-
Kongresi ya Taifa ya Waarabu: Muqawama na Mapambano ndilo chaguo kuu la kuuhami Umma
Aug 01, 2023 10:09Kongresi ya Taifa ya Waarabu (Arab National Congress) imesisitiza katika taarifa yake kwamba Muqawama na Mapambano ndilo chaguo kuu la kuuhami na kuutetea Umma.
-
Serikali ya San'aa: Marekani haitaki vita vikomeshwe nchini Yemen
Jul 31, 2023 22:59Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen amesema kuwa Marekani haitaki kusimamishwa vita katika nchi hiyo.
-
Wazayuni wenye kuuchukia Uislamu wavamia tena msikiti wa al-Aqswa
Jul 31, 2023 22:56Walowezi wa Kizayuni maghasibu wenye misimamo ya kufurutu ada kwa mara nyingine tena wameuvamia msikiti wa al-Aqswa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kulivunjia heshima eneo hilo takatifu.
-
Sauti za "Mauti kwa Israel' zatanda katika maombolezo ya Imam Hussein (AS) katika mji mkuu wa Bahrain
Jul 31, 2023 12:15Watu wa Bahrain walipaza sauti "Mauti wa Israeli" na "Hayhāt minnā l-dhilla" yaani tunapinga udhalilishaji wakati wa hafla ya maombolezo ya Imam Hussein (AS) na wakatangaza kuchukizwa kwao na hatua ya utawala wa kifalme nchini humo kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
UNRWA yatoa indhari: Baa la ukame linakaribia kuumeza Ukanda wa Gaza
Jul 30, 2023 23:38Mshauri wa vyombo vya habari wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi Wapalestina UNRWA ametahadharisha kuwa baa halisi la njaa linakaribia kuumeza Ukanda wa Gaza katika miezi kadhaa ijayo kutokana na kuendelea kwa hali mbaya ya uhaba wa fedha unaosababishwa na kupunguzwa kwa misaada ya kimataifa.
-
Iraq inasema wafanyaziara milioni 16 walifika Karbala katika siku 10 za Muhrram
Jul 30, 2023 08:14Wafanyaziara milioni 16 wameingia Karbala, Iraq katika siku 10 za kwanza za mwezi wa Muharram mwaka huu wa 1445 Hijria Qamaria.
-
Syria yasisitiza kuunga mkono kadhia ya Palestina
Jul 30, 2023 04:33Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Syria imesisitiza juu ya misingi na misimamo yake thabiti na isiyoteereka ya kuliunga mkono taifa madhulumu la Palestina ambalo ardhi yake inakabiliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
-
Nasrallah: Waislamu wako tayari kuutetea Uislamu na Qur’ani Tukufu
Jul 30, 2023 01:18Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema jamii za Kiislamu haziwezi kustahamili kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu, akisisitiza kwamba Waislamu wako tayari kikamilifu kuchukua hatua za kuwajibika kuulinda Uislamu na kitabu chao kitakatifu.
-
UN: Israel imebomoa majengo 54 ya Wapalestina mwezi Julai
Jul 30, 2023 01:07Ripoti ya Umoja wa Mataifa imebaini kuwa vikosi vya kijeshi vya utawala haramu wa Israel vilibomoa majengo 54 yanayomilikiwa na Wapalestina huko Al-Quds (Jerusalem) Mashariki katika tarafa kubwa zaidi ya eneo la Ukingo wa Magharibi linalokaliwa kwa mabavu mwezi Julai.
-
Wanajeshi Wazayuni: Netanyahu anaiteketeza kwa moto Israel
Jul 29, 2023 07:14Wanajeshi 1,300 wa utawala wa Kizayuni wamemshambulia vikali Benjamin Netanyahu na kusema kuwa waziri mkuu huyo wa Israel yuko tayari utawala wote wa Kizayuni uteketee kwa moto ili yeye binafsi aokoke.