-
Venezuela: Tunathamini uungaji mkono madhubuti wa Iran dhidi ya vitisho vya Marekani
Nov 30, 2025 08:36Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela amesema nchi yake inathamini kwa dhati uungaji mkono wa Iran kwa nchi hiyo ya Amerika ya Latini mkabala wa vitisho vya kijeshi na mashinikizo ya Marekani.
-
Umoja wa Mataifa wataka kukomeshwa uvamizi wa Israel dhidi ya Palestina
Nov 30, 2025 04:10Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kukomeshwa kuikalia kwa mabavu Palestina na kulaani ukiukwaji mkubwa wa haki za Wapalestina katika kipindi cha miaka miwili iliyopita.
-
Venezuela: Onyo la Donald Trump ni 'tishio la kikoloni'
Nov 30, 2025 04:09Serikali ya Venezuela imemshutumu Rais wa Marekani Donald Trump kwa kutoa "tishio la ukoloni" baada ya kusema anga kuzunguka nchi hiyo inapaswa kuchukuliwa kuwa imefungwa.
-
Ukraine yashambuliia meli mbili za mafuta za Russia Bahari Nyeusi
Nov 29, 2025 23:05Ripoti mbalimbali za vyombo vya habari zimesema kuwa, mashambulio ya Ijuuma dhidi ya meli mbili za mafuta za Russia katika Bahari Nyeusi yamefanywa na shirika la kijasusi la Ukraine na jeshi la wanamaji la nchi hiyo.
-
Sababu za Marekani kuitambua harakati ya Ikhwanul Muslimin kuwa ni tishio la kigaidi
Nov 29, 2025 23:03Rais Donald Trump wa Marekani ametia saini amri ya utendaji dhidi ya Ikhwanul Muslimin (Muslim Brotherhood), na kuyaweka baadhi ya matawi ya kundi hilo la Kiislamu katika orodha ya "mashirika ya kigeni ya kigaidi".
-
Waliofariki kwa mafuriko Indonesia wapindukia 300, kimbunga Ditwah kimeshaua 123 Sri Linka
Nov 29, 2025 09:43Shirika la Taifa la Usimamizi wa Maafa la Indonesia BNPB limetangaza leo kuwa idadi ya waliofariki kutokana na mafuriko na maporomoko ya ardhi yaliyotokea wiki hii sasa imefikia 248, huku zaidi ya watu 100 wakiwa hawajulikani walipo, baada ya waokoaji katika wilaya ya Agam ya Sumatra Magharibi kupata miili zaidi.
-
US yakiri kuwa Yemen ni tishio katika ulinzi wa anga baada ya F-16 kuvurumishiwa makombora
Nov 29, 2025 07:41Jeshi la Anga la Marekani limekiri kuwa ndege zake za kivita aina ya F-16 ziliandamwa na mashambulizi makali ya mitambo ya ulinzi wa anga ya Yemen wakati ndege hizo zilipokiuka anga ya nchi hiyo.
-
Baraza la Waislamu Ufaransa latoa wito wa kufanyika uchunguzi kuhusu ujasusi dhidi ya Waislamu kwa niaba ya Israel
Nov 28, 2025 23:54Baraza la Waislamu la Ufaransa limetoa wito kwa serikali kuanzisha uchunguzi kuhusu madai kwamba watu wawili walikusanya taarifa kuhusu Waislamu nchini Ufaransa na kuzikabidhi kwa shirika la ujasusi la Israel.
-
Kwa kupiga marufuku shughuli za kundi la 'Palestine Action', Uingereza ni mtetezi kweli wa uhuru wa kutoa maoni?
Nov 28, 2025 23:12Kundi linalolitetea taifa madhulumu la Palestina nchini Uingereza liitwalo 'Palestine Action' limesema, kupigwa marufuku uendeshaji wa shughuli zake na serikali ya London ni hatua ya kidikteta.
-
Maelfu ya wafanyakazi waandamana Ireland kulaani jinai za Israel
Nov 28, 2025 08:14Maelfu ya wafanyakazi wameandamana nchini Ireland kulaani kuendelea jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel huko Palestina.