-
Muhammad Shia al-Sudan: Msimamo wa Iraq kuhusu Palestina ni thabiti
Jul 17, 2023 04:08Waziri Mkuu wa Iraq amesema kuwa, msimamo wa nchi yake kuhusiana na malengo matukufu ya Palestina ni thabiti na si wenye kutetereka.
-
Mufti wa Lebanon: Marekani inakwamisha zoezi la kuchaguliwa Rais wa Lebanon
Jul 17, 2023 04:08Mufti wa Lebanon amesema kuwa, Marekani inafanya njama za kukwamisha mchakato wa kuchaguliwa Rais wa nchi hiyo na kubainisha kwamba, Washington ndio kizingiti kikuu katika uwanja huo.
-
Wazayuni wenye misimamo mikali wavamia tena msikiti wa al-Aqswa
Jul 17, 2023 01:02Wazayuni maghasibu wenye misimamo ya kufurutu ada Kwa mara nyingine tena wameuvamia msikiti wa al-Aqswa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kulivunjia heshima eneo hilo takatifu.
-
Israel imeua Wapalestina 200 mwaka huu wa 2023
Jul 15, 2023 23:29Idadi ya vifo vya Wapalestina imepita 200 mwaka huu kutokana na mashambulizi ya vikosi vya utawala dhalimu wa Israel, jambo linaloashiria mwaka wa vurugu zaidi kuwahi kushuhudiwa katika Ukingo wa Magharibi katika miongo kadhaa.
-
Wataalamu wa Kisheria: Shambulio la Kijeshi la Israel dhidi ya Jenin ni Uhalifu wa Kivita
Jul 15, 2023 23:23Wataalamu wa sheria wamebaini kuwa sheria za Mkataba wa Geneva kuhusu uhalifu wa kivita zilikiukwa katika shambulio la mauaji la jeshi la Israel kwenye kambi ya wakimbizi ya Jenin katika sehemu ya kaskazini ya Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu.
-
Maandamano ya kuunga mkono Palestina yafanyika nchini Marekani
Jul 15, 2023 06:48Idadi kubwa ya Wamarekani wameandamana katika miji mbalimbali ya Marekani ambapo wametangaza kuwaunga mkono Wapalestina na kulaani pia jinai za Israel katika kambi ya Jenin huko Palestina.
-
UNAIDS: Ugonjwa hatari wa ukimwi kumalizika duniani ifikapo 2030
Jul 15, 2023 06:47Shirika la Umoja wa Mataifa la kupambana na virusi vya Ukimwi (UNAIDS) limetangaza kuwa, virusi vya HIV na Ukimwi vinaweza kumalizika kama tishio la afya ya umma ifikapo mwaka 2030.
-
Hotuba ya Sayyid Hassan Nasrullah katika kumbukumbu ya vita vya siku 33
Jul 15, 2023 04:00Hotuba iliyotolewa na Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon katika maadhimisho ya mwaka wa 17 tangu baada ya ushindi wa harakati hiyo dhidi ya jeshi la Israel katika vita vya siku 33 vya 2006, kama kawaida, imegusa pande zote na kutoa majibu kwa masuala muhimu zaidi yanayoshughulisha fikra za watu kwa sasa.
-
Wairaqi walaani njama za Marekani za kutaka kuwaua viongozi wa muqawama
Jul 15, 2023 03:18Wananchi wa Iraq wamefanya maandamano katika mji mkuu Baghdad, kupinga na kulaani uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya nchi hiyo, na vile vile njama za Washington za kutaka kuwaua kigaidi viongozi wa kambi ya muqawama nchini humo.
-
Afisa wa kijeshi wa Israel: Kila kitu kinakwenda kwa manufaa ya Hizbullah
Jul 14, 2023 23:15Afisa mmoja wa kijeshi wa utawala wa Kizayuni amekiri kuwa, hivi sasa jamii ya Israel imekaribia mno kwenye nukta iliyotangazwa miaka 23 iliyopita na Katibu Mkuu wa Hizbullah, Sayyid Hassan Nasrullah aliposema kuwa jamii ya Wazayuni ni dhaifu kuliko nyumba ya buibui.