-
Kushindwa utawala wa kizayuni Ghaza; ushindi wa Muqawama katika medani ya vita na kwenye ulingo wa siasa
Oct 13, 2025 22:55Makundi ya Muqawama wa Palestina yanasisitiza kutekelezwa matakwa yao halali na ya wananchi wa Palestina katika makubaliano ya kusitisha mapigano.
-
Hamas yaonya; Israel inaendelea kuchuja orodha ya mateka
Oct 13, 2025 06:12Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas kuushutumu utawala ghasibu wa Israel kwa 'kutia mkono' orodha ya mateka wa Kipalestina, na kukwepa kutekelezwa masharti na vipengee vya makubaliano ya usitishaji vita Gaza, licha ya ahadi zake kwa wapatanishi wa kimataifa.
-
Hamas yawakabidhi kwa Msalaba Mwekundu huko Gaza mateka 7 wa kwanza wa Israel
Oct 13, 2025 03:10Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu (ICRC) limetangaza kukabidhiwa mateka saba wa kwanza wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
-
UNICEF: Watoto 56,000 wamebaki yatima Gaza kutokana na vita vya Israel
Oct 13, 2025 02:55Mfuko wa Kuhudumia Watoto Umoja wa Mataifa wa (UNICEF) umetangaza kuwa, watoto 56,000 katika Ukanda wa Gaza wamebaki mayatima baada ya kupoteza mzazi mmoja au wote wawili katika kipindi cha miaka miwili ya vita vya jeshi la Israel katika uukanda huo.
-
Ansarullah yaipa muda Israel kuhakikisha inatekeleza kikamilifu usitishaji vita Ghaza
Oct 12, 2025 22:57Kiongozi mmoja wa ngazi za juu wa harakati ya Ansarullah ya Yemen ameupa utawala wa Kizayuini muda maalumu wa kuhakikisha unaheshimu na kutekeleza makubaliano ya kusimamisha vita vinginevyo Yemen itaanzisha tena operesheni za kijeshi dhidi ya Israel.
-
Waziri wa Vita wa Israel: Tutaharibu mahandaki ya HAMAS baada ya kubadilishana mateka
Oct 12, 2025 22:57Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel ametangaza kuwa utawala huo dhalimu una mipango ya kuharibu mahandaki na njia za chini ya ardhi za Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas huko Ghaza baada ya kuachiliwa huru mateka wa Kizayuni.
-
Utawala wa kizayuni wa Israel wafukuzwa katika mashindano ya Dunia ya Jimnastiki
Oct 12, 2025 08:39Ushiriki wa timu ya taifa ya utawala wa kizayuni wa Israel umefutwa katika mashindano ya Dunia ya Jimnastiki ya Jakarta Indonesia kulalamikia jinai za utawala huo ghasibu dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Pakistan yaapa kulipiza kisasi dhidi ya Afghanistan
Oct 12, 2025 07:26Waziri Mkuu wa Pakistan Shehbaz Sharif amelaani kitendo alichokiita ni cha uchokozi kutoka kwa nchi jirani ya Afghanistan.
-
HAMAS: Tony Blair hakaribishwi kuwa na nafasi yoyote katika uongozi wa Ghaza baada ya vita
Oct 12, 2025 02:14Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imeonya kwamba Tony Blair hatakaribishwa kuwa na nafasi yoyote ya uendeshaji wa Ghaza kufuatia kuanza kutekelezwa usitishaji vita katika eneo hilo la Palestina.
-
Ripoti: Asilimia 90 ya miundombinu ya Gaza imeharibiwa
Oct 11, 2025 22:53Asilimia 90 ya miundombinu ya Gaza imeharibiwa kabisa baaada ya vita vya miaka miwili vilivyoanzishwa na utawala ghasibu wa Israel.