" limeripoti kuwa mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na washirika wake dhidi ya Yemen hayana tija wala taathira yoyote.
-
Khalid Mash'al: Taifa la Palestina linataka kuwa huru na kujikomboa kutoka katika minyororo ya maghasibu
Jan 17, 2024 23:20Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) nje ya Palestina amesema kuwa taifa la Palestina linapigania uhuru, linataka kujikomboa na kuunda nchi huru mji wake mkuu ukiwa Quds Tukufu.
-
Kundi la kigadi la Jaishu Dhulm lakiri kushambuliwa ngome zake Pakistan
Jan 17, 2024 04:35Kundi la kigaidi la Jaishu Dhulm limetangaza kuwa ngome zake zimelengwa na kushambuliwa kwa makombora usiku wa kuamkia leo katika mpaka wa Iran na Pakistan.
-
Operesheni kabambe ya Iran ya kujibu jinai za magenge ya kigaidi katika eneo na waungaji mkono wao wa Magharibi
Jan 17, 2024 04:02Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vimeshambulia kwa mpigo kupitia operesheni mbili tofauti makao makuu ya magenge ya kigaidi katika nchi za Iraq na Syria, likiwa ni jibu kwa vitendo vya magenge hayo na kwa moto wa vita unaoendelea kukolezwa na utawala haramu wa Kizayuni na waungaji mkono wake wa Magharibi.
-
Sababu za vita vya Gaza kuendelea kwa muda mrefu
Jan 17, 2024 01:03Licha ya kupita siku 100 tangu vita vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Gaza vianze, lakini bado hakuna matarajio ya kumalizika kwa vita hivyo.
-
EU yamuweka Yahya Sinwar, kiongozi wa HAMAS katika orodha ya ugaidi
Jan 16, 2024 23:07Umoja wa Ulaya umemuweka kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) huko Gaza katika orodha yake ya magaidi, kwa tuhuma za kufanikisha shambulizi la kushtukiza la Kimbunga cha al-Aqsa la Oktoba 7 mwaka uliopita.
-
OCHA: Israel inazuia kupelekwa dawa kaskazini mwa Gaza
Jan 16, 2024 23:06Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) imesema utawala wa Kizayuni wa Israel umeendelea kuzuia ufikishaji wa misaada muhimu ya kibinaadamu ikiwa ni pamoja na dawa muhimu na mafuta ya kuendesha huduma za maji na usafi wa mazingira kaskazini mwa Ukanda wa Gaza.
-
Kuongezeka uwepo kijeshi wa Marekani huko Iraq na Syria
Jan 16, 2024 10:57Marekani ilituma wanajeshi huko Iraq mwaka 2003 wakati ilipoivamia na kuikalia kwa mabavu nchi hiyo mwaka 2003; na kuhusu Syria pia Marekani ilituma wanajeshi wake nchini humo mwaka 2014 kwa kisingizio cha kupambana na kundi la kigaidi la Kitakfiri la Daesh (ISIS) katika fremu ya Muungano wa Kimataifa wa eti kukabiliana na ugaidi.
-
Yemen yajibu mapigo kwa kuishambulia meli ya mizigo ya Marekani kwa makombora ya balestiki
Jan 16, 2024 03:24Meli ya mizigo inayomilikiwa na Marekani imeshambuliwa kwa kombora la balestiki nje ya pwani ya Yemen, huku wingu la wasiwasi na mvutano mkali likiendelea kutanda katika Bahari Nyekundu kutokana na uungaji mkono usiokoma wa Washington kwa vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendeshwa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
Kushtadi mipasuko ya ndani katika utawala wa Kizayuni wa Israel
Jan 16, 2024 03:02Katika hali ambayo, zimepita siku 100 tangu kuanza vita vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Gaza, vita hivyo vinaonekana kushadidisha migawanyiko na mipasuko ya ndani katika ardhi hizo zinazokaliwa kwa mabavu (Israel).