Polisi Uganda inakabiliwa na kibarua kutoka kwa kundi la majambazi+SAUTI
Jun 29, 2020 13:54 UTC
Polisi nchini Uganda inakabiliwa na kibarua kutoka kwa kundi la majambazi
Polisi nchini Uganda inakabiliwa na kibarua kutoka kwa kundi la majambazi ambao wanashambulia magari ya serikali katika jiji la Kampala.
Kigozi Ismail na taarifa zaidi akiripoti kutoka Kampala…