-
ICC kuruhusu Wapalestina mtandaoni kuwashtaki Wazayuni kwa jinai za kivita
Jul 19, 2023 06:07Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) inatazamiwa kuzindua jukwaa la mtandaoni litakalowawezesha wananchi wa Palestina kuwashtaki Wazayuni kwa jinai za kivita mbele ya taasisi hiyo ya Umoja wa Mataifa.
-
Mamilioni ya watoto wa Yemen wanakabiliwa na hatari ya baa la njaa
Jul 19, 2023 04:30Zaidi ya watoto milioni 6 nchini Yemen wanakabiliwa na hatari ya baa la njaa na kwamba, wanahitajia misaada ya haraka ya chakula na dawa.
-
Maandamano ya wapinzani wa mageuzi ya mahakama yazidi kuiteteresha serikali ya Netanyahu
Jul 19, 2023 04:30Wapinzani wa mpango wa Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel wa kufanyia mageuzi mfumo wa mahakama wameendelea kuandamana na kuzidi kutishia uhai wa serikali ya Netanyahu na washirika wake.
-
Malengo ya safari ya Erdogan nchini Saudi Arabia
Jul 19, 2023 03:32Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki ameitembelea Saudi Arabia huku akiongoza ujumbe wa ngazi za juu wa kisiasa na kiuchumi wa nchi yake. Akiwa katika hatua ya kwanza ya safari yake ya siku tatu katika nchi kadhaa za Ghuba ya Uajemi, Erdogan aliwasili Jeddah, Saudi Arabia Jumatatu Julai 17.
-
Nasrullah: Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran lilikuwa tukio la karne
Jul 19, 2023 00:27Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran lilikuwa tukio kubwa zaidi katika karne iliyopita.
-
Wanamuqawama watekeleza oparesheni 20 dhidi ya Wazayuni katika Ukingo wa Magharibi
Jul 18, 2023 08:12Duru za habari za Palestina zimetangaza kuwa, wanamapambano wa Palestina jana walitekeleza oparesheni 20 za kimuqawama dhidi ya Wazayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na huko Quds inayokaliwa kwa mabavu.
-
YouTube yafunga mitandao 18 ya harakati ya Ansarullah ya Yemen
Jul 18, 2023 04:48Idara ya Habari za Vita vya Yemen imetangaza kuwa kampuni ya YouTube imechukua hatua ya uhasama ya kufunga mitandao 18 inazohusishwa na Ansarullah.
-
Wabunge wa Jordan wasisitiza kususia bidhaa za Uswidi ili kulalamikia kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu
Jul 18, 2023 00:04Wabunge wa Jordan wameiandikia barua serikali ya nchi hiyo ya Kiarabu wakilaani kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu hivi karibuni nchini Uswidi na kutoa wito wa kususia bidhaa za nchi hiyo.
-
Indhari kuhusu njama ya Israel ya kupora maeneo ya akiolojia ya Wapalestina
Jul 17, 2023 23:06Mamlaka ya Ndani ya Palestina (PA) imeonya kwamba, utawala haramu wa Israel unapanga kuteka maeneo ya kiakiolojia ya Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi,
-
Malengo ya safari ya Mohammed Shia' Al Sudani nchini Syria
Jul 17, 2023 09:38Waziri Mkuu wa Iraq amefanya safari ya kuitembelea Syria ambayo ni ya kwanza kufanywa na waziri mkuu wa nchi hiyo huko Syria baada ya miaka 12. Mohammed Shia' Al Sudani amekutana na kuzungumza na Rais wa Syria, Bashar al-Assad.