-
Kilio cha vyombo vya habari na duru za kisiasa za Israel kwa makubaliano ya usitishaji vita; HAMAS inasalia Ghaza na imeshinda
Oct 10, 2025 03:58Baada ya kutangazwa makubaliano ya usitishaji vita katika Ukanda wa Ghaza na ya kubadilishana mateka kati ya utawala wa Kizayuni wa Israel na Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS, vyombo vya habari na duru za kisiasa za ndani ya utawala wa kizayuni zimetoa lawama kwa kuashiria matokeo ya vita na kuendelea kubaki thabiti miundo na mihimili ya Muqawama ndani ya Ghaza.
-
Hamas: Israel imechuja orodha ya Wapalestina wanaopasa kuachiwa
Oct 10, 2025 03:25Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas amesema utawala wa Israel unajaribu kuhadaa, kufanyia hila na kuchuja baadhi ya vipengele katika makubaliano ya usitishaji vita.
-
Vipengee muhimu vya makubaliano ya usitishaji vita Gaza
Oct 09, 2025 23:02Utawala unaoukalia kwa mabavu Palestina na Hamas hatimaye wamefikia maelewano juu ya kutekeleza awamu ya kwanza ya usitishaji vita huko Gaza.
-
Israel yaendelea kufanya jinai Ghaza licha ya kufikiwa makubaliano ya kusitisha vita
Oct 08, 2025 23:44Duru mbalimbali za kieneo zimeripoti mepema leo Alkhamisi kwamba utawala wa Kizayuni wa Israel unaendelea kufanya mashambulizi makali katika maeneo mbalimbali ya Mji wa Ghaza licha ya kufikiwa makubaliano ya kusimamisha vita.
-
Jihadul Islami: Mpango wa Trump kwa Gaza unalenga kuwapigisha magoti Wapalestina
Oct 08, 2025 23:42Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina ya Jihadul Islami amesema kuwa, mpango wa Rais Donald Trump wa Marekani wa eti kusimamisha vita Gaza unaupendelea tu utawala wa Kizayuni, na unalenga kuwafanya Wapalestina wasalimu amri.
-
Misri na vita vya Gaza; Kujaribu kufuata mkakati wa uwastani
Oct 08, 2025 23:40Kuanza vita vya Gaza baada ya operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa mnamo Oktoba 7, 2023 ulikuwa mwanzo wa mabadiliko katika sera za ndani na za kigeni za Misri.
-
Kushiriki makundi ya Palestina katika mazungumzo ya Sharm el-Sheikh
Oct 08, 2025 08:58Televisheni ya al Jazeera yenye makao yake mjini Doha Qatar imemnukuu afisa wa ngazi ya juu wa Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina na kuripoti kuwa wawakilishi wa makundi kadhaa ya Wapalestina wamejiunga na timu za mazungumzo huko Sharm el-Sheikh Misri hatua waliyoitaja kuwa yenye lengo la kufanikisha matakwa ya wananchi wa Palestina.
-
Greta Thunberg: Israel ilinitesa na wanaharakati wengine wa Gaza Flotila
Oct 08, 2025 08:55Mwanaharakati wa masuala ya hali ya hewa wa Uswidi, Greta Thunberg ameeleza kuwa yeye na wanaharakati wengine wa msafara wa Sumud au Global Sumud Flotilla uliokuwa ukielekea Gaza waliteswa na kunyanyaswa walipokuwa wakishikiliwa katika magereza ya Israel baada ya jeshi la wanamaji la utawala huo kuwatia nguvuni katika maji ya kimataifa.
-
Uungaji mkono wa kimaonyesho wa Uturuki kwa Palestina; Ukweli uliofichwa nyuma ya pozi za kidiplomasia
Oct 08, 2025 04:19Matamshi ya Umit Özdag mwanasiasa wa Uturuki kuhusu Palestina yameibua radiamali kubwa katika vyombo vya habari na mitandao ya kijamii.
-
Waungaji mkono wa Palestina watishia kufutwa mechi ya Italia na Israel ya kuwania tiketi ya kombe la dunia
Oct 08, 2025 03:30Wananchi wa Italia na waungaji mkono wa Palestina wametoa wito wa kuufutwa mechi ya soka kati ya Italia na utawala ghasibuu wa Israel wakilalamikia mauaji na jinai za israel dhidi ya Wapalestina katika Uukanda wa Gaza.