Bobi Wine azindua chama chake kipya cha kisiasa nchini Uganda +SAUTI
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i62395-bobi_wine_azindua_chama_chake_kipya_cha_kisiasa_nchini_uganda_sauti
Kiongozi machachari wa upinzani nchini Uganda, Mbunge Bobi Wine amewataka vijana kuwajibika kwa taifa lao na kutokubali kubakia nyuma katika utendaji na uchapaji kazi.
(last modified 2026-02-05T09:20:29+00:00 )
Jul 24, 2020 10:31 UTC

Kiongozi machachari wa upinzani nchini Uganda, Mbunge Bobi Wine amewataka vijana kuwajibika kwa taifa lao na kutokubali kubakia nyuma katika utendaji na uchapaji kazi.