-
Duru mpya ya oparesheni za kijeshi dhidi ya wanajeshi wa Marekani nchini Syria
Mar 26, 2023 06:50Vituo vya kijeshi vya Marekani nchini Syria vimelengwa kwa makombora, na Marekani nayo kutoa jibu kwa oparesheni hiyo kwa kutekeleza mashambulizi.
-
Askari wa Kizayuni wawashambulia Wapalestina waliokaa Itikafu kwenye Msikiti wa Al-Aqsa
Mar 26, 2023 04:30Askari wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wamevamia Msikiti wa Al-Aqsa na kuwatia nguvuni Wapalestina kadhaa waliokuwa kwenye Itikafu na ibada zingine za mwezi mtukufu wa Ramadhani.
-
Hatua za Saudi Arabia na Qatar kwa ajili ya kurejesha uhusiano na Syria
Mar 25, 2023 09:56Nchi za Kiarabu zimeamua kurekebisha sera zao kuhusiana na Syria na sasa zimeweka mguu katika njia ya mazungumzo na kurejesha uhusiano na serikali ya Damascus.
-
Ripoti: Zaidi ya watu 18,000 wameuawa nchini Yemen kufuatia mashambulio ya Saudia na washirika wake
Mar 25, 2023 08:45Kituo cha Haki za Binadamu cha Ain kimetangaza kuwa, zaidi ya watu 18,000 wameuawa nchini Yemen kufuatia hujuma na mashambulio ya Saudi Arabia na washirika wake dhidi ya nchi masikini ya Yemen.
-
HAMAS: Mapambano dhidi ya Israel yataendelea mpaka Aqsa ikombolewe
Mar 25, 2023 03:49Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema mapambano yao kwa kushirikiana na makundi mengine ya muqawama dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel yataendelea hadi pale Msikiti wa al-Aqsa utakapokombolewa.
-
Vikosi vamizi vya US vyashambuliwa kwa maroketi mashariki ya Syria
Mar 25, 2023 03:38Kambi mbili haramu za wanajeshi vamizi wa Marekani zimeshambuliwa kwa makumi ya maroketi huko mashariki mwa Syria.
-
UNICEF: Mamilioni ya watoto wanakabiliwa na hatari ya utapiamlo nchini Yemen
Mar 24, 2023 22:50Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umeonya kuwa mamilioni ya watoto wanakabiliwa na hatari ya utapiamlo nchini Yemen ikiwa fedha hazitatolewa haraka kwa nchi hiyo ya Kiarabu iliyokumbwa na vita, ambapo mtoto mmoja hufariki dunia kila baada ya dakika kumi.
-
Baada ya kupita miaka kumi, Saudia na Syria zinatarajia kufungua tena balozi zao
Mar 24, 2023 06:31Televisheni ya Saudi Arabia imemnukuu afisa mmoja katika Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo na kutangaza kuwa Riyadh imeanza mazungumzo na Syria ili kuanza tena kutoa huduma za kibalozi.
-
Waziri Mkuu wa Lebanon: Kuna ulazima wa kuchukua hatua haraka ili kuiokoa nchi
Mar 24, 2023 06:30Waziri Mkuu wa Lebanon Najib Miqati amesema, kuna ulazima wa kuchukuliwa hatua za haraka za kuiokoa nchi hiyo.
-
Maafisa wa Iran, Lebanon wazungumzia matukio ya kieneo mjini Beirut
Mar 24, 2023 04:21Mkuu wa Baraza la Kistratijia la Mahusiano ya Kigeni la Iran, Kamal Kharrazi amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah mjini Beirut, ambapo wamejadili matukio ya hivi sasa ya kisiasa na kiusalama katika eneo la Asia Magharibi.