-
Bunge la Waarabu lataka kampeni maalumu ya kuwatia adabu wanaovunjia heshima matukufu ya Waislamu
Jul 21, 2023 07:38Spika wa Bunge la Waarabu amelaani jinai ya kuvunjiwa heshima tena Qur'ani Tukufu nchini Sweden na ametaka hatua kali za kivitendo zichukuliwe dhidi ya Sweden ikiwa ni pamoja na kususiwa bidhaa za nchi hiyo.
-
Kuchomwa moto Qur'ani Tukufu, Waziri wa Mawasiliano wa Iraq ayapiga marufuku mashirika ya Sweden
Jul 21, 2023 07:38Waziri wa Mawasiliano wa Iraq ameyapiga marufuku mashirika yote ya Sweden kufanya kazi nchini humo ikiwa ni kujibu kitendo cha nchi hiyo ya Ulaya Magharibi cha kuruhusu kuvunjiewa heshima tena Qur'ani Tukufu na bendera ya Iraq.
-
Hizbullah yataka nchi za Waislamu ziwafukuze mabalozi wa Sweden
Jul 21, 2023 04:21Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon ametoa mwito kwa mataifa ya Kiislamu na Kiarabu kuwafukuza mabalozi wa Sweden katika nchi hizo, kulalamikia kitendo cha kuvunjiwa heshima Qurani Tukufu katika nchi hiyo ya Ulaya. Hii ni baada ya mkimbizi wa Iraq aliyeko Sweden kuivunjia heshima Qurani Tukufu kwa kuikanyaga na kuipiga mateke mjini Stockholm jana Alkhamisi.
-
Kuchomwa moto Qur'ani Tukufu, balozi wa Sweden atimuliwa Iraq
Jul 20, 2023 23:10Serikali ya Iraq imemfukuza balozi wa Sweden mjini Baghdad kulalamikia serikali ya nchi hiyo ya Ulaya Magharibi ya kuruhusu kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu.
-
Wazayuni wakaribia kutumbukia kwenye vita vikubwa vya wenyewe kwa wenyewe
Jul 20, 2023 23:06Mkuu wa zamani wa shirika la usalama wa ndani la utawala wa Kizayuni ameshindwa kuficha hofu yake kubwa kuhusu mustakbali wa kiza wa Israel na mabadiliko ya sheria yanayopiganishwa na Benjamin Natanyahu akisema kuwa, utawala wa Kizayuni umeanza kuingia kwenye vita vikubwa vya wenyewe kwa wenyewe.
-
Kushambulia ubalozi wa Uswidi jijini Baghdad; matokeo ya kuvunjiwa heshima matukufu ya Kiislamu
Jul 20, 2023 08:48Waandamanaji wa Iraq waliokuwa na hasira wameushambulia ubalozi wa Uswidi mjini Baghdad kujibu udhalilishaji uliopangwa dhidi ya Qur'ani Tukufu katika nchi hiyo ya Ulaya.
-
Hitilafu kubwa baina ya Riyadh na Abu Dhabi kuhusu uongozi wa Ulimwengu wa Kiarabu
Jul 20, 2023 08:34Katika ripoti yake ya karibuni, jarida la Wall Street Journal linalochapishwa Marekani limeashiria hitilafu kubwa za kimitazamo zilizopo kati ya Mohammad bin Salman, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia, na Mohammad bin Zayed, Rais wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati); na kuandika kuwa: Mgogoro huo, ambao dalili zake zilionekana kitambo nyuma, ulibainika hadharani Disemba mwaka uliopita.
-
Hamas yalaani uamuzi wa Marekani unaoitambua Israel kama "nchi isiyo na ubaguzi wa rangi"
Jul 20, 2023 08:13Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani hatua ya Kongresi ya Marekani ya kupasisha azimio linaloitaja Israel kuwa "taifa lisilo la kibaguzi", na kusema kuwa uamuzi huo ni upendeleo wa wazi wa Marekani kkwa uvamizi huo na unaihimiza Israel kuendeleza jinai na uhalifu wake dhidi ya watu wa Palestina.
-
Marekani yaziwekea vikwazo benki 14 za Iraq kwa kushirikiana na Iran
Jul 20, 2023 04:33Marekani imetangaza kuziwekea vikwazo benki 14 za Iraq kwa tuhuma za kushirikiana na Iran.
-
Kuvunjiwa heshima Qurani; Wairaq waushambulia ubalozi wa Sweden
Jul 20, 2023 04:03Wananchi wa Iraq waliokuwa na ghadhabu wameuvamia ubalozi wa Sweden mjini Baghdad na kuchoma moto sehemu moja ya ofisi za ubalozi huo, kulalamikia kibali cha pili kilichotolewa na serikali ya Stockholm cha kuruhusu kuvunjiwa heshima Qurani Tukufu katika nchi hiyo ya Ulaya.