-
Washington Post: Trump anakabiliwa na "upande mweusi" wa vita na Iran; majeneza yameanza kuwasili
Mar 08, 2026 09:24Gazeti la Washington Post limeitaja shughuli ya kupokea miili ya wanajeshi sita wa Marekani waliouawa katika operesheni kali ya Iran kuwa ni ishara kwamba vita vinamwendea vibaya rais wa nchi hiyo.
-
Vyombo vya habari vya Algeria: Kesi ya Epstein ndiyo chanzo cha moja kwa moja cha vita vya Trump dhidi ya Iran
Mar 08, 2026 08:04Gazeti la Algeria "Al-Shorouk" limeandika kuwa kashfa iliyotokana na kesi ya bilionea mashuhuri na mhaifu wa ngono wa Marekani, Jeffrey Epstein, na kuhusika Rais Donald Trump katika kashfa hiyo ndiyo sababu ya moja kwa moja ya kuanzisha vita dhidi ya Iran ili kupotosha maoni ya umma nchini Marekani na duniani.
-
Chatham House: Vita na Iran ni kamari ya kisiasa, Uhispania: Kushambulia Iran ni kosa kubwa
Mar 07, 2026 14:58Kituo cha kifikra cha Uingereza cha Chatham House kimekiri kwamba Rais wa Marekani, Donald Trump, amecheza "kamari kubwa ya kisiasa" kwa kuanzisha vita dhidi ya Iran.
-
Planet Labs inachuja picha za satalaiti za hasara za kambi za Marekani zinazotwangwa na Iran
Mar 06, 2026 11:36Kampuni ya huduma za satalaiti ya Marekani imetangaza kuwa, inachelewesha kutoa picha zake kwa siku nne ili kuzuia tathmini na uchambuzi wa hasara zilizosababishwa kwenye kambi za kijeshi za Marekani katika eneo la Asia Magharibi.
-
Afisa wa zamani wa Marekani: Washington imeshindwa kutimiza malengo yake dhidi ya Iran
Mar 06, 2026 11:35Afisa wa zamani wa shirika la ujasusi la jeshi la majini la Marekani amesema Washington imeshindwa kutimiza malengo ya uvamizi wake wa kijeshi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Afisa wa zamani wa Pentagon: Hatukudhani makombora ya Iran yatakuwa ya kisasa kiasi hiki
Mar 06, 2026 09:40Mshauri wa zamani wa Wizara ya Vita ya Marekani (Pentagon) amekiri kuhusu uwezo mkubwa wa makombora ya Iran na udhaifu wa mifumo ya ulinzi wa anga ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Mchambuzi wa Kirusi: Kuishambulia kijeshi Iran kutakuwa na mwisho wa kufedhehesha kwa Trump
Mar 06, 2026 04:01Mkuu wa kituo cha tafiti maalumu za michakato ya kisiasa cha Russia amesema, uvamizi wa kijeshi ulioanzishwa na Marekani na utawala wa kizayuni dhidi ya Iran unafanyika kinyume cha sheria na akabainisha: “baada ya kuanza hujuma hii tumeshuhudia kuimarika umoja wa wananchi wa Iran kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa”.
-
Russia: Kimya cha jamii ya kimataifa mbele ya mauaji ya wanafunzi nchini Iran kinashangaza
Mar 04, 2026 11:56Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa kimya cha jamii ya kimataifa mbele ya mauaji yaliyofanywa na Marekani dhidi ya wanafunzi wa shule ya msingi nchini Iran ni jambo la kushangaza.
-
Mkuu wa WHO alaani shambulio la Marekani na Israel dhidi ya hospitali nchini Iran
Mar 04, 2026 07:40Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Tedros Adhanom Ghebreyesus, akizungumzia shambulio la mabomu lililofanywa na Marekani na Israel dhidi ya Hospitali ya Gandhi mjini Tehran, amesisitiza kuwa chini ya Sheria za Kimataifa za Kibinadamu, sekta ya afya haipaswi kulengwa kijeshi
-
Kiongozi wa Wademocrat katika Bunge la Marekani ampinga Trump, asema Iran si tishio
Mar 04, 2026 05:34Kiongozi wa chama cha Democrat katika Bunge la Seneti ya Marekani, Hakeem Jeffries, amekemea kwa ukali serikali ya Donald Trump baada ya shambulizi la kijeshi dhidi ya Iran, akisisitiza kuwa hakuna “tishio tarajiwa” kutoka Iran dhidi ya Marekani.