-
Utunishaji misuli wa Trump katika mji mkuu wa Marekani; kuongezeka maandamano dhidi ya Gadi ya Ulinzi wa Taifa
Aug 12, 2025 22:59Rais Donald Trump wa Marekani, amesema kwamba ataongeza uwepo wa vikosi vya polisi vya shirikisho katika mji mkuu wa nchi hiyo, kwa kisingizio cha kuongezeka vitendo vya uhalifu huko Washington DC.
-
Umoja wa Ulaya walaani mauaji ya waandishi wa habari wa Al Jazeera yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni
Aug 12, 2025 09:55Umoja wa Ulaya umelaani mauaji ya waandishi wa habari wa Televisheni ya Al Jazeera na utawala wa Kizayuni na kusisitiza kwamba waandishi wa habari hawapaswi kulengwa.
-
Norway yasimamisha uwekezaji katika makampuni 11 ya Israel
Aug 12, 2025 09:42Hazina ya Utajiri wa Taifa wa Norway imetangaza kuwa imesitisha uwekezaji katika makampuni 11 ya utawala wa Israel ambayo yamewekeza katika kampuni ya utengenezaji wa injini za ndege.
-
Mbunge mwandamizi wa UK asema ni dhahiri kwamba balozi wa Marekani Israel ni 'mpumbavu'
Aug 12, 2025 03:51Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje ya bunge la Uingereza Emily Thornberry amesema, ni dhahiri kuwa balozi wa Marekani katika utawala wa kizayuni wa Israel Mike Huckabee ni 'mpumbavu' kufuatia matamshi yake ya kuikosoa Uingereza kwa kupinga mpango wa Israel wa kuuvamia na kuukalia kwa mabavu kikamilifu Ukanda wa Ghaza.
-
Rais wa Uturuki: Baada ya miaka 80 lazima UN ifanyiwe mageuzi makubwa ili kutimiza wajibu wake
Aug 12, 2025 03:28Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema, wakati Umoja wa Mataifa unakaribia kuadhimisha miaka 80 ya kuasisiwa kwake ni wazi kwamba unahitaji mabadiliko makubwa ili kuendelea kutekeleza majukumu uliyopewa.
-
Takwa jipya la Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kwa Jamii ya Kimataifa kuhusu utawala wa Kizayuni
Aug 12, 2025 02:35Francesca Albanese, Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kufukuzwa timu za michezo za utawala wa Kizayuni katika mashindano ya kimataifa.
-
Wamalaysia waandamana na kutoa wito wa kuchukuliwa hatua kukomesha mauaji ya Kimbari ya Israel Gaza
Aug 11, 2025 23:08Maelfu ya raia nchini Malaysia wameandamana ambapo mbali na kutangaza himaya na uungaji mkono wao kwa wananchi wa Palestina wametoa wito wa kuchukuliwa hatua za haraka na za maana kukomesha mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Gaza.
-
Australia nayo kuitambua rasmi Palestina katika mkutano ujao wa UNGA
Aug 11, 2025 23:06Serikali ya Australia nayo imetangaza kuwa, inatarajia kuitambua rasmi Palestina mwezi ujao wa Septemba.
-
Korea Kaskazini: ‘Tutajibu’ mazoezi ya kijeshi ya Korea Kusini na Marekani
Aug 11, 2025 23:05Korea Kaskazini imekosea mazoezi ya pamoja ya kijeshi kati ya hasimu wake Korea Kusini na Marekani na kuyataja kama "uchochezi wa moja kwa moja wa kijeshi" na kuonya kuwa itachukua hatua za kujibu.
-
Ukiondoa US, wanachama 4 wa kudumu wa UNSC wamelaani mpango wa Israel kuhusu Ghaza
Aug 11, 2025 08:22Nchi nne kati ya tano, wanachama wa kudumu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa zimelaani mpango wa utawala wa kizayuni wa Israel kuukalia kikamilifu Ukanda wa Ghaza. Ni Marekani pekee ndiyo iliyotetea uamuzi huo wa utawala wa kizayuni wakati wa mkutano wa dharura wa baraza hilo uliofanyika jana Jumapili.