Mgombea urais Zanzibar kwa tiketi ya CCM azindua kampeni za uchaguzi +SAUTI
Sep 12, 2020 12:34 UTC
Chama cha Mapinduzi CCM visiwani Zanzibar kimezindua rasmi kampeni zake za uchaguzi tayari kwa ajili ya kujiandaa na uchaguzi mkuu unaotarajiwa kuufanyika kote Tanzania mwezi ujao wa Oktoba.