-
Kwa nini kuadhibiwa katika uga wa michezo ni hatua muhimu ya kukabiliana na jinai za utawala wa Kizayuni?
Sep 27, 2025 22:57Kufuatia kuongezeka mashinikizo ya kimataifa kwa serikali na taasisi za Ulaya ili kutoa jibu kali kwa jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya wakazi wa Ukanda wa Gaza, Shirikisho la Soka Barani Ulaya (UEFA) wiki ijayo litakuwa na kikao kujadili suala la kuziweka kando timu zote za kandanda za Israel katika mashindano ya kimataifa na vilabu ya UEFA.
-
Hamas: Uongo wa Netanyahu UN ulilenga kuonesha Wapalestina ni mashetani, Muqawama utaendelea
Sep 27, 2025 06:54Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imemlaani Benjamin Netanyahu na hotuba yake iliyojaa uongo kwenye Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na kusisitiza kuwa, lengo la uongozo huo wa Netanyahu ni kuonesha Muqawama wa Wapalestina ni ushetani na eti Wapalestina wanataka kuwaangamiza Mayahudi lakini uongo huo hautozuia kuendelea Muqawama wa Wapalestina.
-
Rais wa Bolivia: Marekani na Israel ‘zinatekeleza mauaji ya kimbari’ Gaza
Sep 26, 2025 07:26Rais wa Bolivia, Luis Arce, amekemea vikali Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kusababisha maumivu na vifo duniani kote na “kutekeleza mauaji ya kimbari” katika Ukanda wa Gaza uliokuwa umezingirwa.
-
UNRWA: Ndoto ya Wapalestina sasa ni kufa kwa heshima kuliko kuishi katika mateso ya jinai za Israel
Sep 26, 2025 07:25Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Msaada kwa Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA), Philippe Lazzarini, ametoa onyo kali kuhusu hali ya kibinadamu ya Gaza kiasi kwamba Wapalestina wanafadhilisha kufa kulika kuishi kwa mateso wakati huu utawala katili wa Israel unaendeleza vita vya maangamizi ya kimbari katika eneo hilo.
-
Israel: Tulishindwa kwa fedheha katika shambulio letu la nchini Qatar
Sep 26, 2025 02:59Duru rasmi za utawala wa Kizayuni wa Israel zimemnukuu mmoja wa maafisa wake wa kijeshi walioendesha operesheni ya kigaidi ya kuishambulia Doha, mji mkuu wa Qatar akikiri kwamba, Tel Aviv ilifeli na kushindwa vibaya katika shambulio hilo. Hii ni mara ya kwanza kwa Israel kukiri hadharani kufeli vibaya operesheni hiyo.
-
Hamas: Muqawama utaendelea kuwepo maadamu ardhi za Palestina hazijakombolewa
Sep 26, 2025 02:56Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina imetoa taarifa mpya na kusema kuwa, Muqawama utaendelea kuwepo madamu ardhi za Palestina zinaendelea kukaliwa kwa mabvu na Wazayuni na imelaani vikali matamshi ya Mahmoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina.
-
Jerusalem Post: Vipigo vya Yemen dhidi ya Israel havizuiliki
Sep 25, 2025 08:49Baada ya Israel kushindwa kuzuia shambulio la droni la Yemen katika eneo la kusini mwa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu, gazeti la Jerusalem Post linalotoa nakala nyingi zaidi limekiri kuwa ulinzi wa anga wa Israel hauwezi kukabiliana na vipigo kutoka Yemen.
-
Hofu ya kutiwa mbaroni yazidi kumtia kihoro Netanyahu, ndege yake yakata masafa marefu
Sep 25, 2025 08:49Ndege iliyokuwa imembeba waziri mkuu wa Israel ambaye ni maarufu kwa jina la nduli wa Ghaza na ambaye anasakwa na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kujibu mashtaka ya jinai za kivita anazofanya huko Ghaza, imelazimika kuruka masafa marefu kukwepa anga za nchi kadhaa za Ulaya alipokuwa anaelekea Marekani.
-
Shambulio la droni la Yemen lajeruhi wazayuni 22 Eilat, wawili hali zao mahututi
Sep 25, 2025 03:33Jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel limesema ndege isiyo na rubani iliyorushwa kutoka Yemen imeshambulia mji wa kusini wa Eilat na kujeruhi watu 22 wakiwemo wawili ambao hali zao ni mahututi. Hayo yanajiri wakati jeshi la kizayuni likiwa lingali linaendeleza vita vyake vya kinyama na mauaji ya kimbari ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.
-
Russia yajibu mapigo kwa Trump baada ya kuiita 'chui wa karatasi', yasema chaguo pekee ni vita
Sep 25, 2025 00:42Ikulu ya Kremlin imetangaza kuwa Russia haina "mbadala" isipokuwa kuendelea kupigana vita, huku ikijibu mapigo kwa mabadiliko ya ghafla yaliyoonyeshwa dhidi ya nchi hiyo na Rais wa Marekani Donald Trump mkabala wa Ukraine kwa kufikia hadi ya kuiita Moscow "chui wa karatasi".