-
Makumi waaga dunia kwa mafuriko Indonesia, Thailand na Malaysia
Nov 28, 2025 08:10Kwa akali watu 250 wamefariki dunia katika mataifa ya Indonesia, Thailand na Malaysia kufuatia mvua kubwa iliyoambatana na mafuriko na maporomoko ya ardhi.
-
Trump avunja rekodi ya kuwa kiongozi anayechukiza zaidi katika historia ya Marekani
Nov 28, 2025 03:02Marais wa Marekani kwa kawaida huwa wanakumbwa na janga la kupungua umaarufu wa muda mfupi baada ya kuingia madarakani. Lakini kwa mujibu wa The Economist, hakuna rais katika miongo ya hivi karibuni ambaye amepitia janga la kupungua mno umaarufu wake kama lilivyomkuba janga hilo Donald Trump.
-
Putin: Pendekezo la Marekani linaweza kuwa msingi wa makubaliano ya amani ya siku zijazo
Nov 28, 2025 03:02Rais Vladimir Putin wa Russia amesema kuwa, vipengele vya rasimu ya amani vilivyojadiliwa hivi karibuni na Marekani na Ukraine vinaweza kutumika kama msingi wa makubaliano ya siku zijazo ya kukomesha vita nchini Ukraine.
-
Iran yawaonya mahasimu kuhusu mbinu za mabavu na mashinikizo
Nov 27, 2025 08:52Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, ametoa onyo kali kwa mahasimu wa Jamhuri ya Kiislamu akiwataka waache mwenendo wa mabavu na mashinikizo ya kupita kiasi dhidi ya taifa hili.
-
Marekani ina kiwewe cha kudukuliwa na Iran kombora lake la GBU-39B
Nov 27, 2025 02:30Marekani imeingiwa na kiwewe kikubwa cha kudukuliwa kombora lake la GBU-39B lililopatikana nchini Lebanon na kuziruhusu nchi zisizo rafiki kwake hasa Iran na Russia kupata teknolojia iliyotumika kwenye kombora hilo la kisasa na kuwa hatari kwa Marekani na utawala wa Kizayuni.
-
Mkutano wa Luanda: Ulaya na Afrika zakubaliana kushirikiana zaidi
Nov 26, 2025 22:58Mataifa ya Umoja wa Ulaya na Umoja wa Afrika yamesisitiza umuhimu wa ushirikiano wa karibu mwishoni mwa mkutano wao wa siku mbili katika mji mkuu wa Angola, Luanda.
-
UNAIDS: Kupunguzwa misaada ya kigeni kumeua watu na kuwaacha mamilioni bila dawa
Nov 26, 2025 22:56Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, juhudi za kimataifa za kupambana na ukimwi zimepitia hali ngumu kutokana na kupunguzwa kwa ufadhili kimataifa.
-
Je, Marekani ni nchi ya demokrasia au Jamhuri ya Mabilionea?
Nov 26, 2025 22:54Ingawa karne moja iliyopita, ni asilimia 0.25 tu ya fedha za uchaguzi wa Marekani ndizo zilizotoka mifukoni mwa watu 100 matajiri zaidi wa nchi hiyo, lakini leo, dola moja kati ya kila dola 13 za chaguzi za serikali ya shirikisho hutoka moja kwa moja kwa mabilionea, jambo ambalo Washington Post imesema kuwa ni kuhodhiwa siasa za Marekani na mabilionea.
-
Mahakama ya EU yaiamuru nchi mwanachama itambue 'ndoa' za jinsia moja
Nov 26, 2025 07:20Mahakama ya juu zaidi ya Umoja wa Ulaya imetoa hukumu kwamba Poland inalazimika kuzitambua ndoa za jinsia moja zilizosajiliwa katika nchi zingine wanachama wa umoja huo japokuwa mahusiano kama hayo yako kinyume cha sheria kulingana na sheria za kitaifa za nchi hiyo.
-
Cuba: Marekani inaishinikiza Venezuela ili kuitwaa ardhi ya nchi hiyo
Nov 26, 2025 03:41Bruno Rodriguez Waziri wa Mambo ya Nje wa Cuba amesema kuwa Marekani inatumia uzushi kuhalalisha operesheni zake za kijeshi dhidi ya Venezuela, kwa lengo la kuiangusha serikali ya nchi hiyo na kudhibiti rasilimali za mafuta za nchi hiyo.