-
Japan yapinga mashinikizo ya Marekani ya kuacha kununua nishati kutoka Russia
Oct 22, 2025 09:18Yoji Muto, Waziri wa Biashara wa Japan amepinga vikali mashinikizo makubwa ya Marekani dhidi ya nchi hiyo. Marekani inaitaka Japan iache kununua nishati kutoka Russia. Tokyo, kwa upande wake, inasema kuwa itachukua maamuzi kwa mujibu wa maslahi yake ya kitaifa.
-
Guardian: Chuki dhidi ya Trump imekuwa nembo ya mshikamano mpya Marekani
Oct 22, 2025 02:43Chuki dhidi ya rais wa hivi sasa wa Marekani imekuwa jambo la kawaida kwa waandamanaji wanaomiminika mitaani kumpinga Trump katika majimbo mbalimbali na hivi sasa imegeuka kuwa nembo ya mshikamano mpya huko Marekani.
-
Chuo Kikuu cha Arizona; Taasisi ya saba Marekani kukataa matakwa ya sera mpya ya Trump
Oct 21, 2025 23:03Vyuo Vikuu saba vya juu nchini Marekani vimepinga mpango tata wa "kielimu" wa Ikulu ya White House, ambao unashutumiwa kuwa ni mkakati wa kisiasa unaolenga kuwanyamazisha wapinzani na kuwaadhibu wanaoiunga mkono Palestina katika Vyuo Vikuu.
-
Rais wa zamani wa Ufaransa, Nicolas Sarkozy, aanza kifungo cha miaka mitano jela
Oct 21, 2025 11:25Rais wa zamani wa Ufaransa, Nicolas Sarkozy, ameanza kutumikia kifungu cha miaka mitano jela katika gereza moja mjini Paris baada ya kupatikana na hatia ya kufanya ufisadi.
-
Trump: Ukraine haiwezi kushinda vita dhidi ya Russia
Oct 21, 2025 07:56Rais wa Marekani, Donald Trump amesema haitakidi kwamba Ukraine inaweza kuibuka mshinda katika vita vyake na Russia.
-
Qur'ani inasema nini kuhusu watu wenye kiburi kama Donald Trump
Oct 21, 2025 06:51Uchambuzi wa Qur'ani kuhusu tabia ya Donald Trump, rais mtata wa Marekani, unamuonyesha kuwa ni mfano wa wazi wa mtu muovu na mwenye kutakabari.
-
Kusimama shughuli za serikali ya Marekani kutakwenda hadi lini?
Oct 20, 2025 22:52Serikali ya Donald Trump huko Marekani imevunja rekodi kwa kusimamisha shughuli zake kwa muda wa siku 20. Janga hilo lilianza Oktoba 1, 2025, na kulemaza shughuli muhimu za Marekani na pia kupiga kengele ya hatari ya kuzuka mdororo wa kiuchumi na mgogoro wa kijamii nchini Marekani. Hadi hivi sasa hakuna ishara za kufikia mwisho mgogoro huo wa kisiasa huku mamilioni ya Wamarekani wakiwa chini ya mashinikizo kutokana na maafa ya mgogoro huo kwenye maisha yao.
-
Italia yaokoa wahajiri 91, yaopoa maiti 2 kwenye pwani ya Lampedusa katika Bahari ya Mediterania
Oct 20, 2025 06:47Walinzi wa Pwani ya Italia wamewaokoa wahajiri 91 na kuopoa miili ya watu wengine wawili kutoka kwenye mashua iliyokuwa hatarini kupeperushwa kwenye pwani ya Kisiwa cha Lampedusa katika Bahari ya Mediterania.
-
Trump azitaka Russia na Ukraine zisimamishe vita mahali zilipo sasa hivi kwenye medani ya mapigano
Oct 20, 2025 06:10Rais wa Marekani Donald Trump ametoa wito kwa Russia na Ukraine kusimamisha vita katika mstari wa mapigano zilipo hivi sasa, pendekezo ambalo litaiwezesha Moscow kuhodhi sehemu kubwa ya maeneo ya ardhi ya Ukraine.
-
'Jukwaa la kufyatulia risasi' lanaswa katika eneo linalotazamana na ndege ya Trump
Oct 20, 2025 03:10Idara ya Huduma ya Siri ya Marekani imethibitisha kuwa imegundua jukwaa linalotiliwa shaka la kufyatulia risasi karibu na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Palm Beach likiwa na uwezo wa kuona moja kwa moja mahali ambapo kwa kawaida Rais Donald Trump hutokea kwenye Air Force One.