-
Mbunge wa Marekani asema Trump ni mtendajinai
May 02, 2026 10:01Mbunge wa chama cha Democratic wa Marekani amemtaja Donald Trump Rais wa nchi hiyo kuwa ni mhalifu mtendajinai.
-
Uchunguzi mpya wa CNN: Kambi nyingi za Marekani Asia Magharibi ziliharibiwa katika mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Iran
May 02, 2026 09:54Uchunguzi mpya wa CNN: Kambi nyingi za Marekani Asia Magharibi ziliharibiwa katika mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Iran
-
Mufti Mkuu wa Russia: Umma wa Kiislamu unapaswa kusimama pamoja na Iran dhidi ya njama za shetani
May 02, 2026 07:35Mufti Mkuu na Mkuu wa Idara ya Masuala ya Kidini ya Waislamu wa Russia ameeleza kuwa, Umma wa Kiislamu unapaswa kusimama pamoja na Iran dhidi ya njama za Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel na akasema: "Iwapo Waislamu watakuwa na umoja na mshikamano, kambi ya shetani haiwezi kamwe kurudia uchokozi dhidi ya Gaza, Syria, Iran na Lebanon."
-
Mbunge wa Kongresi: Ni mwehu anayedai Marekani imeshinda vita dhidi ya Iran
May 02, 2026 07:25Mwakilishi wa cha cha Democratic wa California katika Kongresi ya Marekani, Sara Jacobs, amemkosoa vikali Waziri wa Vita wa nchi hiyo, Pete Hegseth kwa kutangaza ushindi dhidi ya Iran, akitaja madai hayo kuwa ni udanganyifu.
-
Ripota Maalumu wa UN ataka Israel iwajibishwe kwa kukamata meli za Samood Frotila
May 02, 2026 07:31Francesca Albanese, Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Maeneo ya Palestina Yanayokaliwa kwa Mabavu, ametoa wito kwa Ulaya kuchukua hatua za haraka baada ya utawala ghasibu wa Israel kuzuia na kukamata meli za misaada ya kibinadamu zinazojulikana kama Samood Flotilla zilizokuwa zikielekea Ukanda wa Gaza huko Palestina kwa ajili ya kuvunja mzingio wa kikatili wa utawala huo.
-
Mchambuzi wa siasa wa Marekani: Trump ndiye gaidi zaidi duniani
Apr 30, 2026 10:27Mchambuzi wa siasa wa Marekani, Kyle Kolinsky, amesema: Donald Trump, rais wa nchi hii, ndiye gaidi mkubwa zaidi duniani.
-
Kukiri Washirika wa Marekani Kwamba Nchi Hiyo Imeshindwa Katika Vita Dhidi ya Iran
Apr 30, 2026 04:31Baada ya kupita takribani miezi miwili tangu Marekani na utawala wa kizayuni zilipoanzisha uvamizi wa kijeshi dhidi ya Iran, wakosoaji wa sera za kushupalia vita za Trump katika kila pembe ya dunia wanaendelea kukiri na kutamka kwa uwazi zaidi kwamba Marekani imeshindwa katika vita hivyo.
-
UN yaonya: Hatua za Marekani zimepandisha bei ya vyakula duniani
Apr 29, 2026 10:07Msemaji wa Umoja wa Mataifa ametangaza kuwa bei za vyakula duniani zimeongezeka kufuatia hatua za Marekani katika Mlango Bahari wa Hormuz.
-
Putin: Ukraine na washirika wake wamegeukia kwenye ugaidi
Apr 29, 2026 09:54Rais wa Russia amesema: Vikosi vya jeshi la Ukraine na washirika wake haviwezi kuzuia kusonga mbele kwa jeshi la nchi hii na vinapoteza maeneo zaidi kila siku, kwa hivyo vinageukia ugaidi.
-
Russia: Israel inapasa kuondoka katika ardhi ya Lebanon
Apr 29, 2026 09:49Mwakilishi wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema katika kikao cha Baraza la Usalama la umoja huo kuwa Israel haiheshimu kivyovyote majukumu ya askari jeshi wa kulinda amani cha Umoja wa Mataifa.