Bobi Wine azindua chama chake kipya cha kisiasa nchini Uganda +SAUTI
Jul 24, 2020 10:31 UTC
Kiongozi machachari wa upinzani nchini Uganda, Mbunge Bobi Wine amewataka vijana kuwajibika kwa taifa lao na kutokubali kubakia nyuma katika utendaji na uchapaji kazi.